Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Indonesia

  • Raisi: Mabadilishano ya kibiashara kati ya Iran na Indonesia yatafanyika kwa kutumia sarafu za taifa

    Raisi: Mabadilishano ya kibiashara kati ya Iran na Indonesia yatafanyika kwa kutumia sarafu za taifa

    May 23, 2023 13:33

    Rais Ebrahim Raisi amesema: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Indonesia zimeamua kufanya mabadilishano ya kibiashara kwa kutumia sarafu zao za taifa.

  • Rais wa Iran awasili Jakarta, Indonesia kwa ziara rasmi ya siku mbili

    Rais wa Iran awasili Jakarta, Indonesia kwa ziara rasmi ya siku mbili

    May 23, 2023 03:27

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewasili Jakarta mji mkuu wa Indonesia kwa ziara rasmi ya siku mbili.

  • Shujaa wa Iran aunga mkono uamuzi wa serikali ya Indonesia wa kuzuia timu ya Israel kuingia mjini Jakarta

    Shujaa wa Iran aunga mkono uamuzi wa serikali ya Indonesia wa kuzuia timu ya Israel kuingia mjini Jakarta

    Apr 02, 2023 07:55

    Mshindi wa medali ya dhahabu katika Michezo ya Para-Asia 2018 mjini Jakarta ametoa medali yake kwa watu wa Indonesia ili kuunga mkono hatua ya serikali ya nchi hiyo ya kuzuia timu ya soka ya Israel kuingia mjini Jakarta.

  • Waislamu Indonesia walaani uepo wa Israel Kombe la Dunia U20

    Waislamu Indonesia walaani uepo wa Israel Kombe la Dunia U20

    Mar 21, 2023 02:28

    Wananchi Waislamu wa Indonesia wamefanya maandamano ya kulalamikia hatua ya kuruhusiwa utawala haramu wa Israel kushiriki katika fainali za Kombe la Dunia katika mchezo wa kandanda kwa vijana wa kiume wenye umri usiozidi miaka 20.

  • Hatimaye Waislamu Warohingya wawasili pwani ya Indonesia baada ya kutaabika baharini kwa mwezi mzima

    Hatimaye Waislamu Warohingya wawasili pwani ya Indonesia baada ya kutaabika baharini kwa mwezi mzima

    Dec 26, 2022 02:17

    Makumi ya Waislamu wakimbizi wa jamii ya Rohingya kutoka Myanmar waliodhoofu kwa njaa na kiu wamepatikana ufukweni mwa pwani ya jimbo la Aceh kaskazini ya Indonesia baada ya wiki kadhaa za kutaabika na kutangatanga baharini.

  • Indonesia yakataa kumpokea mjumbe maalumu wa kutetea ubaradhuli wa Marekani

    Indonesia yakataa kumpokea mjumbe maalumu wa kutetea ubaradhuli wa Marekani

    Dec 03, 2022 10:44

    Marekani imelazimika kufuta safari ya mjumbe wake maalumu wa kutetea eti haki za mabaradhuli (LGBTQ) nchini Indonesia, baada ya nchi hiyo ya kusini mashariki mwa Asia kusema kuwa haitampokea afisa huyo wa Washington.

  • Mtetemeko wa ardhi waua watu 162 nchini Indonesia

    Mtetemeko wa ardhi waua watu 162 nchini Indonesia

    Nov 22, 2022 02:37

    Watu zaidi ya 160 wanaripotiwa kupoteza maisha nchini Indonesia baada ya kutokea mtetemeko wa ardhi katika eneo la Cianjur, mkoa wa Java Magharibi.

  • 174 waaga dunia katika mkanyangano kwenye uwanja wa soka Indonesia

    174 waaga dunia katika mkanyangano kwenye uwanja wa soka Indonesia

    Oct 02, 2022 07:34

    Kwa akali watu 174 wamepoteza maisha baada ya mashabiki wa timu hasimu za mpira wa miguu kushambuliana katika uwanja wa soka nchini Indonesia.

  • Jumatano, Agosti 17, 2022

    Jumatano, Agosti 17, 2022

    Aug 17, 2022 02:30

    Leo ni Jumatano mwezi 19 Mfunguo Nne Mharram 1444 Hijria sawa na Agosti 17 mwaka 2020 Milaadia.

  • Marais wa Iran na Indonesia wasisitiza kupanua uhusiano katika nyanja mbalimbali

    Marais wa Iran na Indonesia wasisitiza kupanua uhusiano katika nyanja mbalimbali

    May 05, 2022 02:44

    Marais wa Iran na Indonesia wamefanya mazungumzo ya simu wakijadili uwezo wa nchi hizo mbili katika nyanja mbalimbali na kusisitiza ulazima wa kufanyika juhudi za pamoja za kuboresha kiwango cha ushirikiano wa pande mbili.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS