-
Jumanne tarehe Pili Novemba 2021
Nov 02, 2021 00:57Leo ni Jumanne tarehe 26 Rabiul Awwal 1443 Hijria sawa na Novemba Pili mwaka 2021.
-
Waindonesia waandamana kulaani uungaji mkono wa US kwa Israel
May 28, 2021 12:31Wananchi wa Indonesia wamefanya maandamano nje ya ubalozi wa Marekani na ofisi za Umoja wa Mataifa jijini Jakarta kulalamikia na kulaani uungaji mkono wa Marekani kwa jinai za utawala haramu wa Israel.
-
Hakuna matumaini ya kuwapata hai watu 53 katika nyambizi iliyozama ya Indonesia
Apr 25, 2021 06:37Maafisa wa Indonesia wamesema mabaki ya nyambizi ya nchi hiyo iliyotoweka siku chache zilizopita yamepatikana, na hivyo matumaini ya kuwakuta wakiwa hai mabaharia 53 kwenye chombo hicho yamefifia kikamilifu.
-
Makumi wafariki dunia kutokana na mafuriko, maporomoko ya ardhi Indonesia
Apr 04, 2021 12:50Makumi ya watu wamepoteza maisha na wengine wengi hawajulikani walipo baada ya kutokea mafuriko na maporomoko ya ardhi nchini Indonesia.
-
Indonesia yathibitisha kuanguka baharini ndege iliyokuwa imebeba abiria 62
Jan 10, 2021 08:18Wizara ya Uchukuzi ya Indonesia imethibitisha kuwa, ndege ya abiria ya nchi hiyo ambayo iliripotiwa kupoteza mawasiliano muda mfupi baada ya kupaa kutoka Uwanja wa Ndege wa Jakarta, imeanguka baharini ikiwa na abiria 62 wakiwemo watoto 10.
-
Marekani yaipendekezea Indonesia rushwa ya dola bilioni 2 ianzishe uhusiano na Israel
Dec 24, 2020 03:31Mkuu wa shirika la kimataifa la ustawi wa fedha la Marekani ameipendekezea Indonesia rushwa ya dola bilioni 2 ili ikubali kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Indonesia yakadhibisha madai ya kutaka kuanzisha uhusiano na Israel
Dec 17, 2020 04:42Indonesia imekanusha madai ya kipropaganda ya vyombo vya habari vya Wazayuni kwamba inataka kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia na utawala haramu wa Israel.
-
Makumbusho kubwa ya Muhammadiyah kufunguliwa nchini Indonesia mapema 2021
Nov 22, 2020 12:33Makumbusho ya Muhammadiyah iliyojengwa katika mji mkuu wa Indonesia Jakarta inatazamiwa kuwa makumbusho kubwa kabisa kuhusu Bwana Mtume Muhammad SAW.
-
Jumatatu tarehe Pili Novemba 2020
Nov 02, 2020 02:31Leo ni Jumatatu tarehe 16 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1442 Hijria sawa na Novemba Pili mwaka 2020.
-
Rais wa Indonesia akosoa undumakuwili wa Wamagharibi kuhusu uhuru wa kujieleza
Nov 01, 2020 11:49Rais Joko Widodo wa Indonesia amekosoa undumakuwili wa nchi za Magharibi kuhusu uhuru wa maoni na kujieleza na kusema: "Uhuru wa maoni ambao unavunjia heshima matukufu ya kidini haukubaliki."