Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Kuendelea siasa za uhasama za Marekani dhid ya Iran

    Kuendelea siasa za uhasama za Marekani dhid ya Iran

    Mar 20, 2021 04:24

    Ikiwa ni katika kuendeleza siasa za uhasama za Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Wizara ya Fedha ya Marekani imewatuhumu raia wengine 10 wa Iran kuwa wamekiuka vikwazo vya nchi hiyo dhidi ya Iran.

  • Iran yatoa mkono wa pole kwa Tanzania kufuatia kifo cha Rais Magufuli

    Iran yatoa mkono wa pole kwa Tanzania kufuatia kifo cha Rais Magufuli

    Mar 20, 2021 01:14

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma salamu za mkono wa pole kwa wananchi na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kufuatia kifo cha rais wa nchi hiyo John Pombe Magufuli.

  • Qalibaf: Ni lazima Marekani iondoe vikwazo vyote dhidi ya Iran

    Qalibaf: Ni lazima Marekani iondoe vikwazo vyote dhidi ya Iran

    Mar 19, 2021 08:48

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema: "Marekani inapaswa kuondoa vikwazo vyote ili Iran iweze kutekeleza ahadi zake katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA."

  • Iran yaadhimisha kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa Imam Hussein (AS)

    Iran yaadhimisha kumbukumbu ya siku ya kuzaliwa Imam Hussein (AS)

    Mar 17, 2021 04:03

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeungana na ulimwengu wa Kiislamu hii leo kuadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa Imam Hussein (AS), mjukuu wa Mtume wetu mtukufu Muhammad (SAW).

  • Iran yakosoa undumakuwili wa Uingereza, yataka silaha zote za nyuklia ziharibiwe

    Iran yakosoa undumakuwili wa Uingereza, yataka silaha zote za nyuklia ziharibiwe

    Mar 17, 2021 03:04

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amekosoa vikali undumakuwili wa Uingereza; ambayo kwa upande mmoja inatoa madai yasiyo na msingi dhidi ya miradi ya nyuklia ya Iran yenye malengo ya amani na kwa upande mwingine, inasema kuwa inataka kuongeza akiba ya silaha zake za nyuklia.

  • IAEA yataka washiriki wa JCPOA wakumbatie fursa waliyopewa na Iran

    IAEA yataka washiriki wa JCPOA wakumbatie fursa waliyopewa na Iran

    Mar 17, 2021 03:03

    Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA amesema makubaliano ya nyuklia ya Iran ni 'magumu lakini yanatekelezeka' huku akizitaka pande husika za JCPOA kukumbatia muhula wa miezi mitatu ziliopewa na Jamhuri ya Kiislamu kwa ajili ya kuyanusuru mapatano hayo.

  • Iran yakanusha kufanya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja na Marekani

    Iran yakanusha kufanya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja na Marekani

    Mar 17, 2021 01:00

    Duru za kiusalama nchini Iran zimekadhibisha madai ya Marekani kwamba kuna mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja yanayoendelea baina ya Tehran na Washington.

  • Ulimwengu wa Spoti, Machi 15

    Ulimwengu wa Spoti, Machi 15

    Mar 15, 2021 03:45

    Hujambo mpenzi mwanaspoti wa na karibu tutupie jicho baadhi ya matukio muhimu ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa na kimataifa.

  • Rouhani: Takwimu na vielezo vikuu vya uchumi zinaonyesha ushindi katika vita vya kiuchumi

    Rouhani: Takwimu na vielezo vikuu vya uchumi zinaonyesha ushindi katika vita vya kiuchumi

    Mar 14, 2021 23:44

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, takwimu na vielezo vikuu vya uchumi zinaonyesha kupatikana ushindi katika vita vya kiuchumi.

  • National Interest: Iran ina uwezo wa kulisababishia hasara kubwa jeshi la Marekani

    National Interest: Iran ina uwezo wa kulisababishia hasara kubwa jeshi la Marekani

    Mar 14, 2021 23:30

    Tovuti ya habari ya nchini Marekani ya National Interes imeashiria uwezo wa kiulinzi wa Iran na nafasi yake ya kijiografia na kuripoti kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ina uwezo wa kulisababishia jeshi la Marekani hasara kubwa iwapo kutajiri shambulio lolote la nchi ajinabi dhidi yake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS