-
Hamu ya Hamas ya kuimarisha uhusiano na Iran
Oct 06, 2016 04:15Mmoja wa viongozi wa harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas amesema kuwa harakati hiyo ina hamu ya kuimarisha uhusiano kati yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Hamas: Mapambano ya Intifadha ya Quds yataendelea
Oct 01, 2016 23:18Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imesisitiza kuendeleza mapambano ya Intifadha ya Wapalestina katika maadhimisho ya mwaka wa kwanza wa Intifadha ya Quds.
-
HAMAS: Intifadha ya Quds itaendelea
Sep 12, 2016 23:45Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuna ulazima wa kuendelezwa Intifadha ya Quds dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Hamas yamtaka Mahmoud Abbas asitishe ukandamizaji
Sep 04, 2016 03:00Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetaka kusitishwa ukandamizaji unoafanywa na Mamlaka ya Ndani ya Palestina kwa wanachama wa harakati hiyo.
-
Hamas yaanza rasmi shughuli zake nchini Algeria
Aug 29, 2016 23:03Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imetangaza kuanza rasmi shughuli zake huko Algeria.
-
Wanachama kadhaa wa Hamas wanashikiliwa jela Misri
Aug 23, 2016 03:49Wanachama kadhaa wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas wamefungwa katika jela za usalama huko Misri.
-
Mash'al: Upo udharura kwa Wapalestina kuwa kitu kimoja
Jul 29, 2016 22:09Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesisitiza kuwa damu za mashahidi wa Kipalestina zinatilia mkazo kuwepo umoja kwa lengo la kupambana na adui Mzayuni.
-
Hamas yaonyesha silaha zake katika vita vya siku 50 na Israel
Jul 23, 2016 12:01Brigedi ya Izuddin Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imeonyesha silaha zake mbalimbali ilizotumia katika vita vya siku 50 dhidi ya adui Mzayuni mwaka 2014.
-
Hizbullah, Hamas zalaani shambulizi la kigaidi Nice
Jul 16, 2016 02:18Harakati ya Hizbullah ya Lebanon na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) zimelaani shambulizi la kigaidi lililofanyika katika mji wa Nice nchini Ufaransa.
-
Hamas: Facebook inahudumia malengo ya Wazayuni
Jul 16, 2016 02:16Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetangaza kuwa mtandao wa kijamii wa Facebook unafuata siasa na sera za kiadui za utawala wa Kizayuni wa Israel.