-
Jeshi la Wanamaji la Iran lakamata meli ya mafuta ya Marekani kwa amri ya mahakama
Jan 11, 2024 12:06Jeshi la Wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limetangaza kuikamata meli ya mafuta ya Marekani kwa amri ya mahakama katika Bahari ya Oman.
-
Kufichuliwa nafasi ya jasusi wa Uholanzi katika hujumu dhidi ya vituo vya nyuklia vya Iran
Jan 10, 2024 02:34Gazeti la Volkskrant la Uholanzi limefichua kuwa, raia mmoja wa nchi hiyo alikuwa na mchango mkubwa katika operesheni ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel ya kuhujumu kituo cha kurutubisha uranium cha Natanz nchini Iran.
-
Kupanuka kundi la BRICS na kudhoofika wenzo wa mashinikizo wa Magharibi dhidi ya Iran na Russia
Jan 08, 2024 23:31Tovuti ya mtandao wa televisheni ya Marekani ya Bloomberg imeripoti kuwa, kuongezeka maradufu idadi ya wanachama wa kundi la BRICS kunadhoofisha nguvu ya nchi za Magharibi dhidi ya nchi kama Russia na Iran.
-
Wananchi wa Nigeria na Ghana wamuenzi Luteni Jenerali Qassim Suleimani + Video na Picha
Jan 08, 2024 00:18Kumbukumbu za kutimia mwaka wa nne tangu kuuliwa shahidi Luteni jenerali Shahidi Qassim Suleiman zimefanyika katika miji mikuu ya Nigeria na Ghana yaani huko Abuja na Accra kwa kuhudhuriwa na Waislamau wa matabaka mbalimbali na wafuasi wa kamanda huyo.
-
Ebrahim Raisi: Sera ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni kutetea madhulumu
Jan 07, 2024 01:02Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, siasa za Iran ni kuwatetea na kuwalinda wanaodhulumiwa na kupaza sauti dhidi ya madhalimu.
-
Ebrahim Raisi: Usalama wa ukanda huu mzima una deni kwa Luteni Jenerali Soleimani
Jan 06, 2024 03:22Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, usalama na amani iliyopo leo katika eneo hili inatokana na jihadi kubwa ya Luteni Jenerali Qassem Soleimani, Kamanda wa zamani wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu SEPAH.
-
Iran yafanya mazishi ya pamoja ya wahanga wa ugaidi Kerman; yaahidi kuwasaka magaidi popote walipo
Jan 05, 2024 08:44Wananchi wa Iran leo Ijumaa wamefanya shughuli ya mazishi ya pamoja kwa wahanga wa miripuko miwili ya kigaidi iliyotokea Jumatano katika mji wa Kerman kusini mashariki mwa nchi huku kamanda wa ngazi ya juu wa Iran akiahidi kuwasaka magaidi popote walipo.
-
Spika: Shahidi Soleimani ni nembo ya umma wa Kiislamu
Jan 04, 2024 23:01Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema Luteni Jenerali Qassem Soleimani, aliyekuwa Kamanda Mkuu wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) hakuwa tu shakhsia wa kidini na kitaifa wa Iran, lakini pia alikuwa nembo ya umma wa Kiislamu.
-
Waziri wa Mambo ya Ndani: Iran itatoa jibu kali na la haraka kwa mashambulizi ya kigaidi ya Kerman
Jan 04, 2024 03:04Waziri wa Mambo ya Ndani wa Iran amesema kuwa vikosi vya usalama na ulinzi vya nchi hii vitatoa jibu la haraka na kali kwa wahusika wa mashambulizi ya kigaidi yaliyoua watu zaidi ya 100 katika mji wa Kerman kusini mashariki mwa Iran.
-
Kuongezeka uwepo wa wanamaji wa Iran katika Bahari Nyekundu
Jan 03, 2024 08:31Meli ya kivita ya Alborz imerudi tena katika Bahari Nyekundu ikiwa ni katika Meli za Kikosi cha 94 cha Jeshi la Wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, kupitia Lango-Bahari la Bab al-Mandab. Manowari hiyo ya Alborz ilijiunga na Meli za Kusini za Jeshi la Wanamaji Desemba 2019 baada ya kufanyiwa ukarabati mkubwa na kuwekwa humo mifumo mipya ya kiteknolojia.