-
Kwa nini Baraza la Haki za Kibinadamu la UN, linaichafua Iran, sambamba na Marekani?
Jan 24, 2026 10:06Baraza la Haki za Kibinadamu la Umoja wa Mataifa limefuata sera ya Marekani ya kuichafua Iran kwa kupasisha azimio dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.
-
Vinara zaidi ya 140 wa ghasia za karibuni watiwa nguvuni katika mji wa Hamedan
Jan 24, 2026 09:41Askari usalama wa Iran wamefanikiwa kuwatambua na kuwakamata vinara 140 waliohusika katika machafuko ya karibuni hapa nchini kwa ufadhili na kuungaji mkono na nchi za nje. Vinara hao wa ghasia za karibuni wametiwa nguvuni katika mji wa Hamedan, magharibi mwa Iran.
-
Iran yamjibu Zelensky; yamwambia dunia imechoka na 'vikaragosi vilivyochanganyikiwa'
Jan 24, 2026 00:02Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi amemkosoa Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky kwa kuingilia masuala ya ndani ya Jamhuri ya Kiislamu, na kumwambia bayana kwamba dunia imechoka na "Wanaserere Waliochanganyikiwa."
-
Imamu wa Swala ya Ijumaa Tehran: IRGC ndiyo nguzo kuu ya kuwalinda wananchi na Mapinduzi ya Kiislamu
Jan 23, 2026 11:19Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran, Hujjatul Islam Walmuslimin Haj Ali Akbari, amezungumzia matukio ya hivi karibuni na mashambulizi ya maadui kwenye maeneo mbalimbali yakiwemo ya ya kidini na kusisitiza kuwa: Maadui walidhani kwamba wangeweza kulilazimisha taifa la Iran kurudi nyuma na kudhibiti mitaa na viwanja kupitia vitisho na kuzusha hofu, lakini wananchi ambao ndio wamiliki halisi wa nchi hii, walijitokeza kwenye medani na kukabiliiana ipasavyo na fitina hiyo.
-
Iran, mshirika mkuu wa kibiashara wa Afghanistan; uagizaji wa Kabul kutoka Tehran wapanda hadi dola bilioni 3.45
Jan 22, 2026 23:50Kiwango cha mabadilishano ya biashara kati ya Iran na Afghanistan kinaongezeka. Serikali ya Taliban imetangaza kuwa, uhusiano wa kibiashara kati ya Iran na Afghanistan umeongezeka hadi dola bilioni tatu na nusu.
-
Kamanda mwandamizi wa Jeshi la Iran amuonya vikali Trump
Jan 22, 2026 03:26Kamanda wa ngazi ya juu wa jeshi la Iran amemuonya vikali Rais Donald Trump wa Marekani kufuatia matamshi yake ya hivi karibuni ya vitisho dhidi ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei.
-
Iran yatangaza idadi ya waliouawa katika ghasia zilizochochewa na maajinabi
Jan 22, 2026 02:32Wakfu wa Mashahidi na Maveterani wa Iran umetangaza katika taarifa kwamba, "katika vitendo vya hivi karibuni vya ugaidi vilivyoungwa mkono na Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel, watu 3117 walipoteza maisha yao, wakiwemo raia na maafisa usalama."
-
Bahreini: Iran haitafumbia macho katu haki yake ya kurutubisha urani kwa matumizi ya amani
Jan 21, 2026 07:12Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Ofisi ya Umoja wa Mataifa mjini Geneva amesisitiza kwamba, taifa hili halitafumbia macho katu haki yake ya kurutubisha urani kwa ajili ya matumizi ya amani.
-
Kwa nini Iran inatilia mkazo kuhusu haki yake ya kurutubisha urani kwa ajili ya malengo ya amani?
Jan 21, 2026 06:32Iran imetangaza kuwa abadan haitaacha haki yake ya kurutubisha madini ya urani kwa malengo ya kiraia.
-
"Jeshi la Iran litakata 'mkono wowote wa chokochoko' dhidi ya Kiongozi Muadhamu"
Jan 20, 2026 23:44Afisa wa ngazi ya juu wa Jeshi la Iran amepuuzilia mbali vitisho vya maneno vya hivi karibuni vya Rais wa Marekani Donald Trump, akionya kwamba, hatua yoyote ya uadui itakayoelekezwa kwa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei itakabiliwa na kisasi kikubwa cha kijeshi.