-
Alkhamisi, tarehe Pili Novemba, 2023
Nov 02, 2023 07:14Leo ni Alkhamisi tarehe 17 Rabiuthani 1445 Hijria sawa na Novemba Pili mwaka 2023
-
Matunda ya kisiasa na kiuchumi ya safari ya Rais wa Iran nchini Indonesia
May 26, 2023 11:57Jumatano ya juzi Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran alikamilisha safari yake ya siku mbili nchini Indonesia.
-
Raisi: Umoja na mshikamano wa Waislamu ni jambo muhimu, la kimkakati
May 25, 2023 01:59Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameutaja mshikamano, umoja na mfungamano wa Waislamu kuwa ni jambo muhimu na la kistratijia.
-
Raisi: Mabadilishano ya kibiashara kati ya Iran na Indonesia yatafanyika kwa kutumia sarafu za taifa
May 23, 2023 13:33Rais Ebrahim Raisi amesema: Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Indonesia zimeamua kufanya mabadilishano ya kibiashara kwa kutumia sarafu zao za taifa.
-
Rais wa Iran awasili Jakarta, Indonesia kwa ziara rasmi ya siku mbili
May 23, 2023 03:27Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewasili Jakarta mji mkuu wa Indonesia kwa ziara rasmi ya siku mbili.
-
Shujaa wa Iran aunga mkono uamuzi wa serikali ya Indonesia wa kuzuia timu ya Israel kuingia mjini Jakarta
Apr 02, 2023 07:55Mshindi wa medali ya dhahabu katika Michezo ya Para-Asia 2018 mjini Jakarta ametoa medali yake kwa watu wa Indonesia ili kuunga mkono hatua ya serikali ya nchi hiyo ya kuzuia timu ya soka ya Israel kuingia mjini Jakarta.
-
Waislamu Indonesia walaani uepo wa Israel Kombe la Dunia U20
Mar 21, 2023 02:28Wananchi Waislamu wa Indonesia wamefanya maandamano ya kulalamikia hatua ya kuruhusiwa utawala haramu wa Israel kushiriki katika fainali za Kombe la Dunia katika mchezo wa kandanda kwa vijana wa kiume wenye umri usiozidi miaka 20.
-
Hatimaye Waislamu Warohingya wawasili pwani ya Indonesia baada ya kutaabika baharini kwa mwezi mzima
Dec 26, 2022 02:17Makumi ya Waislamu wakimbizi wa jamii ya Rohingya kutoka Myanmar waliodhoofu kwa njaa na kiu wamepatikana ufukweni mwa pwani ya jimbo la Aceh kaskazini ya Indonesia baada ya wiki kadhaa za kutaabika na kutangatanga baharini.
-
Indonesia yakataa kumpokea mjumbe maalumu wa kutetea ubaradhuli wa Marekani
Dec 03, 2022 10:44Marekani imelazimika kufuta safari ya mjumbe wake maalumu wa kutetea eti haki za mabaradhuli (LGBTQ) nchini Indonesia, baada ya nchi hiyo ya kusini mashariki mwa Asia kusema kuwa haitampokea afisa huyo wa Washington.
-
Mtetemeko wa ardhi waua watu 162 nchini Indonesia
Nov 22, 2022 02:37Watu zaidi ya 160 wanaripotiwa kupoteza maisha nchini Indonesia baada ya kutokea mtetemeko wa ardhi katika eneo la Cianjur, mkoa wa Java Magharibi.