-
Mjibizo hasi wa maoni ya umma wa Marekani kwa sera za kupenda vita za Trump
Feb 22, 2026 06:30Maoni ya umma nchini Marekani katika mwaka huu wa 2026, yanapinga vikali chokochoko yoyote mpya ya kijeshi dhidi ya Iran. Fikra za walio wengi nchini Marekani zina mtazamo hasi kuhusiana na sera za kupenda vita za Rais mtata Donald Trump.
-
Mtazamo wa Moscow kuhusu maneva ya pamoja ya baharini kati ya Iran, Russia na China
Feb 21, 2026 09:11Moscow imetangaza kuwa mazoezi ya pamoja ya majini kati ya majeshi ya Iran, Russia na China yatafanyika katika Lango -Bahari la Hormuz.
-
"Vyombo vya diplomasia vya Iran vijadiliane kwa kuzingatia hekima, izza, na maslahi ya taifa"
Feb 20, 2026 11:33Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo hapa mjini Tehran amesema kuwa, "Vyombo vya kidiplomasia (vya Iran) lazima vichore ramani yake ya mazungumzo kwa njia sahihi, ya uwazi na ufasaha, kwa kuzingatia kanuni za heshima, uwazi na hekima, na kuchukua hatua za ujasiri na imara katika njia hii."
-
Iran yaonya: Hatutaanzisha vita, lakini tutajibu vikali uvamizi wowote
Feb 20, 2026 09:48Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesisitiza kwamba, Jamhuri ya Kiislamu haitaanzisha vita, lakini itatoa jibu zito kwa kitendo chochote cha uchokozi dhidi ya nchi hii.
-
Uzandiki na undumakuwili wa wazi wa Marekani katika sera yake ya kurutubisha urani
Feb 19, 2026 10:46Waziri wa Nishati wa Marekani amesema, nchi hiyo itaanza tena kurutubisha madini ya urani
-
Rais Pezeshkian: Iran haifanyi mazungumzo iwe imezungumza tu, inataka tija inayoonekana
Feb 18, 2026 11:06Rais Masoud Pezeshkian amesisitiza kwamba, mazungumzo ya nyuklia yasiyo ya moja kwa moja inayofanya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Marekani yako chini uangalizi kamili wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei na ametupilia mbali dhana ya kushiriki Iran katika "mazungumzo kwa ajili ya kuzungumza tu."
-
Balozi wa Iran aiasa Kenya kuchukua hatua 'sakata la chai'
Feb 18, 2026 07:23Mwanadiplomasia wa Iran imeiomba serikali ya Kenya kuchukua hatua na kulipatia ufumbuzi sakata la chai la thamani ya Shilingi bilioni 2.6 za nchi hiyo ya Afrika Mashariki.
-
Iran yamuita balozi wa Ujerumani kulalamikia 'uadui' wa Berlin
Feb 18, 2026 06:24Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imemuita balozi wa Ujerumani hapa mjini Tehran kulalamikia misimamo na hatua za hivi karibuni za uadui zilizochukuliwa na mamlaka za Ujerumani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Iran: Ulimwengu unawajibika kukabiliana na ukiukaji wa haki za binadamu wa Israel
Feb 17, 2026 07:23Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa jamii ya kimataifa inawajibika kukabiliana na hatua za utawala wa Israel za kuendelea kukiuka pakubwa sheria katika eneo la Asia Magharibi.
-
Iran: Tumeingia katika mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja na Marekani kwa nia njema
Feb 17, 2026 02:35Ismail Baqaei Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa Tehran imeingia katika mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja na Marekani kwa mtazamo wenye mwelekeo wa matokeo, huku ikibainisha shaka kuhusu taarifa zinazokinzana za Washington.