-
Sisitizo la Kamanda wa Jeshi la Majini la Iran kuhusu kupambana vilivyo na ushetani wa adui
Mar 21, 2022 04:23Admiral Shahram Irani, Kamanda wa Jeshi la Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu imejiimarisha vilivyo kupambana na ushetani wowote wa maadui na haitatoa mwanya hata kidogo wa kufanikiwa njama za adui.
-
Ayatullah Khamenei: Mwaka 1401 Shamsia ni mwaka wa uzalishaji unaotegemea elimu na kutengeneza ajira
Mar 21, 2022 00:01Katika ujumbe wake kwa mnasaba wa kuanza mwaka 1401 Hijria Shamsia, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amelipongeza taifa kwa kuwadia sikukuu ya Nowruz na kuutaja mwaka mpya kuwa ni mwaka wa "uzalishaji unaotegemea elimu na kutengeneza ajira."
-
Raisi katika ujumbe wa Nowruz 1401: Karne ya 15 ni karne ya Iran ya Kiislamu
Mar 21, 2022 00:00Katika ujumbe wake wa Nowruz na mwaka mpya wa 1401 Hijria Shamsia, Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameitaja karne ya kumi na tano Hijria Shamsia kuwa ni karne ya Iran ya Kiislamu na zama za watu wa Iran kuwa na nafasi na machango muhimu zaidi.
-
Jahromi: Uingereza imesalimu amri mbele ya nguvu za taifa la Iran
Mar 17, 2022 07:25Msemaji wa serikali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, baada ya kupita miaka 40 ya kutotekeleza ahadi zake, hatimaye Uingereza imesalimu amri mbele ya nguvu za mazungumzo za taifa la Iran.
-
Safari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran nchini Russia na matokeo yake
Mar 17, 2022 03:08Hossein Amir-Abdollahian, Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran aliwasili mjini Moscow siku ya Jumanne akiongoza ujumbe wa ngazi za juu kwa ajili ya kukutana na kuzungumza na Sergey Lavrov, Waziri mwenzake wa Mambo ya Nje wa Russia kuhusu masuala ya pande mbili, mazungumzo ya Vienna, Ukraine, Syria, Yemen na Afghanistan.
-
Ayatullah Makarem Shirazi: Unyongaji wa umati wa Saudia umezijeruhi nyoyo za Waislamu wote huru
Mar 15, 2022 21:07Ayatullah Naser Makarem Shirazi, mmoja wa Marjaa Taqlidi wa mjini Qum nchini Iran amesema kuwa, hatua ya kuwanyonga makumi ya vijana Waislamu tena kwa sura ya kinyama na ya kikatili imezihunisha nyoyo za Waislamu wote huru ulimwenguni.
-
Amir-Abdollahian: Kustawisha uhusiano na Russia kuna umuhimu kwa Iran
Mar 15, 2022 10:14Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema, bila kujali matukio na mabadiliko yoyote yanayojiri kimataifa, kustawisha uhusiano na Russia kuna umuhimu kwa Jamhuri ya Kiislamu.
-
Iran yaikosoa Marekani kwa kuibua maudhui mpya katika mazungumzo ya Vienna
Mar 13, 2022 04:28Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameijia juu Marekani kwa kuibua maudhui nyingine mpya kwenye mazungumzo ya Vienna kati ya Jamhuri ya Kiislamu na kundi la 4+1, ambayo lengo lake kuu ni kuondolewa Tehran vikwazo vya kidhalimu.
-
Iran yapinga tuhuma zisizo na msingi za Arab League
Mar 11, 2022 04:43Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amekadhibisha madai yaliyotolewa dhidi ya taifa hili katika mkutano wa mawaziri wa mambo ya nje wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu.
-
Harakati ya Palestina: Hakuna nchi inayounga mkono ukombozi wa Quds kama Iran
Mar 11, 2022 04:33Harakati ya Mujahideen ya Palestina imesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaunga mkono kwa dhati suala la kukombolewa kwa mji mtukufu wa Quds, unaokaliwa kwa mabavu na utawala ghasibu wa Israel.