Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Jumapili, 21 Februari, 2021

    Jumapili, 21 Februari, 2021

    Feb 20, 2021 23:10

    Leo ni Jumapili tarehe 9 Rajab 1442 Hijria ambayo inasadifiana na tarehe 21 Februaria 2021 Miladia.

  • Khatibzadeh: Ili kuhuisha JCPOA, ni dharura Marekani kuondoa kivitendo vikwazo dhidi ya Iran

    Khatibzadeh: Ili kuhuisha JCPOA, ni dharura Marekani kuondoa kivitendo vikwazo dhidi ya Iran

    Feb 19, 2021 23:44

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema njia pekee ya kuhuisha mapatano ya nyuklia ya JCPOA ni Marekani kuondoa vikwazo dhidi ya Iran.

  • Chanjo ya Corona ya Sputnik V ya Russia kuanza kutegenezwa Iran

    Chanjo ya Corona ya Sputnik V ya Russia kuanza kutegenezwa Iran

    Feb 19, 2021 23:36

    Mkuu wa Ofisi ya Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangaza kuwa, chanjo ya Corona au COVID-19 ya Sputnik V ya Russia sasa itaanza kutengenezwa hapa nchini.

  • Rais Rouhani: Iran haina mpango wa kutumia silaha za maangamizi ya umati

    Rais Rouhani: Iran haina mpango wa kutumia silaha za maangamizi ya umati

    Feb 17, 2021 04:37

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema nchi hii haijawahi kuwa na mpango wa kumiliki silaha za nyuklia wala kuzitumia.

  • Zarif: Matukio ya kimataifa hayaathiri uhusiano wa kistratijia wa Iran-China

    Zarif: Matukio ya kimataifa hayaathiri uhusiano wa kistratijia wa Iran-China

    Feb 16, 2021 22:57

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif amepongeza 'ushirika wa kistratijia' wa Iran na China na kuongeza kuwa, matukio ya kimataifa hayawezi kuathiri urafiki baina ya washirika hawa wawili.

  • Admeri Khanzadi: India itajiunga na mazoezi mseto ya kijeshi ya Iran na Russia katika Bahari ya Hindi

    Admeri Khanzadi: India itajiunga na mazoezi mseto ya kijeshi ya Iran na Russia katika Bahari ya Hindi

    Feb 16, 2021 22:56

    Kamanda wa Jeshi Majini la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema lengo kuu la mazoezi mseto ya usalama wa baharini katika eneo la kaskazini mwa Bahari ya Hindi ni kufikia usalama jumla kieneo. Aidha ameongeza kuwa, Jeshi la Majini la India sasa litajiunga na majeshi ya majini ya Iran na Russia katika mazoezi hayo.

  • Rouhani: Usalama na amani ya Asia Magharibi vitaimarishwa kupitia ushirikiano wa nchi za eneo

    Rouhani: Usalama na amani ya Asia Magharibi vitaimarishwa kupitia ushirikiano wa nchi za eneo

    Feb 16, 2021 00:05

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema amani na usalama katika eneo la Asia Magharibi vinaweza kuimarishwa tu kupitia ushirikiano wa mataifa ya eneo hili na wala si kwa uingiliaji wa madola ajinabi.

  • Wanaspoti wa Iran watwaa dhahabu Dubai Grand Prix

    Wanaspoti wa Iran watwaa dhahabu Dubai Grand Prix

    Feb 13, 2021 08:15

    Wanariadha nyota wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wameendelea kuzoa medali kochokocho katika Mashindano ya Riadha ya Walemavu ya Dubai Grand Prix katika Umoja wa Falme za Kiarabu.

  • Araqchi: JCPOA haina maana yoyote iwapo vikwazo dhidi ya Iran havitaondolewa

    Araqchi: JCPOA haina maana yoyote iwapo vikwazo dhidi ya Iran havitaondolewa

    Feb 13, 2021 05:10

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na masuala ya kisiasa amesema makubaliano ya kimataifa ya nyuklia ya JCPOA hayatakuwa na maana wala thamani yoyote iwapo vikwazo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu havitaondolewa.

  • Rouhani: Kuielewa Qurani Tukufu, ndio ufunguo wa kuongoka vijana

    Rouhani: Kuielewa Qurani Tukufu, ndio ufunguo wa kuongoka vijana

    Feb 13, 2021 07:51

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuyaelewa mafundisho sahihi ya Qurani Tukufu ndio ufunguo wa kuongoka katika njia iliyonyooka tabaka la vijana.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS