-
Wito wa Wahindu wa kutekelezwa mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu waibua hasira
Dec 25, 2021 04:32Video zinazowaonyesha viongozi wa kidini wa Kihindu nchini India wakitoa wito wa mauaji ya halaiki dhidi ya Waislamu zimezua hasira na wito madai ya kuchukuliwa hatua dhidi ya wahusika.
-
India yawapatia uraia wasio Waislamu kutoka Afghanistan, Pakistan na Bangladesh
Dec 23, 2021 08:08Serikali ya India imesema imewapatia uraia watu elfu tatu, ambao ni raia wa jamii za wachache katika nchi za Afghanistan, Pakistan na Bangladesh.
-
Waziri Mkuu wa Pakistan aionya India: Tutajibu mapigo kwa hatua ya kijeshi kama tulivyofanya 2019
Dec 18, 2021 07:41Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan ameionya India kuwa, endapo itajaribu kuchukua hatua yoyote ya kijeshi dhidi ya Pakistan, nchi hiyo itajibu mapigo kama ilivyofanya mwaka 2019.
-
Mkuu wa Vikosi Vyote vya Ulinzi vya India na mke wake waaga dunia katika ajali ya helikopta
Dec 08, 2021 14:21Mkuu wa Vikosi Vyote vya Ulinzi vya India Jenerali Bipin Rawat, mkewe, na watu wengine 11 wameufariki dunia baada ya helikopta ya kijeshi waliyokuwa wakisafiria kuanguka katika jimbo la kusini la Tamil Nadu.
-
Shule zafungwa Delhi, India kutokana na uchafuzi wa hali ya hewa
Nov 18, 2021 02:56Shule zote katika mji mkuu wa India, New Delhi zimefungwa kutokana na hali chafu ya hewa.
-
Waliofariki dunia kwa mafuriko na maporomoko ya ardhi India na Nepal wapindukia watu 100
Oct 20, 2021 13:11Zaidi ya watu 100 wamefariki dunia baada ya siku kadhaa za mafuriko makubwa na maporomoko ya ardhi yaliyoharibu barabara na nyumba nchini India na Nepal.
-
Mchango wa Maulamaa wa Kishia (30) +SAUTI
Oct 16, 2021 07:42Assalaam alaykum wapenzi wasikilizaji popote pale yanapokufikieni matangazo haya ya Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Pakistan yataka kuwajibishwa India kwa jinai dhidi ya wakazi wa Kashmir
Aug 06, 2021 02:21Pakistan imeitaka jamii ya kimataifa kuiwajibisha na kuibebesha dhima New Delhi, kwa kukanyaga haki za binadamu katika eneo linalodhibitiwa na India huko Jammu na Kashmir.
-
WHO yatahadharisha kuhusu aina mpya ya virusi vya corona nchini India
Jun 02, 2021 12:47Shirika la Afya Duniani (WHO) limetahadharisha kuhusu hatari ya aina mpya tatu za virusi vya corona viliyoibuka nchini India na kutangaza kuwa, mojawapo ya aina hizo tatu ndiyo inayotia wasiwasi zaidi.
-
Jumanne tarehe 18 Mei 2021
May 18, 2021 02:56Leo ni Jumanne tarehe 6 Shawwal 1442 Hijria sawa na tarehe 18 Mei mwaka 2021.