-
Iran yalaani mashambulizi ya Marekani na Uingereza nchini Yemen
Feb 04, 2024 08:30Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani mashambulizi ya anga na makombora ya Marekani na Uingereza dhidi ya miji na maeneo tofauti ya Yemen.
-
Rais wa Iran: Tumesambaratisha vikwazo
Feb 03, 2024 23:23Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: Kurushwa kwa satalaiti 11 za Iran kwa mafanikio kumeshinda vikwazo vya Marekani na Magharibi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Mashambulizi makubwa dhidi ya Iraq na Syria; Chokochoko mpya za Marekani eneo la Asia Magharibi
Feb 03, 2024 23:07Marekani ambayo kwa miaka kadhaa sasa imevuruga amani ya eneo la Magharibi mwa Asia kutokana na uwepo wake wa kijeshi katika eneo hilo ili kufanikisha malengo yake na ya washirika wake, imekuwa ikiyumbisha usalama wa eneo hilo nyeti na muhimu kwa kufanya mashambulizi na uvamizi wa mara kwa mara.
-
Iran yaicharaza Japan 2-1 na kutinga nusu fainali ya Kombe La Asia
Feb 03, 2024 11:19Mkwaju wa penalti wa dakika za mwisho wa Alireza Jahanbakhsh uliipa Iran ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Japan Jumamosi na kuiwezesha timu hii ya taifa ya soka ya Iran kutinga nusu fainali ya Kombe la Asia kwa mara ya pili tangu 2004.
-
Kusambaratishwa mitandao ya kijasusi ya "Mossad" nchini Iran
Feb 03, 2024 08:32Wizara ya Intelijensia ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetangaza kuwa imefichua vibaraka kadhaa wa shirika la ujasusi la Israel, Mossad katika nchi 28 duniani.
-
Iran yalaani Magharibi kuisimamishia UNRWA misaada
Feb 03, 2024 04:00Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekosoa vikali hatua 'chungu' ya Wamagharibi ya kulisimamishia misaada Shirika la Umoja wa Mataifa la Msaada kwa Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA).
-
UN yaipongeza Iran kwa hatua madhubuti katika mapambano dhidi ya dawa za kulevya
Feb 02, 2024 23:01Mkuu wa Idara ya Huduma za Sayansi na Maabara ya Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kukabiliana na Mihadarati na Uhalifu (UNODC) amepongeza hatua za Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kupambana na dawa za kulevya.
-
Intelijensia ya Iran yagundua makumi ya majasusi wa Mossad katika nchi 28 duniani
Feb 02, 2024 10:45Wizara ya Usalama wa Taifa ya Iran imetangaza kuwa vikosi vyake vimegundua idadi kubwa ya majasusi wanaohusishwa na shirika la ujasusi la utawala wa Kizayuni wa Israel Mossad katika nchi 28 duniani.
-
Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran: Iran ni nchi huru zaidi duniani
Feb 02, 2024 10:28Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo mjini Tehran ameitaja Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuwa nchi huru zaidi duniani.
-
Abdollahian: Kusitisha jinai za Israel ndiyo njia pekee ya kurejesha uthabiti Asia Magharibi
Feb 02, 2024 04:20Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema njia pekee ya kurejesha uthabiti katika eneo la Asia Magharibi ni kukomesha jinai za utawala wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.