Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Hizbullah

  • Hizbullah: Saudia na Marekani zinakwamisha uchaguzi wa Rais wa Lebanon

    Hizbullah: Saudia na Marekani zinakwamisha uchaguzi wa Rais wa Lebanon

    Oct 25, 2022 07:29

    Afisa mwandamizi wa Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesema balozi za Saudi Arabia na Marekani jijini Beirut zimekula njama na kuweka vizingiti vya kila aina ili kukwamisha uchaguzi wa rais, huku ikiwa imesalia wiki moja tu kabla ya kumalizika muhula wa Rais Michel Aoun wa nchi hiyo.

  • Nasrullah: Macho na makombora yetu yameelekezwa kwenye medani ya gesi ya Karish

    Nasrullah: Macho na makombora yetu yameelekezwa kwenye medani ya gesi ya Karish

    Sep 17, 2022 07:29

    Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah, amesema leo Jumamosi kwamba macho na makombora ya harakati hiyo yameelekezwa kwenye medani ya gesi ya Karish, ambao inazozaniwa baina ya Lebanon na utawala haramu wa Israel.

  • Sayyid Nasrullah: Iran ndio moyo wa Uislamu na mrengo wa muqawama

    Sayyid Nasrullah: Iran ndio moyo wa Uislamu na mrengo wa muqawama

    Aug 09, 2022 20:52

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ndio moyo wa Uislamu na mrengo wa muqawama wa Kiislamu duniani.

  • Nasrullah: Makombora ya muqawama yameilazimisha Israel isalimu amri

    Nasrullah: Makombora ya muqawama yameilazimisha Israel isalimu amri

    Aug 08, 2022 02:54

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema maadui Wazayuni wametangaza kuwa wako tayari kufikia makubaliano ya usitishaji vita baada ya makombora na maroketi ya wanamuqawama wa Ukanda wa Gaza kuutiwa kiwewe na wahakama utawala huo wa Kizayuni.

  • Nasrullah: Maeneo yote ya Israel yapo katika shabaha ya makombora ya Hizbullah

    Nasrullah: Maeneo yote ya Israel yapo katika shabaha ya makombora ya Hizbullah

    Jul 26, 2022 03:17

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema makombora yenye usahihi mkubwa katika kulenga shabaha ya harakati hiyo ya muqawama yana uwezo wa kupiga sehemu yoyote ya utawala haramu wa Israel; baharini au ardhini.

  • Yaliyojiri katika kikao cha kwanza cha Bunge la Lebanon

    Yaliyojiri katika kikao cha kwanza cha Bunge la Lebanon

    Jun 02, 2022 22:11

    Kikao cha kwanza cha bunge la Lebanon kimefanyika kwa kuchaguliwa Spika na Naibu Spika wa bunge hilo.

  • Ujumbe wa Idi wa makundi ya muqawama: Mapambano dhidi ya mabeberu yataendelea

    Ujumbe wa Idi wa makundi ya muqawama: Mapambano dhidi ya mabeberu yataendelea

    May 03, 2022 22:06

    Brigedi za Hizbullah nchini Iraq zimesema kuwa, zitaendeleza muqawama na kushikamana vilivyo na Uislamu hadi pale ubeberu wa madola ya Magharibi utakapoangamizwa katika nchi za Waislamu.

  • Hizbullah yatangaza mshikamano na wananchi mashujaa wa Palestina

    Hizbullah yatangaza mshikamano na wananchi mashujaa wa Palestina

    Apr 16, 2022 21:51

    Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imetangaza mshikamano wake na wananchi wa Palestina na kuyatolea wito mataifa ya Kiarabu na Kiislamu kutekeleza majukumu yao katika kuitetea Quds Tukufu.

  • Hizbullah: Marekani, mchochezi wa migogoro Asia Magharibi na kote duniani

    Hizbullah: Marekani, mchochezi wa migogoro Asia Magharibi na kote duniani

    Mar 27, 2022 06:18

    Ofisa mwandamizi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema Marekani inabeba dhima ya kuanzisha na kuchochea migogoro yote inayoshuhudiwa hivi sasa katika eneo la Asia Magharibi na maeneo mengine duniani.

  • 'Kuweko utawala wa Kizayuni huko Kurdistan ya Iraq kutaitumbukiza vitani nchini hiyo'

    'Kuweko utawala wa Kizayuni huko Kurdistan ya Iraq kutaitumbukiza vitani nchini hiyo'

    Mar 21, 2022 23:01

    Msemaji wa masuala ya kijeshi wa harakati ya Hizbullah ya Iraq amesema kuwa, kuweko utawala wa Kizayuni wa Israel katika eneo la Kurdistan la Iraq kutaitumbukiza vitani nchi hiyo ya Kiarabu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS