Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Indonesia

  • Makumi wapoteza maisha katika janga la tsunami nchini Indonesia + Video

    Makumi wapoteza maisha katika janga la tsunami nchini Indonesia + Video

    Dec 23, 2018 07:20

    Makumi ya watu wamefariki dunia na wengine wengi kujeruhiwa kutokana na tsunami iliyosababishwa na mripuko wa volcano nchini Indonesia.

  • Kutolewa hukumu ya kunyongwa raia 103 wa Indonesia nchini Saudia

    Kutolewa hukumu ya kunyongwa raia 103 wa Indonesia nchini Saudia

    Nov 05, 2018 02:28

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Indonesia imetoa taarifa ikisema kuwa, tokea mwaka 2011 hadi sasa utawala wa Saudia, umewahukumu kifo raia 103 wa nchi hiyo.

  • Watu elfu 5 wanasadikiwa kupotea katika maeneo mawili yaliyoathiriwa na zilzala Indonesia

    Watu elfu 5 wanasadikiwa kupotea katika maeneo mawili yaliyoathiriwa na zilzala Indonesia

    Oct 07, 2018 15:29

    Watu wasiopungua elfu tano hawajulikani walipo hiyo ni baada ya mtetemeko wa ardhi na tsunami kutokea katika mji wa Palu nchini Indonesia.

  • Idadi ya waliopoteza maisha katika zilzala, tsunami Indonesia yapindukia 1,200

    Idadi ya waliopoteza maisha katika zilzala, tsunami Indonesia yapindukia 1,200

    Oct 02, 2018 08:18

    Idadi ya watu walioaga dunia kutokana na tsunami na mtetemeko mkubwa wa ardhi uliokikumba kisiwa cha Sulawesi mashariki mwa kisiwa cha Borneo nchini Indonesia imeogezeka na kufikia watu 1,234.

  • Mamia wapoteza maisha katika zilzala na tsunami nchini Indonesia

    Mamia wapoteza maisha katika zilzala na tsunami nchini Indonesia

    Sep 29, 2018 08:11

    Mamia ya watu wamefariki dunia na wengine wengi kujeruhiwa kutokana na tsunami na mtetemeko mkubwa wa ardhi uliokikumba kisiwa cha Sulawesi mashariki mwa kisiwa cha Borneo nchini Indonesia.

  • Kuvunjwa kundi kubwa la kigaidi lenye mahusiano na genge la Daesh nchini Indonesia

    Kuvunjwa kundi kubwa la kigaidi lenye mahusiano na genge la Daesh nchini Indonesia

    Aug 02, 2018 12:11

    Mahakama ya Indonesia imevunja kundi kubwa 'Jamaatu-Nashratu-Daulah' lenye mafungamano na kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) kwa tuhuma za kuendesha harakati za kigaidi ndani ya nchi hiyo.

  • Indonesia yalivunja kundi kubwa lenye mahusiano na magaidi wa Daesh

    Indonesia yalivunja kundi kubwa lenye mahusiano na magaidi wa Daesh

    Aug 01, 2018 15:16

    Mahakama ya Indonesia imevunja kundi kubwa 'Jamaatu-Nashratu-Daulah' lenye mafungamano na kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) kwa tuhuma za kuendesha harakati za kigaidi ndani ya nchi hiyo.

  • 29 wakufa maji, 41 watoweka baada ya feri yao kuzama Indonesia

    29 wakufa maji, 41 watoweka baada ya feri yao kuzama Indonesia

    Jul 04, 2018 07:30

    Kwa akali watu 29 wamethibitishwa kupoteza maisha baada ya feri kuzama karibu na kisiwa cha Sulawesi nchini Indonesia, huku hatima ya makumi ya wengi ikisalia kitendawili.

  • Indonesia: Hakuna mazungumzo ya siri tuliyoyafanya na Israel

    Indonesia: Hakuna mazungumzo ya siri tuliyoyafanya na Israel

    Jun 30, 2018 04:16

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Indonesia imekadhibisha madai yaliyotolewa na utawala haramu wa Kizayuni kwamba serikali ya nchi hiyo imefanya mazungumzo ya siri na utawala huo kwa ajili ya kuondolewa marufuku inayowazuia Wazayuni kufanya safari nchini Indonesia.

  • 50 wauawa na kujeruhiwa katika wimbi la hujuma dhidi ya makanisa Indonesia

    50 wauawa na kujeruhiwa katika wimbi la hujuma dhidi ya makanisa Indonesia

    May 13, 2018 07:38

    Mashambulizi matatu ya kigaidi dhidi ya makanisa yamepelekea watu wasiopungua 10 kuuawa na wengine zaidi ya 50 kujeruhiwa nchini Indonesia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS