-
Watalii wa kigeni waongezeka sana nchini Iran
Jul 14, 2016 23:42Zaidi ya watalii 50 elfu wa kigeni wametembelea mkoa wa Isfahan wa katikati mwa Iran katika kipindi cha miezi minne iliyopita.
-
Sauti ya ukombozi wa Quds kusikika leo katika Siku ya Kimataifa ya Quds
Jun 30, 2016 22:14Taifa la Iran na mataifa mengine ya Waislamu leo Ijumaa sambamba na maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds, yatapaza tena sauti ya kupigania ukombozi wa Quds tukufu na kutangaza hasira zao dhidi ya utawala ghasibu wa Israel kwa kushiriki kwa wingi katika maandamano ya siku hii.
-
Dafina za Imam Khomeini kwa mtazamo wa Kiongozi Muadhamu
Jun 04, 2016 00:04Leo Ijumaa, taifa zima la Iran na wapenzi na wafuasi wa njia na fikra za Imam Khomeini MA wameshiriki kwa namna moja au nyinginekatika kumbukumbu za mwaka wa 27 wa kuomboleza siku alipofariki duniani mwanachuoni na shakhsia huyo mkubwa.
-
Kiongozi: Mazungumzo ya nyuklia yamethibitisha Marekani haina mwamana
Jun 03, 2016 10:18Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: Tunapaswa kutumia uzoefu wa mazungumzo ya nyuklia yaliyothibitisha kuwa Marekani haina mwamana na hivyo Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ichukue mkondo wake wa ustawi.
-
Imam Khomeini (ra), Mhuishaji wa dini katika ulimwengu wa sasa
Jun 03, 2016 07:58Assalamu Alaykum wapenzi wasikilizaji. Tuko katika siku za kukumbuka kufariki dunia Imam Khomeini (MA) ambaye ni muanzilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Chuo cha kidini Iran ni cha kimapinduzi
Mar 15, 2016 11:19Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: "Chuo cha kidini (Hawza) mjini Qum kinapaswa kubakia "Chuo cha Kimapinduzi na Chimbuko la Mapinduzi" na ili kufikia lengo hilo kuna haja ya kuwepo fikra, tadbiri na mpango wa kina."