-
Wapalestina waandamana Ghaza katika maadhimisho ya kuasisiwa harakati ya Hamas
Dec 09, 2016 10:46Makumi ya maelfu ya Wapalestina leo wameshiriki katika maandamano huko Ghaza kuadhimisha mwaka wa 29 wa kuasisiwa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas).
-
Hamas: Israel inacheza na moto kwa kupiga marufuku Adhana
Nov 21, 2016 03:58Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, ameuonya vikali utawala wa Kizayuni wa Israel kufuatia amri yake ya kupiga marufuku adhana na kusema sheria hiyo ni sawa na 'kuchezea moto.'
-
Hamas yakadhibisha madai ya kuwepo mgogoro katika uhusiano wake na Iran
Nov 17, 2016 12:29Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imekadhibisha madai ya kuwepo mgogoro katika uhusiano wake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Hamas: Matokeo ya uchaguzi wa Marekani hayatabadili hali ya Mashariki ya Kati
Nov 12, 2016 00:38Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imetangaza kuwa matokeo ya uchaguzi wa rais uliofanyika siku chache zilizopita nchini Marekani hayatakuwa na taathira chanya katika mgogoro wa Mashariki ya Kati.
-
Mash'al: Kuna udharura wa kufikiwa umoja wa kitaifa Palestina
Nov 03, 2016 00:24Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kuwa upo udhaura wa kufikiwa umoja wa kitaifa wa Palestina ili kukomesha ukaliaji mabavu wa Israel.
-
Viongozi wa Palestina wakutana Doha katika kikao nadra cha kutafuta umoja
Oct 28, 2016 10:34Rais Mahmoud Abbas wa mamlaka ya ndani ya Palestina ameshiriki katika mkutano nadra na viongozi wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, mjini Doha, Qatar.
-
Radiamali ya Hamas kwa vitisho vya Waziri wa Vita wa Israel
Oct 25, 2016 04:49Harakati ya Mapambano wa Kiislamu ya Palestina Hamas imepuuzilia mbali vitisho vilivyotolewa hivi karibuni na waziri wa vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel, Avigdor Lieberman, akidai kuwa utawala huo utausambaratisha muqawama wa Wapalestina.
-
Kamanda wa jeshi Israel akiri kuhusu nafasi ya Hamas Ukanda wa Ghaza
Oct 21, 2016 04:16Kamanda wa zamani wa jeshi la Israel amekiri kuwa ni vigumu kuifuta Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas.
-
HAMAS yalaani msimamo wa Katibu Mkuu wa UN dhidi ya UNESCO
Oct 20, 2016 04:19Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imemkosoa vikali Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kwa kuunga mkono sera za kujipanua za utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Hamas yaikosoa ICC kwa kutoutembelea Ukanda wa Gaza
Oct 09, 2016 04:48Harakati ya muqawama wa Palestina Hamas imesema safari ya ujumbe wa maafisa wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu haina maana na umuhimu wowote, madhali wataalamu hao wa masuala ya sheria watakosa kuutembelea Ukanda wa Gaza.