Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Indonesia

  • Rais wa Indonesia akosoa undumakuwili wa Wamagharibi kuhusu uhuru wa kujieleza

    Rais wa Indonesia akosoa undumakuwili wa Wamagharibi kuhusu uhuru wa kujieleza

    Nov 01, 2020 11:49

    Rais Joko Widodo wa Indonesia amekosoa undumakuwili wa nchi za Magharibi kuhusu uhuru wa maoni na kujieleza na kusema: "Uhuru wa maoni ambao unavunjia heshima matukufu ya kidini haukubaliki."

  • Dunia yaendelea kulaani matamshi ya Rais wa Ufaransa ya kumvunjia heshima Mtume (saw)

    Dunia yaendelea kulaani matamshi ya Rais wa Ufaransa ya kumvunjia heshima Mtume (saw)

    Nov 01, 2020 08:10

    Wimbi kali la kulaani matamshi yaliyotolewa na Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa akitetea matusi na kuvunjiwa heshima Mtume Muhammad (saw) nchini humo limeendelea kushuhudiwa katika pembe mbalimbali za dunia.

  • Upinzani wa Marekani kwa azimio la Baraza la Usalama kuhusu matakfiri; kutengwa zaidi Washington

    Upinzani wa Marekani kwa azimio la Baraza la Usalama kuhusu matakfiri; kutengwa zaidi Washington

    Sep 02, 2020 02:42

    Marekani imekuwa na nafasi muhimu katika kuibuka na kuenea makundi ya kigaidi na kitakfiri hususan kundi la kigaidi la Daesh tangu kuanza mgogoro nchini Syria mwaka 2011.

  • Jumamosi, tarehe Pili Novemba, 2019

    Jumamosi, tarehe Pili Novemba, 2019

    Nov 02, 2019 04:15

    Leo ni Jumamosi tarehe Nne Mfunguo Sita Rabiul-Awwal 1441 Hijria mwafaka na tarehe Pili Novemba 2019 Miladia.

  • Dakta Zarif: Iran na Indonesia zina mtazamo mmoja kuhusu kadhia ya Palestina

    Dakta Zarif: Iran na Indonesia zina mtazamo mmoja kuhusu kadhia ya Palestina

    Sep 07, 2019 02:38

    Dakta Muhammad Javad Zarif, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Iran na Indonesia zina mtazamo mmoja kuhusiana na kadhia ya Palestina na kubainisha kwamba, Baytul-Muqaddas ni kibla cha kwanza cha Waislamu.

  • Wafanyabiashara wa Indonesia: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran ni ugaidi wa uchumi

    Wafanyabiashara wa Indonesia: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran ni ugaidi wa uchumi

    Jul 02, 2019 02:26

    Wafanyabiashara na wamiliki wa viwanda nchini Indonesia walioshiriki kikao cha pamoja na wafanyabiashara wa Iran mjini Jakarta mji mkuu wa nchi hiyo, wamepinga vikali vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran na kuvitaja kuwa ni ugaidi katika uga wa uchumi.

  • Wafanyakazi Indonesia wapewa mshahara maradufu Ramadhani

    Wafanyakazi Indonesia wapewa mshahara maradufu Ramadhani

    May 12, 2019 07:39

    Wafanyakazi nchini Indonesia wanatazamia kupewa mshahara mara mbili katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani, ili kuwawezesha kufurahia sikukuu ya Idul Fitr ambayo ni moja ya likizo ndefu zaidi nchini humo.

  • Taarifa za visanduku vyeusi: Ajali ya ndege ya Ethiopia 'inafanana' na ya Lion Air ya Indonesia

    Taarifa za visanduku vyeusi: Ajali ya ndege ya Ethiopia 'inafanana' na ya Lion Air ya Indonesia

    Mar 18, 2019 07:14

    Taarifa za awali zilizopatikana kwenye vinasa taarifa na sauti vya ndege ya Ethiopia iliyoanguka siku kadhaa zilizopita zinaonyesha kuwa, kuna "mshabihiano wa wazi" kati ya ajali ya ndege hiyo na ile ya shirika la ndege la Indonesia la Lion Air iliyotokea mwezi Oktoba mwaka jana.

  • Safari ya Mohammad Bin Salman nchini Malaysia na Indonesia yaahirishwa ghafla

    Safari ya Mohammad Bin Salman nchini Malaysia na Indonesia yaahirishwa ghafla

    Feb 17, 2019 05:04

    Safari ya Mohammad Bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia nchini Malaysia na Indonesia imearishwa ghfla bila kutolewa sababu.

  • Indonesia yaanza kuwatafuta manusura waliofukiwa katika maporomoko ya udongo

    Indonesia yaanza kuwatafuta manusura waliofukiwa katika maporomoko ya udongo

    Jan 01, 2019 15:04

    Timu ya waokoaji imeendelea na zoezi la kutafuta watu ambao bado wako hai baada ya mvua kubwa kunyesha na kusababisha maporoko ya udongo mashariki mwa Indonesia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS