-
Taarifa za visanduku vyeusi: Ajali ya ndege ya Ethiopia 'inafanana' na ya Lion Air ya Indonesia
Mar 18, 2019 03:44Taarifa za awali zilizopatikana kwenye vinasa taarifa na sauti vya ndege ya Ethiopia iliyoanguka siku kadhaa zilizopita zinaonyesha kuwa, kuna "mshabihiano wa wazi" kati ya ajali ya ndege hiyo na ile ya shirika la ndege la Indonesia la Lion Air iliyotokea mwezi Oktoba mwaka jana.
-
Safari ya Mohammad Bin Salman nchini Malaysia na Indonesia yaahirishwa ghafla
Feb 17, 2019 01:34Safari ya Mohammad Bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia nchini Malaysia na Indonesia imearishwa ghfla bila kutolewa sababu.
-
Indonesia yaanza kuwatafuta manusura waliofukiwa katika maporomoko ya udongo
Jan 01, 2019 11:34Timu ya waokoaji imeendelea na zoezi la kutafuta watu ambao bado wako hai baada ya mvua kubwa kunyesha na kusababisha maporoko ya udongo mashariki mwa Indonesia.
-
Makumi wapoteza maisha katika janga la tsunami nchini Indonesia + Video
Dec 23, 2018 03:50Makumi ya watu wamefariki dunia na wengine wengi kujeruhiwa kutokana na tsunami iliyosababishwa na mripuko wa volcano nchini Indonesia.
-
Kutolewa hukumu ya kunyongwa raia 103 wa Indonesia nchini Saudia
Nov 04, 2018 22:58Wizara ya Mambo ya Nje ya Indonesia imetoa taarifa ikisema kuwa, tokea mwaka 2011 hadi sasa utawala wa Saudia, umewahukumu kifo raia 103 wa nchi hiyo.
-
Watu elfu 5 wanasadikiwa kupotea katika maeneo mawili yaliyoathiriwa na zilzala Indonesia
Oct 07, 2018 11:59Watu wasiopungua elfu tano hawajulikani walipo hiyo ni baada ya mtetemeko wa ardhi na tsunami kutokea katika mji wa Palu nchini Indonesia.
-
Idadi ya waliopoteza maisha katika zilzala, tsunami Indonesia yapindukia 1,200
Oct 02, 2018 04:48Idadi ya watu walioaga dunia kutokana na tsunami na mtetemeko mkubwa wa ardhi uliokikumba kisiwa cha Sulawesi mashariki mwa kisiwa cha Borneo nchini Indonesia imeogezeka na kufikia watu 1,234.
-
Mamia wapoteza maisha katika zilzala na tsunami nchini Indonesia
Sep 29, 2018 04:41Mamia ya watu wamefariki dunia na wengine wengi kujeruhiwa kutokana na tsunami na mtetemeko mkubwa wa ardhi uliokikumba kisiwa cha Sulawesi mashariki mwa kisiwa cha Borneo nchini Indonesia.
-
Kuvunjwa kundi kubwa la kigaidi lenye mahusiano na genge la Daesh nchini Indonesia
Aug 02, 2018 07:41Mahakama ya Indonesia imevunja kundi kubwa 'Jamaatu-Nashratu-Daulah' lenye mafungamano na kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) kwa tuhuma za kuendesha harakati za kigaidi ndani ya nchi hiyo.
-
Indonesia yalivunja kundi kubwa lenye mahusiano na magaidi wa Daesh
Aug 01, 2018 10:46Mahakama ya Indonesia imevunja kundi kubwa 'Jamaatu-Nashratu-Daulah' lenye mafungamano na kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) kwa tuhuma za kuendesha harakati za kigaidi ndani ya nchi hiyo.