-
Rais wa Indonesia akosoa undumakuwili wa Wamagharibi kuhusu uhuru wa kujieleza
Nov 01, 2020 11:49Rais Joko Widodo wa Indonesia amekosoa undumakuwili wa nchi za Magharibi kuhusu uhuru wa maoni na kujieleza na kusema: "Uhuru wa maoni ambao unavunjia heshima matukufu ya kidini haukubaliki."
-
Dunia yaendelea kulaani matamshi ya Rais wa Ufaransa ya kumvunjia heshima Mtume (saw)
Nov 01, 2020 08:10Wimbi kali la kulaani matamshi yaliyotolewa na Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa akitetea matusi na kuvunjiwa heshima Mtume Muhammad (saw) nchini humo limeendelea kushuhudiwa katika pembe mbalimbali za dunia.
-
Upinzani wa Marekani kwa azimio la Baraza la Usalama kuhusu matakfiri; kutengwa zaidi Washington
Sep 02, 2020 02:42Marekani imekuwa na nafasi muhimu katika kuibuka na kuenea makundi ya kigaidi na kitakfiri hususan kundi la kigaidi la Daesh tangu kuanza mgogoro nchini Syria mwaka 2011.
-
Jumamosi, tarehe Pili Novemba, 2019
Nov 02, 2019 04:15Leo ni Jumamosi tarehe Nne Mfunguo Sita Rabiul-Awwal 1441 Hijria mwafaka na tarehe Pili Novemba 2019 Miladia.
-
Dakta Zarif: Iran na Indonesia zina mtazamo mmoja kuhusu kadhia ya Palestina
Sep 07, 2019 02:38Dakta Muhammad Javad Zarif, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Iran na Indonesia zina mtazamo mmoja kuhusiana na kadhia ya Palestina na kubainisha kwamba, Baytul-Muqaddas ni kibla cha kwanza cha Waislamu.
-
Wafanyabiashara wa Indonesia: Vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran ni ugaidi wa uchumi
Jul 02, 2019 02:26Wafanyabiashara na wamiliki wa viwanda nchini Indonesia walioshiriki kikao cha pamoja na wafanyabiashara wa Iran mjini Jakarta mji mkuu wa nchi hiyo, wamepinga vikali vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran na kuvitaja kuwa ni ugaidi katika uga wa uchumi.
-
Wafanyakazi Indonesia wapewa mshahara maradufu Ramadhani
May 12, 2019 07:39Wafanyakazi nchini Indonesia wanatazamia kupewa mshahara mara mbili katika mwezi huu mtukufu wa Ramadhani, ili kuwawezesha kufurahia sikukuu ya Idul Fitr ambayo ni moja ya likizo ndefu zaidi nchini humo.
-
Taarifa za visanduku vyeusi: Ajali ya ndege ya Ethiopia 'inafanana' na ya Lion Air ya Indonesia
Mar 18, 2019 07:14Taarifa za awali zilizopatikana kwenye vinasa taarifa na sauti vya ndege ya Ethiopia iliyoanguka siku kadhaa zilizopita zinaonyesha kuwa, kuna "mshabihiano wa wazi" kati ya ajali ya ndege hiyo na ile ya shirika la ndege la Indonesia la Lion Air iliyotokea mwezi Oktoba mwaka jana.
-
Safari ya Mohammad Bin Salman nchini Malaysia na Indonesia yaahirishwa ghafla
Feb 17, 2019 05:04Safari ya Mohammad Bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia nchini Malaysia na Indonesia imearishwa ghfla bila kutolewa sababu.
-
Indonesia yaanza kuwatafuta manusura waliofukiwa katika maporomoko ya udongo
Jan 01, 2019 15:04Timu ya waokoaji imeendelea na zoezi la kutafuta watu ambao bado wako hai baada ya mvua kubwa kunyesha na kusababisha maporoko ya udongo mashariki mwa Indonesia.