-
Maporomoko ya udongo yaongezeka Indonesia; waokoaji wapambana kunusuru watu waliokwama
Jan 25, 2026 07:49Wafanyakazi wa huduma za uokoaji nchni Indonesia leo wameendelea kufanya juhudi kubwa ndani ya matope kufuatia maporoko ya udongo yaliyoikumba nchi hiyo kwa lengo la kutafuta makumi ya watu ambao hadi sasa bado hawajulikani walipo.
-
Waliofariki kwa mafuriko Indonesia wapindukia 300, kimbunga Ditwah kimeshaua 123 Sri Linka
Nov 29, 2025 09:43Shirika la Taifa la Usimamizi wa Maafa la Indonesia BNPB limetangaza leo kuwa idadi ya waliofariki kutokana na mafuriko na maporomoko ya ardhi yaliyotokea wiki hii sasa imefikia 248, huku zaidi ya watu 100 wakiwa hawajulikani walipo, baada ya waokoaji katika wilaya ya Agam ya Sumatra Magharibi kupata miili zaidi.
-
Jumapili, 02 Novemba, 2025
Nov 02, 2025 23:00Leo ni Jumapili 11 Mfunguo Nane Jamadul-Awwal 1447 Hijria mwafaka na Pili Novemba 2025 Miladia.
-
Marufuku ya kuingia wanariadha wa utawala wa Kizayuni nchini Indonesia
Oct 27, 2025 01:00Indonesia inachukulia marufuku ya kuingia wanariadha wa utawala Kizayuni wa Israel katika nchi hiyo kuwa haki yake halali.
-
Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa lahimizwa lipeleke vikosi vya kulinda amani Ghaza
Aug 23, 2025 06:02Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Euro-Mediterania limelitaka Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa litekeleze azimio la kihistoria kwa kupitisha uamuzi wa kulivuka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na kupeleka kikosi cha kulinda amani katika Ukanda wa Ghaza.
-
Jumapili, 17 Agosti 2025
Aug 16, 2025 22:58Leo ni Jumapili 23 Mfunguo Tano Safar 1447 Hijria mwafaka na Agostu 17 2025 Miladia.
-
CAIR yamjibu Papa: Mauaji ya kimbari ya Ghaza si ya kuchunguzwa, ni jambo lililo dhahiri
Nov 18, 2024 03:11Baraza la Mahusiano ya Kiislamu Marekani (CAIR) limekaribisha wito wa Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis wa kufanywa uchunguzi ili kubaini kama utawala wa Kizayuni umefanya mauaji ya kimbari ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza, lakini limesisitiza kuwa hauhitajiki uchunguzi na uthibitisho kwa jambo lililo dhahiri.
-
Jumamosi, 02 Novemba, 2024
Nov 01, 2024 23:24Leo ni Jumamosi tarehe 29 Mfunguo Saba Rabiuthani 1446 Hijria mwafaka na 3 Novemba 2024 Miladia.
-
Iran yaendelea na jitihada za kusimamishwa vita Ghaza na Lebanon
Oct 31, 2024 03:41Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo na mawaziri wenzake wa mambo ya nje wa Misri, Indonesia na Qatar na kujadiliana nao masuala ya kikanda na uhusiano wa pande mbili ikiwa ni muondelezo wa jitihada za Iran za kuhakikisha vita vinakomeshwa huko Ghaza na Lebanon.
-
Indonesia yaeleza hamu yake ya kuwa mwanachama wa Bunge la Qur'ani la Ulimwengu wa Kiislamu
Oct 25, 2024 23:33Mkurugenzi Mkuu wa Miongozo ya Jamii ya Kiislamu wa Wizara ya Dini ya Indonesia ametangaza kuwa nchi yake iko tayari kujiunga na Bunge la Qur'ani la Ulimwengu wa Kiislamu.