Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Indonesia

  • Taarifa za visanduku vyeusi: Ajali ya ndege ya Ethiopia 'inafanana' na ya Lion Air ya Indonesia

    Taarifa za visanduku vyeusi: Ajali ya ndege ya Ethiopia 'inafanana' na ya Lion Air ya Indonesia

    Mar 18, 2019 03:44

    Taarifa za awali zilizopatikana kwenye vinasa taarifa na sauti vya ndege ya Ethiopia iliyoanguka siku kadhaa zilizopita zinaonyesha kuwa, kuna "mshabihiano wa wazi" kati ya ajali ya ndege hiyo na ile ya shirika la ndege la Indonesia la Lion Air iliyotokea mwezi Oktoba mwaka jana.

  • Safari ya Mohammad Bin Salman nchini Malaysia na Indonesia yaahirishwa ghafla

    Safari ya Mohammad Bin Salman nchini Malaysia na Indonesia yaahirishwa ghafla

    Feb 17, 2019 01:34

    Safari ya Mohammad Bin Salman, Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia nchini Malaysia na Indonesia imearishwa ghfla bila kutolewa sababu.

  • Indonesia yaanza kuwatafuta manusura waliofukiwa katika maporomoko ya udongo

    Indonesia yaanza kuwatafuta manusura waliofukiwa katika maporomoko ya udongo

    Jan 01, 2019 11:34

    Timu ya waokoaji imeendelea na zoezi la kutafuta watu ambao bado wako hai baada ya mvua kubwa kunyesha na kusababisha maporoko ya udongo mashariki mwa Indonesia.

  • Makumi wapoteza maisha katika janga la tsunami nchini Indonesia + Video

    Makumi wapoteza maisha katika janga la tsunami nchini Indonesia + Video

    Dec 23, 2018 03:50

    Makumi ya watu wamefariki dunia na wengine wengi kujeruhiwa kutokana na tsunami iliyosababishwa na mripuko wa volcano nchini Indonesia.

  • Kutolewa hukumu ya kunyongwa raia 103 wa Indonesia nchini Saudia

    Kutolewa hukumu ya kunyongwa raia 103 wa Indonesia nchini Saudia

    Nov 04, 2018 22:58

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Indonesia imetoa taarifa ikisema kuwa, tokea mwaka 2011 hadi sasa utawala wa Saudia, umewahukumu kifo raia 103 wa nchi hiyo.

  • Watu elfu 5 wanasadikiwa kupotea katika maeneo mawili yaliyoathiriwa na zilzala Indonesia

    Watu elfu 5 wanasadikiwa kupotea katika maeneo mawili yaliyoathiriwa na zilzala Indonesia

    Oct 07, 2018 11:59

    Watu wasiopungua elfu tano hawajulikani walipo hiyo ni baada ya mtetemeko wa ardhi na tsunami kutokea katika mji wa Palu nchini Indonesia.

  • Idadi ya waliopoteza maisha katika zilzala, tsunami Indonesia yapindukia 1,200

    Idadi ya waliopoteza maisha katika zilzala, tsunami Indonesia yapindukia 1,200

    Oct 02, 2018 04:48

    Idadi ya watu walioaga dunia kutokana na tsunami na mtetemeko mkubwa wa ardhi uliokikumba kisiwa cha Sulawesi mashariki mwa kisiwa cha Borneo nchini Indonesia imeogezeka na kufikia watu 1,234.

  • Mamia wapoteza maisha katika zilzala na tsunami nchini Indonesia

    Mamia wapoteza maisha katika zilzala na tsunami nchini Indonesia

    Sep 29, 2018 04:41

    Mamia ya watu wamefariki dunia na wengine wengi kujeruhiwa kutokana na tsunami na mtetemeko mkubwa wa ardhi uliokikumba kisiwa cha Sulawesi mashariki mwa kisiwa cha Borneo nchini Indonesia.

  • Kuvunjwa kundi kubwa la kigaidi lenye mahusiano na genge la Daesh nchini Indonesia

    Kuvunjwa kundi kubwa la kigaidi lenye mahusiano na genge la Daesh nchini Indonesia

    Aug 02, 2018 07:41

    Mahakama ya Indonesia imevunja kundi kubwa 'Jamaatu-Nashratu-Daulah' lenye mafungamano na kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) kwa tuhuma za kuendesha harakati za kigaidi ndani ya nchi hiyo.

  • Indonesia yalivunja kundi kubwa lenye mahusiano na magaidi wa Daesh

    Indonesia yalivunja kundi kubwa lenye mahusiano na magaidi wa Daesh

    Aug 01, 2018 10:46

    Mahakama ya Indonesia imevunja kundi kubwa 'Jamaatu-Nashratu-Daulah' lenye mafungamano na kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) kwa tuhuma za kuendesha harakati za kigaidi ndani ya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS