-
Hizbullah yapinga masharti ya Marekani kwa ajili ya kuundwa serikali mpya ya Lebanon
Nov 26, 2019 04:32Harakati ya Hizbullah ya Lebanon imepinga masharti yaliyotolewa na Marekani kwa ajili ya kuundwa serikali mpya ya Lebanon.
-
Sayyid Hassan Nasrullah: Maadui wamejawa hofu kwa kushuhudia matembezi ya Arubaini
Oct 19, 2019 10:06Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon Sayyid Hassan Nasrullah amesisitiza kuwa, uwepo wa mamilioni ya watu mjini Karbala ni jambo lisilo na mfano katika historia na kwamba Marekani, utawala haramu wa Kizayuni, mabeberu na madhalimu wa dunia wanahisi hofu kubwa kwa kushuhudia matembezi ya mamilioni ya watu katika Arubaini ya Imam Hussein (as).
-
Hizbullah: Hatutosalimu amri mbele ya mashinikizo ya Marekani
Oct 10, 2019 08:37Naibu Mkuu wa Baraza la Utendaji la Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa vikwazo vya Marekani haviwezi kudhoofisha imani na ahadi yake ya kulinda nchi na raia.
-
Aoun atetea oparesheni ya Hizbullah dhidi ya utawala wa Kizayuni
Oct 02, 2019 04:35Rais wa Lebanon amekutana na Mjumbe wa Umoja wa Mataifa katika masuala ya Lebanon na kutetea oparesheni iliyofanywa na harakati ya Hizbullah ya nchi hiyo dhidi ya chokochoko za utawala wa Kizayuni.
-
Sheikh Nabil Qaouk: Vikwazo vya Marekani havijawa na taathira yoyote kwa Hizbullah
Sep 28, 2019 22:59Mjumbe wa Baraza la Utendaji la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, vikwazo vya Marekani dhidi ya harakati hiyo havijawa na taathira na kwamba, vikwazo hivyo ni matokeo ya kukata tamaa Washington.
-
Lebanon yapongeza hatua ya harakati ya Hizbullah ya kulinda nchi dhidi ya Israel
Sep 21, 2019 07:38Waziri wa Mambo ya Nje wa Lebanona sambamba na kubainisha kwamba siasa za serikali ya Beirut ni kujiepusha na aina yoyote ya vita katika eneo, amepongeza hatua ya harakati ya Kiislamu ya Hizbullah ya kulinda nchi hiyo mkabala na shambulio la hivi karibuni la ndege zisizo na rubani za utawala haramu wa Kizayuni.
-
Sayyid Hassan Nasrullah: Vita vyovyote dhidi ya Iran vina maana ya kufutwa Israel katika uso wa dunia
Sep 10, 2019 08:11Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema mbele ya mjumuiko mkubwa wa Waislamu waliofurika kwa ajili ya maombolezo ya Siku ya Ashura ya kukumbuka kuuawa shahidi Imam Husain AS kwamba, vita vyovyote vile dhidi ya Iran vitakuwa na maana ya kuangamizwa na kufutwa katika uso wa dunia, dola pandikizi la Israel.
-
Nasrullah: Hizbullah na Iran haziwezi kuyumbishwa na mashinikizo
Sep 10, 2019 02:47Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema harakati hiyo ya muqawama na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran zitaendelea kusimama kidete dhidi ya mashinikizo na vikwazo vya Marekani.
-
Israel yakiri, Hizbullah imetungua ndege yake isiyo na rubani
Sep 09, 2019 06:56Duru zenye mfungamano na utawala wa Kizayuni wa Israel zimethibitisha kuwa, wapiganaji wa Hizbullah ya Lebanon wametungua ndege isiyo na rubani ya utawala huo.
-
Wazayuni wakiri: Askari watano wa Israel waliuawa ndani ya gari lililoripuliwa na Hizbullah
Sep 03, 2019 22:11Gazeti la Kizayuni la Haaretz limekiri kuwa askari watano wa Israel walikuwemo ndani ya gari la kijeshi lililoripuliwa na wanamuqawama wa Hizbullah ya Lebanon.