Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

HAMAS

  • Waziri wa Utawala wa Kizayuni wa Israel ataka viongozi wa Hamas watekwe nyara

    Waziri wa Utawala wa Kizayuni wa Israel ataka viongozi wa Hamas watekwe nyara

    Jul 08, 2016 22:59

    Waziri mmoja katika utawala wa Kizayuni wa Israel ametaka viongozi wa ngazi za juu wa Harakati ya Hamas inayotawala Ukanda wa Ghaza watekwe nyara.

  • Hamas: Idi ya kweli ya Wapalestina ni kukombolewa Quds tukufu

    Hamas: Idi ya kweli ya Wapalestina ni kukombolewa Quds tukufu

    Jul 06, 2016 03:19

    Msemaji wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, amesema kuwa harakati hiyo itadumisha mapambano yake dhidi ya utawala ghasibu wa Israel hadi Palestina itakapokombolewa.

  • HAMAS: Tuna matumaini ya kivuko cha Rafah kufunguliwa moja kwa moja

    HAMAS: Tuna matumaini ya kivuko cha Rafah kufunguliwa moja kwa moja

    Jun 17, 2016 00:12

    Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema wana matumaini ya kufunguliwa moja kwa moja kivuko cha Rafah ambacho ni kivuko muhimu zaidi kinachounganisha eneo la Ukanda wa Gaza, Palestina na ulimwengu wa nje.

  • HAMAS: Kuwatia mbaroni Wapalestina kutashamirisha Intifadha

    HAMAS: Kuwatia mbaroni Wapalestina kutashamirisha Intifadha

    Jun 11, 2016 11:00

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imesistiza kuwa kitendo cha askari wa utawala wa Kizayuni cha kuwatia nguvuni Wapalestina kitashamirisha na kupanua zaidi Intifadha ya Quds.

  • Israel yawakataza Wapalestina kutembeleana mwezi wa Ramadhan

    Israel yawakataza Wapalestina kutembeleana mwezi wa Ramadhan

    Jun 09, 2016 09:25

    Utawala wa Kizayuni wa Israel umewapiga marufuku Wapalestina kutembeleana na kufanya ziara katika maeneo matakatifu ya ardhi zao zinazokaliwa kwa mabavu, katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhan, kufuatia shambulizi dhidi ya Tel Aviv.

  • HAMAS: Shambulio dhidi ya Wazayuni ni jibu kwa kushtadi jinai za Israel

    HAMAS: Shambulio dhidi ya Wazayuni ni jibu kwa kushtadi jinai za Israel

    Jun 08, 2016 23:50

    Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS imesema operesheni ya shambulio lililotekelezwa dhidi ya Wazayuni ni matokeo ya jinai zilizoshtadi za utawala wa Kizayuni dhidi ya wananchi wa Palestina.

  • Hamas yakaribisha juhudi za kufikia umoja wa kitaifa Palestina

    Hamas yakaribisha juhudi za kufikia umoja wa kitaifa Palestina

    May 29, 2016 02:55

    Mwakilishi wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas amekaribisha juhudi zozote zenye lengo la kufanikisha umoja wa kitaifa na kuhitimisha mgawanyiko na hitilafu za ndani kati ya Wapalestina.

  • Hamas yasisitiza tena udharura wa kuendelezwa mapambano dhidi ya uvamizi wa Israel

    Hamas yasisitiza tena udharura wa kuendelezwa mapambano dhidi ya uvamizi wa Israel

    May 11, 2016 11:07

    Naibu Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza juu ya udharura wa kuendelezwa mapambano dhidi ya uvamizi wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Hamas: Hujuma mpya ya Israel Ukanda wa Gaza itapata jibu kali

    Hamas: Hujuma mpya ya Israel Ukanda wa Gaza itapata jibu kali

    May 06, 2016 23:50

    Naibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) ameuonya Utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya mashambulizi yake mapya katika Ukanda wa Gaza huku uvamizi huo mpya wa Tel Aviv katika eneo hilo ukiingia siku yake ya nne Jumamosi.

  • Jeshi la Israel laanzisha mashambulizi dhidi ya kambi za Hamas, Gaza

    Jeshi la Israel laanzisha mashambulizi dhidi ya kambi za Hamas, Gaza

    May 04, 2016 22:14

    Jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel limeshambulia kwa makombora minara ya kijeshi inayomilikiwa na harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Palestina Hamas katika Ukanda wa Gaza.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS