Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

HAMAS

  • Hamu ya Hamas ya kuimarisha uhusiano na Iran

    Hamu ya Hamas ya kuimarisha uhusiano na Iran

    Oct 06, 2016 04:15

    Mmoja wa viongozi wa harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas amesema kuwa harakati hiyo ina hamu ya kuimarisha uhusiano kati yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Hamas: Mapambano ya Intifadha ya Quds yataendelea

    Hamas: Mapambano ya Intifadha ya Quds yataendelea

    Oct 01, 2016 23:18

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imesisitiza kuendeleza mapambano ya Intifadha ya Wapalestina katika maadhimisho ya mwaka wa kwanza wa Intifadha ya Quds.

  • HAMAS: Intifadha ya Quds itaendelea

    HAMAS: Intifadha ya Quds itaendelea

    Sep 12, 2016 23:45

    Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuna ulazima wa kuendelezwa Intifadha ya Quds dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel.

  •  Hamas yamtaka Mahmoud Abbas asitishe ukandamizaji

    Hamas yamtaka Mahmoud Abbas asitishe ukandamizaji

    Sep 04, 2016 03:00

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetaka kusitishwa ukandamizaji unoafanywa na Mamlaka ya Ndani ya Palestina kwa wanachama wa harakati hiyo.

  • Hamas yaanza rasmi shughuli zake nchini Algeria

    Hamas yaanza rasmi shughuli zake nchini Algeria

    Aug 29, 2016 23:03

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas imetangaza kuanza rasmi shughuli zake huko Algeria.

  • Wanachama kadhaa wa Hamas wanashikiliwa jela Misri

    Wanachama kadhaa wa Hamas wanashikiliwa jela Misri

    Aug 23, 2016 03:49

    Wanachama kadhaa wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas wamefungwa katika jela za usalama huko Misri.

  • Mash'al: Upo udharura kwa Wapalestina kuwa kitu kimoja

    Mash'al: Upo udharura kwa Wapalestina kuwa kitu kimoja

    Jul 29, 2016 22:09

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesisitiza kuwa damu za mashahidi wa Kipalestina zinatilia mkazo kuwepo umoja kwa lengo la kupambana na adui Mzayuni.

  • Hamas yaonyesha silaha zake katika vita vya siku 50 na Israel

    Hamas yaonyesha silaha zake katika vita vya siku 50 na Israel

    Jul 23, 2016 12:01

    Brigedi ya Izuddin Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imeonyesha silaha zake mbalimbali ilizotumia katika vita vya siku 50 dhidi ya adui Mzayuni mwaka 2014.

  • Hizbullah, Hamas zalaani shambulizi la kigaidi Nice

    Hizbullah, Hamas zalaani shambulizi la kigaidi Nice

    Jul 16, 2016 02:18

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) zimelaani shambulizi la kigaidi lililofanyika katika mji wa Nice nchini Ufaransa.

  • Hamas: Facebook inahudumia malengo ya Wazayuni

    Hamas: Facebook inahudumia malengo ya Wazayuni

    Jul 16, 2016 02:16

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imetangaza kuwa mtandao wa kijamii wa Facebook unafuata siasa na sera za kiadui za utawala wa Kizayuni wa Israel.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS