-
Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa lahimizwa lipeleke vikosi vya kulinda amani Ghaza
Aug 23, 2025 09:32Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Euro-Mediterania limelitaka Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa litekeleze azimio la kihistoria kwa kupitisha uamuzi wa kulivuka Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa na kupeleka kikosi cha kulinda amani katika Ukanda wa Ghaza.
-
Jumapili, 17 Agosti 2025
Aug 17, 2025 02:28Leo ni Jumapili 23 Mfunguo Tano Safar 1447 Hijria mwafaka na Agostu 17 2025 Miladia.
-
CAIR yamjibu Papa: Mauaji ya kimbari ya Ghaza si ya kuchunguzwa, ni jambo lililo dhahiri
Nov 18, 2024 06:41Baraza la Mahusiano ya Kiislamu Marekani (CAIR) limekaribisha wito wa Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani Papa Francis wa kufanywa uchunguzi ili kubaini kama utawala wa Kizayuni umefanya mauaji ya kimbari ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza, lakini limesisitiza kuwa hauhitajiki uchunguzi na uthibitisho kwa jambo lililo dhahiri.
-
Jumamosi, 02 Novemba, 2024
Nov 02, 2024 02:54Leo ni Jumamosi tarehe 29 Mfunguo Saba Rabiuthani 1446 Hijria mwafaka na 3 Novemba 2024 Miladia.
-
Iran yaendelea na jitihada za kusimamishwa vita Ghaza na Lebanon
Oct 31, 2024 07:11Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo na mawaziri wenzake wa mambo ya nje wa Misri, Indonesia na Qatar na kujadiliana nao masuala ya kikanda na uhusiano wa pande mbili ikiwa ni muondelezo wa jitihada za Iran za kuhakikisha vita vinakomeshwa huko Ghaza na Lebanon.
-
Indonesia yaeleza hamu yake ya kuwa mwanachama wa Bunge la Qur'ani la Ulimwengu wa Kiislamu
Oct 26, 2024 03:03Mkurugenzi Mkuu wa Miongozo ya Jamii ya Kiislamu wa Wizara ya Dini ya Indonesia ametangaza kuwa nchi yake iko tayari kujiunga na Bunge la Qur'ani la Ulimwengu wa Kiislamu.
-
Jumatatu, tarehe 30 Septemba, 2024
Sep 30, 2024 02:23Leo ni Jumatatu tarehe 26 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1446 Hijria inayosadifiana na tarehe 30 Septemba 2024.
-
Alkhamisi, tarehe Pili Novemba, 2023
Nov 02, 2023 07:14Leo ni Alkhamisi tarehe 17 Rabiuthani 1445 Hijria sawa na Novemba Pili mwaka 2023
-
Matunda ya kisiasa na kiuchumi ya safari ya Rais wa Iran nchini Indonesia
May 26, 2023 11:57Jumatano ya juzi Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran alikamilisha safari yake ya siku mbili nchini Indonesia.
-
Raisi: Umoja na mshikamano wa Waislamu ni jambo muhimu, la kimkakati
May 25, 2023 01:59Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameutaja mshikamano, umoja na mfungamano wa Waislamu kuwa ni jambo muhimu na la kistratijia.