Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Kiongozi Muadhamu: Mkakati mkuu wa Iran ni kutegemea nguvu laini

    Kiongozi Muadhamu: Mkakati mkuu wa Iran ni kutegemea nguvu laini

    Jan 03, 2024 08:16

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, mkakati mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kipindi hiki cha miaka 45 iliyopita ni kutegemea nguvu laini na nguvu hizo zinapaswa zifanywe kubwa zaidi.

  • Amir-Abdollahian: Jinai za utawala wa Kizayuni zimepiga kengele ya hatari katika ukanda huu mzima

    Amir-Abdollahian: Jinai za utawala wa Kizayuni zimepiga kengele ya hatari katika ukanda huu mzima

    Jan 03, 2024 07:34

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, jinai na mauaji ya kigaidi yanayofanywa na utawala wa Kizayuni nje ya mipaka ya Palestina ni tishio kwa usalama na ni kengele ya hatari kwa amani ya ukanda huu mzima.

  • Iran yaipongeza Ansarullah ya Yemen kwa kuiunga mkono Palestina

    Iran yaipongeza Ansarullah ya Yemen kwa kuiunga mkono Palestina

    Jan 02, 2024 03:34

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameisifu na kuipongeza Harakati ya Ansarullah ya Yemen kwa kuwa na msimamo madhubuti katika kuwaunga mkono wananchi wa Palestina.

  • Jenerali Salami: Kinachojiri Gaza ni mauaji ya halaiki

    Jenerali Salami: Kinachojiri Gaza ni mauaji ya halaiki

    Jan 01, 2024 08:25

    Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) sanjari na kulaani jinai za kutisha za utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza amesisitiza kuwa, "Kinachojiri Gaza ni mauaji ya halaiki."

  • Azma ya Tehran na Islamabad ya kuimarisha uhusiano wao katika nyuga mbalimbali

    Azma ya Tehran na Islamabad ya kuimarisha uhusiano wao katika nyuga mbalimbali

    Jan 01, 2024 04:30

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Pakistan ameeleza kuridhishwa kwake na mwenendo unaokua wa uhusiano kati ya nchi yake na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Raisi: Wairani wapo macho na wanawafahamu wachochezi

    Raisi: Wairani wapo macho na wanawafahamu wachochezi

    Dec 30, 2023 08:39

    Rais Ebarhim Raisi wa Iran amesema taifa la Iran linaufahamu vyema uchochezi na kuwatambua wachochezi, na ndio maana walionyesha namna wana muono wa mbali katika tukio la kihistoria la Dei 9.

  • "Iran na Misri kuhuisha uhusiano wao wa kidiplomasia karibuni"

    Dec 30, 2023 08:39

    Afisa wa ngazi za juu wa Misri amesema nchi hiyo ya kaskazini mwa Afrika na Iran zinatazamiwa kufufua kikamilifu uhusiano wa pande mbili wa kidiplomasia, na hata kubadilishana mabalozi.

  • Iran: Tuna uwezo wa kupiga nukta yoyote ya Israel wakati wowote tunapopenda

    Iran: Tuna uwezo wa kupiga nukta yoyote ya Israel wakati wowote tunapopenda

    Dec 29, 2023 01:52

    Mkuu wa Ofisi ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, Iran ina uwezo mkubwa wa kiulinzi kiasi kwamba leo hii inaweza kupiga nukta yoyote ya Israel kwa makombora yanayopiga vizuri mno shabaha, wakati wowote itakapoona kuna haja ya kufanya hivyo.

  • Kuongezeka idadi ya watu wanaotumia intaneti duniani mwaka 2023

    Kuongezeka idadi ya watu wanaotumia intaneti duniani mwaka 2023

    Dec 28, 2023 06:01

    Karibuni wasikilizaji wapendwa wa Idhaa ya Kiswahili Redio Tehran katika kipindi chetu cha makala ya wiki ambapo tutatupia jicho ongezeko la watumiaji wa intaneti duniani mwaka 2023.  

  • Mazungumzo ya Amir-Abdollahian na viongozi wa Armenia

    Mazungumzo ya Amir-Abdollahian na viongozi wa Armenia

    Dec 28, 2023 00:53

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiiislamu ya Iran aliyeko safarini nchini Armenia amekutana na kufanya mazungumzo kwa nyakati tofauti na Waziri Mkuu na Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS