Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Indonesia

  • Jumanne tarehe Pili Novemba 2021

    Jumanne tarehe Pili Novemba 2021

    Nov 02, 2021 00:57

    Leo ni Jumanne tarehe 26 Rabiul Awwal 1443 Hijria sawa na Novemba Pili mwaka 2021.

  • Waindonesia waandamana kulaani uungaji mkono wa US kwa Israel

    Waindonesia waandamana kulaani uungaji mkono wa US kwa Israel

    May 28, 2021 12:31

    Wananchi wa Indonesia wamefanya maandamano nje ya ubalozi wa Marekani na ofisi za Umoja wa Mataifa jijini Jakarta kulalamikia na kulaani uungaji mkono wa Marekani kwa jinai za utawala haramu wa Israel.

  • Hakuna matumaini ya kuwapata hai watu 53 katika nyambizi iliyozama ya Indonesia

    Hakuna matumaini ya kuwapata hai watu 53 katika nyambizi iliyozama ya Indonesia

    Apr 25, 2021 06:37

    Maafisa wa Indonesia wamesema mabaki ya nyambizi ya nchi hiyo iliyotoweka siku chache zilizopita yamepatikana, na hivyo matumaini ya kuwakuta wakiwa hai mabaharia 53 kwenye chombo hicho yamefifia kikamilifu.

  • Makumi wafariki dunia kutokana na mafuriko, maporomoko ya ardhi Indonesia

    Makumi wafariki dunia kutokana na mafuriko, maporomoko ya ardhi Indonesia

    Apr 04, 2021 12:50

    Makumi ya watu wamepoteza maisha na wengine wengi hawajulikani walipo baada ya kutokea mafuriko na maporomoko ya ardhi nchini Indonesia.

  • Indonesia yathibitisha kuanguka baharini ndege iliyokuwa imebeba abiria 62

    Indonesia yathibitisha kuanguka baharini ndege iliyokuwa imebeba abiria 62

    Jan 10, 2021 08:18

    Wizara ya Uchukuzi ya Indonesia imethibitisha kuwa, ndege ya abiria ya nchi hiyo ambayo iliripotiwa kupoteza mawasiliano muda mfupi baada ya kupaa kutoka Uwanja wa Ndege wa Jakarta, imeanguka baharini ikiwa na abiria 62 wakiwemo watoto 10.

  • Marekani yaipendekezea Indonesia rushwa ya dola bilioni 2 ianzishe uhusiano na Israel

    Marekani yaipendekezea Indonesia rushwa ya dola bilioni 2 ianzishe uhusiano na Israel

    Dec 24, 2020 03:31

    Mkuu wa shirika la kimataifa la ustawi wa fedha la Marekani ameipendekezea Indonesia rushwa ya dola bilioni 2 ili ikubali kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Indonesia yakadhibisha madai ya kutaka kuanzisha uhusiano na Israel

    Indonesia yakadhibisha madai ya kutaka kuanzisha uhusiano na Israel

    Dec 17, 2020 04:42

    Indonesia imekanusha madai ya kipropaganda ya vyombo vya habari vya Wazayuni kwamba inataka kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia na utawala haramu wa Israel.

  • Makumbusho kubwa ya Muhammadiyah kufunguliwa nchini Indonesia mapema 2021

    Makumbusho kubwa ya Muhammadiyah kufunguliwa nchini Indonesia mapema 2021

    Nov 22, 2020 12:33

    Makumbusho ya Muhammadiyah iliyojengwa katika mji mkuu wa Indonesia Jakarta inatazamiwa kuwa makumbusho kubwa kabisa kuhusu Bwana Mtume Muhammad SAW.

  • Jumatatu tarehe Pili Novemba 2020

    Jumatatu tarehe Pili Novemba 2020

    Nov 02, 2020 02:31

    Leo ni Jumatatu tarehe 16 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1442 Hijria sawa na Novemba Pili mwaka 2020.

  • Rais wa Indonesia akosoa undumakuwili wa Wamagharibi kuhusu uhuru wa kujieleza

    Rais wa Indonesia akosoa undumakuwili wa Wamagharibi kuhusu uhuru wa kujieleza

    Nov 01, 2020 11:49

    Rais Joko Widodo wa Indonesia amekosoa undumakuwili wa nchi za Magharibi kuhusu uhuru wa maoni na kujieleza na kusema: "Uhuru wa maoni ambao unavunjia heshima matukufu ya kidini haukubaliki."

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS