Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

HAMAS

  • Wapalestina waandamana Ghaza katika maadhimisho ya kuasisiwa harakati ya Hamas

    Wapalestina waandamana Ghaza katika maadhimisho ya kuasisiwa harakati ya Hamas

    Dec 09, 2016 10:46

    Makumi ya maelfu ya Wapalestina leo wameshiriki katika maandamano huko Ghaza kuadhimisha mwaka wa 29 wa kuasisiwa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas).

  • Hamas: Israel inacheza na moto kwa kupiga marufuku Adhana

    Hamas: Israel inacheza na moto kwa kupiga marufuku Adhana

    Nov 21, 2016 03:58

    Kiongozi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, ameuonya vikali utawala wa Kizayuni wa Israel kufuatia amri yake ya kupiga marufuku adhana na kusema sheria hiyo ni sawa na 'kuchezea moto.'

  • Hamas yakadhibisha madai ya kuwepo mgogoro katika uhusiano wake na Iran

    Hamas yakadhibisha madai ya kuwepo mgogoro katika uhusiano wake na Iran

    Nov 17, 2016 12:29

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imekadhibisha madai ya kuwepo mgogoro katika uhusiano wake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Hamas: Matokeo ya uchaguzi wa Marekani hayatabadili hali ya Mashariki ya Kati

    Hamas: Matokeo ya uchaguzi wa Marekani hayatabadili hali ya Mashariki ya Kati

    Nov 12, 2016 00:38

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, imetangaza kuwa matokeo ya uchaguzi wa rais uliofanyika siku chache zilizopita nchini Marekani hayatakuwa na taathira chanya katika mgogoro wa Mashariki ya Kati.

  • Mash'al: Kuna udharura wa kufikiwa umoja wa kitaifa Palestina

    Mash'al: Kuna udharura wa kufikiwa umoja wa kitaifa Palestina

    Nov 03, 2016 00:24

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) amesema kuwa upo udhaura wa kufikiwa umoja wa kitaifa wa Palestina ili kukomesha ukaliaji mabavu wa Israel.

  • Viongozi wa Palestina wakutana Doha katika kikao nadra cha kutafuta umoja

    Viongozi wa Palestina wakutana Doha katika kikao nadra cha kutafuta umoja

    Oct 28, 2016 10:34

    Rais Mahmoud Abbas wa mamlaka ya ndani ya Palestina ameshiriki katika mkutano nadra na viongozi wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, mjini Doha, Qatar.

  • Radiamali ya Hamas kwa vitisho vya Waziri wa Vita wa Israel

    Radiamali ya Hamas kwa vitisho vya Waziri wa Vita wa Israel

    Oct 25, 2016 04:49

    Harakati ya Mapambano wa Kiislamu ya Palestina Hamas imepuuzilia mbali vitisho vilivyotolewa hivi karibuni na waziri wa vita wa utawala wa Kizayuni wa Israel, Avigdor Lieberman, akidai kuwa utawala huo utausambaratisha muqawama wa Wapalestina.

  • Kamanda wa jeshi Israel akiri kuhusu nafasi ya Hamas Ukanda wa Ghaza

    Kamanda wa jeshi Israel akiri kuhusu nafasi ya Hamas Ukanda wa Ghaza

    Oct 21, 2016 04:16

    Kamanda wa zamani wa jeshi la Israel amekiri kuwa ni vigumu kuifuta Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas.

  • HAMAS yalaani msimamo wa Katibu Mkuu wa UN dhidi ya UNESCO

    HAMAS yalaani msimamo wa Katibu Mkuu wa UN dhidi ya UNESCO

    Oct 20, 2016 04:19

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imemkosoa vikali Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kwa kuunga mkono sera za kujipanua za utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Hamas yaikosoa ICC kwa kutoutembelea Ukanda wa Gaza

    Hamas yaikosoa ICC kwa kutoutembelea Ukanda wa Gaza

    Oct 09, 2016 04:48

    Harakati ya muqawama wa Palestina Hamas imesema safari ya ujumbe wa maafisa wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu haina maana na umuhimu wowote, madhali wataalamu hao wa masuala ya sheria watakosa kuutembelea Ukanda wa Gaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS