Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Indonesia

  • Indonesia yakadhibisha madai ya kutaka kuanzisha uhusiano na Israel

    Indonesia yakadhibisha madai ya kutaka kuanzisha uhusiano na Israel

    Dec 17, 2020 01:12

    Indonesia imekanusha madai ya kipropaganda ya vyombo vya habari vya Wazayuni kwamba inataka kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia na utawala haramu wa Israel.

  • Makumbusho kubwa ya Muhammadiyah kufunguliwa nchini Indonesia mapema 2021

    Makumbusho kubwa ya Muhammadiyah kufunguliwa nchini Indonesia mapema 2021

    Nov 22, 2020 09:03

    Makumbusho ya Muhammadiyah iliyojengwa katika mji mkuu wa Indonesia Jakarta inatazamiwa kuwa makumbusho kubwa kabisa kuhusu Bwana Mtume Muhammad SAW.

  • Jumatatu tarehe Pili Novemba 2020

    Jumatatu tarehe Pili Novemba 2020

    Nov 01, 2020 23:01

    Leo ni Jumatatu tarehe 16 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1442 Hijria sawa na Novemba Pili mwaka 2020.

  • Rais wa Indonesia akosoa undumakuwili wa Wamagharibi kuhusu uhuru wa kujieleza

    Rais wa Indonesia akosoa undumakuwili wa Wamagharibi kuhusu uhuru wa kujieleza

    Nov 01, 2020 08:19

    Rais Joko Widodo wa Indonesia amekosoa undumakuwili wa nchi za Magharibi kuhusu uhuru wa maoni na kujieleza na kusema: "Uhuru wa maoni ambao unavunjia heshima matukufu ya kidini haukubaliki."

  • Dunia yaendelea kulaani matamshi ya Rais wa Ufaransa ya kumvunjia heshima Mtume (saw)

    Dunia yaendelea kulaani matamshi ya Rais wa Ufaransa ya kumvunjia heshima Mtume (saw)

    Nov 01, 2020 04:40

    Wimbi kali la kulaani matamshi yaliyotolewa na Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa akitetea matusi na kuvunjiwa heshima Mtume Muhammad (saw) nchini humo limeendelea kushuhudiwa katika pembe mbalimbali za dunia.

  • Upinzani wa Marekani kwa azimio la Baraza la Usalama kuhusu matakfiri; kutengwa zaidi Washington

    Upinzani wa Marekani kwa azimio la Baraza la Usalama kuhusu matakfiri; kutengwa zaidi Washington

    Sep 01, 2020 22:12

    Marekani imekuwa na nafasi muhimu katika kuibuka na kuenea makundi ya kigaidi na kitakfiri hususan kundi la kigaidi la Daesh tangu kuanza mgogoro nchini Syria mwaka 2011.

  • Jumamosi, tarehe Pili Novemba, 2019

    Jumamosi, tarehe Pili Novemba, 2019

    Nov 02, 2019 00:45

    Leo ni Jumamosi tarehe Nne Mfunguo Sita Rabiul-Awwal 1441 Hijria mwafaka na tarehe Pili Novemba 2019 Miladia.

  • Dakta Zarif: Iran na Indonesia zina mtazamo mmoja kuhusu kadhia ya Palestina

    Dakta Zarif: Iran na Indonesia zina mtazamo mmoja kuhusu kadhia ya Palestina

    Sep 06, 2019 22:08

    Dakta Muhammad Javad Zarif, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Iran na Indonesia zina mtazamo mmoja kuhusiana na kadhia ya Palestina na kubainisha kwamba, Baytul-Muqaddas ni kibla cha kwanza cha Waislamu.

  • Wafanyabiashara wa Indonesia: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran ni ugaidi wa uchumi

    Wafanyabiashara wa Indonesia: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran ni ugaidi wa uchumi

    Jul 01, 2019 21:56

    Wafanyabiashara na wamiliki wa viwanda nchini Indonesia walioshiriki kikao cha pamoja na wafanyabiashara wa Iran mjini Jakarta mji mkuu wa nchi hiyo, wamepinga vikali vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran na kuvitaja kuwa ni ugaidi katika uga wa uchumi.

  • Wafanyakazi Indonesia wapewa mshahara maradufu Ramadhani

    Wafanyakazi Indonesia wapewa mshahara maradufu Ramadhani

    May 12, 2019 03:09

    Wafanyakazi nchini Indonesia wanatazamia kupewa mshahara mara mbili katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani, ili kuwawezesha kufurahia sikukuu ya Idul Fitr ambayo ni moja ya likizo ndefu zaidi nchini humo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS