-
Waziri wa Utawala wa Kizayuni wa Israel ataka viongozi wa Hamas watekwe nyara
Jul 08, 2016 22:59Waziri mmoja katika utawala wa Kizayuni wa Israel ametaka viongozi wa ngazi za juu wa Harakati ya Hamas inayotawala Ukanda wa Ghaza watekwe nyara.
-
Hamas: Idi ya kweli ya Wapalestina ni kukombolewa Quds tukufu
Jul 06, 2016 03:19Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, amesema kuwa harakati hiyo itadumisha mapambano yake dhidi ya utawala ghasibu wa Israel hadi Palestina itakapokombolewa.
-
HAMAS: Tuna matumaini ya kivuko cha Rafah kufunguliwa moja kwa moja
Jun 17, 2016 00:12Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema wana matumaini ya kufunguliwa moja kwa moja kivuko cha Rafah ambacho ni kivuko muhimu zaidi kinachounganisha eneo la Ukanda wa Gaza, Palestina na ulimwengu wa nje.
-
HAMAS: Kuwatia mbaroni Wapalestina kutashamirisha Intifadha
Jun 11, 2016 11:00Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imesistiza kuwa kitendo cha askari wa utawala wa Kizayuni cha kuwatia nguvuni Wapalestina kitashamirisha na kupanua zaidi Intifadha ya Quds.
-
Israel yawakataza Wapalestina kutembeleana mwezi wa Ramadhan
Jun 09, 2016 09:25Utawala wa Kizayuni wa Israel umewapiga marufuku Wapalestina kutembeleana na kufanya ziara katika maeneo matakatifu ya ardhi zao zinazokaliwa kwa mabavu, katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhan, kufuatia shambulizi dhidi ya Tel Aviv.
-
HAMAS: Shambulio dhidi ya Wazayuni ni jibu kwa kushtadi jinai za Israel
Jun 08, 2016 23:50Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema operesheni ya shambulio lililotekelezwa dhidi ya Wazayuni ni matokeo ya jinai zilizoshtadi za utawala wa Kizayuni dhidi ya wananchi wa Palestina.
-
Hamas yakaribisha juhudi za kufikia umoja wa kitaifa Palestina
May 29, 2016 02:55Mwakilishi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas amekaribisha juhudi zozote zenye lengo la kufanikisha umoja wa kitaifa na kuhitimisha mgawanyiko na hitilafu za ndani kati ya Wapalestina.
-
Hamas yasisitiza tena udharura wa kuendelezwa mapambano dhidi ya uvamizi wa Israel
May 11, 2016 11:07Naibu Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza juu ya udharura wa kuendelezwa mapambano dhidi ya uvamizi wa utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Hamas: Hujuma mpya ya Israel Ukanda wa Gaza itapata jibu kali
May 06, 2016 23:50Naibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) ameuonya Utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya mashambulizi yake mapya katika Ukanda wa Gaza huku uvamizi huo mpya wa Tel Aviv katika eneo hilo ukiingia siku yake ya nne Jumamosi.
-
Jeshi la Israel laanzisha mashambulizi dhidi ya kambi za Hamas, Gaza
May 04, 2016 22:14Jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel limeshambulia kwa makombora minara ya kijeshi inayomilikiwa na harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas katika Ukanda wa Gaza.