-
Wanamuqawama wanne wa Hizbullah wauawa shahidi kusini mwa Lebanon
Aug 21, 2024 22:49Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon jana Jumatano ilitangaza habari ya kuuliwa shahidi wapiganaji wake wanne kusini mwa nchi hiyo.
-
Droni ya Hizbullah yapaa juu ya makazi ya waziri mkuu wa Israel bila ya kutunguliwa
Aug 19, 2024 02:41Droni (ndege isiyo na rubani) ya Hizbullah iliyotengenezwa maalumu kwa ajili ya kupiga picha, imeruka kwenye kitongoji cha Qaysaria (Caesarea) ambalo ni eneo analoishi waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni, Benjamin Netanyahu na familia yake.
-
Wazayuni waingiwa kiwewe na hofu kutokana na uwezo wa makombora ya Hizbullah
Aug 17, 2024 22:54Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, kwa mara ya kwanza, imeonyesha picha na video za miji yake ya makombora, ambayo ni ishara ya uwezo wa Muqawama kwa ajili ya kujihama, jambo ambalo limesababisha hofu na wahka miongoni mwa Wazayuni.
-
Taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran kwa mnasaba wa maadhimisho ya " Siku ya Muqawama wa Kiislamu"
Aug 14, 2024 03:52Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imetoa taarifa na kupongeza kuadhimishwa "Siku ya Muqawama wa Kiislamu."
-
Matokeo ya operesheni 2,500 za kijeshi za Hizbullah ya Lebanon dhidi ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu
Aug 05, 2024 11:41Katika siku 300 zilizopita tangu kuanza hujuma za utawala wa Kizayuni dhidi ya Gaza, Hizbullah ya Lebanon imelenga shabaha maeneo mbalimbali utawala huo katika operesheni za kijeshi 2,500.
-
Hizbullah yafanya mashambulizi mapya dhidi ya Israel; ving'ora vyalia mtawalia + VIDEO
Aug 04, 2024 03:54Duru za habari za utawala wa Kizayuni wa Israel zimetangaza kuwa, ving'ora vilisikika mtawalia jana, kaskazini mwa ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni, kutokana na mashambulizi makali yaliyofanywa na Hizbullah ya Lebanon.
-
Hizbullah: Mauaji ya Haniya yataimarisha zaidi azma ya wanamapambano ya kukabiliana na adui
Jul 31, 2024 23:46Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon imetoa taarifa na kusisitiza kwamba, kuuawa shahidi Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya HAMAS kutaimarisha zaidi azma ya wapiganaji wa Muqawama ya kukabiliana na adui Mzayuni.
-
Kharazi: Madai ya Israel ya kuhusisha tukio la Golan na Hizbullah ni njama na kichekesho
Jul 30, 2024 08:21Mkuu wa Baraza la Kistratejia la Mahusiano ya Kigeni la Iran ameyataja madai taliyotolewa na Israel ya kulihusisha tukio la Golan inayokaliwa kwa mabavu na Hizbullah kuwa ni kichekesho.
-
Jeshi la utawala wa Kizayuni lafanya shambulio la anga kusini mwa Lebanon
Jul 29, 2024 02:47Ndege za kivita za jeshi la utawala wa Kizayuni kwa mara nyingine tena zimeshambulia kwa mabomu maeneo tofauti ya kusini mwa Lebanon.
-
Iran yaionya Israel dhidi ya 'chokochoko mpya' kuhusu Lebanon
Jul 28, 2024 07:27Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ametahadharisha kuhusu chokochoko yoyote mpya ya utawala wa Kizayuni wa Israel mkabala wa Lebanon.