- 
          Makumi wapoteza maisha katika janga la tsunami nchini Indonesia + VideoDec 23, 2018 07:20Makumi ya watu wamefariki dunia na wengine wengi kujeruhiwa kutokana na tsunami iliyosababishwa na mripuko wa volcano nchini Indonesia. 
- 
          Kutolewa hukumu ya kunyongwa raia 103 wa Indonesia nchini SaudiaNov 05, 2018 02:28Wizara ya Mambo ya Nje ya Indonesia imetoa taarifa ikisema kuwa, tokea mwaka 2011 hadi sasa utawala wa Saudia, umewahukumu kifo raia 103 wa nchi hiyo. 
- 
          Watu elfu 5 wanasadikiwa kupotea katika maeneo mawili yaliyoathiriwa na zilzala IndonesiaOct 07, 2018 15:29Watu wasiopungua elfu tano hawajulikani walipo hiyo ni baada ya mtetemeko wa ardhi na tsunami kutokea katika mji wa Palu nchini Indonesia. 
- 
          Idadi ya waliopoteza maisha katika zilzala, tsunami Indonesia yapindukia 1,200Oct 02, 2018 08:18Idadi ya watu walioaga dunia kutokana na tsunami na mtetemeko mkubwa wa ardhi uliokikumba kisiwa cha Sulawesi mashariki mwa kisiwa cha Borneo nchini Indonesia imeogezeka na kufikia watu 1,234. 
- 
          Mamia wapoteza maisha katika zilzala na tsunami nchini IndonesiaSep 29, 2018 08:11Mamia ya watu wamefariki dunia na wengine wengi kujeruhiwa kutokana na tsunami na mtetemeko mkubwa wa ardhi uliokikumba kisiwa cha Sulawesi mashariki mwa kisiwa cha Borneo nchini Indonesia. 
- 
          Kuvunjwa kundi kubwa la kigaidi lenye mahusiano na genge la Daesh nchini IndonesiaAug 02, 2018 12:11Mahakama ya Indonesia imevunja kundi kubwa 'Jamaatu-Nashratu-Daulah' lenye mafungamano na kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) kwa tuhuma za kuendesha harakati za kigaidi ndani ya nchi hiyo. 
- 
          Indonesia yalivunja kundi kubwa lenye mahusiano na magaidi wa DaeshAug 01, 2018 15:16Mahakama ya Indonesia imevunja kundi kubwa 'Jamaatu-Nashratu-Daulah' lenye mafungamano na kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) kwa tuhuma za kuendesha harakati za kigaidi ndani ya nchi hiyo. 
- 
          29 wakufa maji, 41 watoweka baada ya feri yao kuzama IndonesiaJul 04, 2018 07:30Kwa akali watu 29 wamethibitishwa kupoteza maisha baada ya feri kuzama karibu na kisiwa cha Sulawesi nchini Indonesia, huku hatima ya makumi ya wengi ikisalia kitendawili. 
- 
          Indonesia: Hakuna mazungumzo ya siri tuliyoyafanya na IsraelJun 30, 2018 04:16Wizara ya Mambo ya Nje ya Indonesia imekadhibisha madai yaliyotolewa na utawala haramu wa Kizayuni kwamba serikali ya nchi hiyo imefanya mazungumzo ya siri na utawala huo kwa ajili ya kuondolewa marufuku inayowazuia Wazayuni kufanya safari nchini Indonesia. 
- 
          50 wauawa na kujeruhiwa katika wimbi la hujuma dhidi ya makanisa IndonesiaMay 13, 2018 07:38Mashambulizi matatu ya kigaidi dhidi ya makanisa yamepelekea watu wasiopungua 10 kuuawa na wengine zaidi ya 50 kujeruhiwa nchini Indonesia.