Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Imarati

  • Vipigo vya makombora ya Yemen dhidi ya mishipa ya kiuchumi ya Saudia na Imarati

    Vipigo vya makombora ya Yemen dhidi ya mishipa ya kiuchumi ya Saudia na Imarati

    Sep 05, 2018 01:40

    Jeshi na kamati za kujitolea za wananchi wa Yemen zimeamua kulipiza kisasi cha jinai zinazofanywa na Saudi Arabia na wavamizi wenzake, kupitia kushambulia kwa makombora mishipa ya kiuchumi ya Saudia na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE).

  • UAE ilitumia spyware ya Israel kuwafanyia ujasusi viongozi wa eneo

    UAE ilitumia spyware ya Israel kuwafanyia ujasusi viongozi wa eneo

    Sep 01, 2018 09:33

    Utawala wa Umoja wa Falme za Kiarabu ulitumia programu ya kijasusi ya kudukua kompyuta au simu za mkononi (spyware) kuwafanyia ujasusi viongozi kadhaa wa nchi za Kiarabu akiwemo Amir wa Qatar, Waziri Mkuu wa Lebanon na mwanamfalme mmoja wa Saudia.

  • Ufaransa yadai kuwa wavamizi hawatumii silaha zake katika jinai zao Yemen

    Ufaransa yadai kuwa wavamizi hawatumii silaha zake katika jinai zao Yemen

    Sep 01, 2018 02:56

    Waziri wa Ulinzi wa Ufaransa amedai kuwa, silaha za Ufaransa zilizouziwa Saudia na Imarati sizo zinazotumika kufanya mauaji ya raia nchini Yemen.

  • Qatar yaonyesha wasi wasi wake kutokana na ujasusi unaofanywa na Imarati dhidi yake

    Qatar yaonyesha wasi wasi wake kutokana na ujasusi unaofanywa na Imarati dhidi yake

    Sep 01, 2018 00:08

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Qatar imetoa taarifa ikionyesha wasi wasi wake juu ya ujasusi unaofanywa na baadhi ya shakhsia wa Imarati dhidi ya nchi hiyo.

  • Saudia na Imarati zinailaghai Jordan iunge mkono mpango wa Marekani wa Muamala wa Karne

    Saudia na Imarati zinailaghai Jordan iunge mkono mpango wa Marekani wa Muamala wa Karne

    Aug 31, 2018 23:38

    Mbunge wa Jordan, Khalid Ramadhan amefichua hila na ulaghai mpya unaofanywa na Saudi Arabia ikishirikiana na Umoja wa Falme za Kiarabu, Imarati wa kuishawishi Jordan iunge mkono mpango wa Marekani wa kuiangamiza Palestina unaojulikana kama "Muamala wa Karne".

  • Qatar yazishutumu Saudia, UAE kwa kushirikiana na magaidi wa al Qaeda nchini Yemen

    Qatar yazishutumu Saudia, UAE kwa kushirikiana na magaidi wa al Qaeda nchini Yemen

    Aug 31, 2018 02:02

    Balozi wa Qatar nchini Marekani amezishutumu Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) kwa kuwa na ushirikiano wa siri na magaidi wa al-Qaeda nchini Yemen.

  • Kona zote za Imarati ziko katika shabaha ya silaha za wanamuqawama wa Yemen

    Kona zote za Imarati ziko katika shabaha ya silaha za wanamuqawama wa Yemen

    Aug 29, 2018 00:06

    Msemaji wa jeshi la Yemen alisema Jumatatu usiku baada ya ndege isiyo na rubani ya jeshi na kamati za kujitolea za wananchi wa Yemen kufanya shambulizi katika uwanja wa ndege wa Dubai, katika Umoja wa Falme za Kiarabu, kwamba hivi sasa kila kona ya nchi hiyo ya kifalme iko katika shabaha ya silaha za wanajeshi wa Yemen na inaweza kushambuliwa wakati wowote ule.

  • Uungaji mkono wa silaha wa Imarati kwa magaidi nchini Libya

    Uungaji mkono wa silaha wa Imarati kwa magaidi nchini Libya

    Aug 27, 2018 00:01

    Tovuti ya habari ya Tunisia Online Today imeripoti kuwa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) inawapatia silaha magaidi huko Libya.

  • Amnesty International: Imarati inahusika na jinai zinazojiri Yemen

    Amnesty International: Imarati inahusika na jinai zinazojiri Yemen

    Aug 17, 2018 03:38

    Shirika la Msamaha Duniani Amnesty International limetangaza kuwa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) inahusika na kuteswa na kupotea watu katika maeneo mbalimbali huko Yemen.

  • Mtawala wa Dubai awashambulia viongozi wa nchi za Kiarabu

    Mtawala wa Dubai awashambulia viongozi wa nchi za Kiarabu

    Aug 05, 2018 10:57

    Waziri Mkuu wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) amesema kuwa wanasiasa wa ulimwengu wa Kiarabu wamefeli katika kuziongoza nchi zao na kusisitiza kuwa, mgogoro uliopo hivi sasa katika nchi za Kiarabu unatokana na uongozi mbaya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS