-
Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah: Kuundwa serikali ya Lebanon kunategemea uamuzi wa Saad Hariri
Nov 09, 2018 01:10Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa, waziri mkuu mwenye jukumu anao uwezo wa kupata njia ya ufumbuzi wa kimantiki kwa ajili ya kuunda serikali mpya na kwamba suala hilo kwa sasa linategemea uamuzi wake yeye.
-
Wazayuni wangali wana kiwewe na uwezo wa makombora ya Hizbullah ya Lebanon
Oct 29, 2018 01:07Jenerali wa zamani wa jeshi la utawala haramu wa Israel amesema kuwa, Hizbullah ya Lebanon ni kundi lenye uratibu na lililojipanga na kuongeza kuwa, maelfu ya makombora ya Hizbullah yenye umakini wa hali ya juu yanaweza kulenga eneo lolote katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavuu (Israel)
-
Hizbullah ya Lebanon yataka kuundwa serikali mpya haraka iwezekanavyo
Oct 22, 2018 04:13Viongozi wa ngazi ya juu wa harakati ya mapambano ya Kiislamu ya Lebanon Hizbullah wametaka kuundwa haraka iwezekanavyo serikali mpya nchini humo na kupatiwa ufumbuzi hitilafu zilizosalia.
-
Sayyid Hassan Nasrullah: Hizbullah inatumia weledi kusambaratisha fitina za maadui wa muqawama
Oct 19, 2018 21:39Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, harakati hiyo inatumia weledi wa hali ya juu kusambaratisha njama za maadui wenye lengo la kuzusha fitina dhidi ya muqawama.
-
Sayyid Nasrullah: Trump anatumia propaganda chafu dhidi ya Iran kuuza silaha kwa nchi za Kiarabu
Oct 12, 2018 23:19Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, Rais Donald Trump wa Marekani anatumia sera ya kueneza propaganda chafu dhidi ya Iran kwa shabaha ya kutaka kuuza silaha za mabilioni ya dola kwa nchi za Kiarabu.
-
Gebran Bassil: Israel ndio mtendaji wa ugaidi wa kiserikali katika Mashariki ya Kati
Oct 01, 2018 23:41Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Lebanon amesema kuwa, utawala haramu wa Israel ndio mtendaji wa ugaidi wa kiserikali katika eneo la Mashariki ya Kati lakini umekuwa ukizituhumu nchi nyingine.
-
Mchango muhimu wa Hizbullah katika ushindi wa Lebanon dhidi ya ugaidi
Sep 25, 2018 10:28Rais Michel Aoun wa Lebanon ametetea uwepo wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon huko nchini Syria na kusema kuwa, uwepo huo ni kwa ajili ya kuihami nchi yake na hujuma za magaidi.
-
Sayyid Hassan Nasrullah: Mashambulizi ya Israel nchini Syria hayavumiliki tena
Sep 19, 2018 23:22Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, mashambulizi ya mara kwa mara ya utawala wa Kizayuni wa Israel nchini Syria hayavumiliki tena na inabidi yakomeshwe.
-
Hizbullah: Jeshi la anga la Israel haliwezi kuzuia makombora yetu
Sep 12, 2018 22:13Naibu Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah nchini Lebanon amesema kuwa, imekwishayalenga kwa makombora yake maeneo yote muhimu ya Israel, na kwamba jeshi la anga la utawala huo, halina uwezo wa kuzuia makombora hayo.
-
Radiamali ya Hizbullah kwa hatua za Marekani dhidi ya Palestina
Sep 12, 2018 03:19Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon Hizbullah imesema kuwa Washington inaendeleza uadui wake dhidi ya wananchi wa Palestina kwa kustafidi na mbinu zote chafu.