Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran yazindua kizazi kipya cha mfumo wa rada wa Qadir

    Iran yazindua kizazi kipya cha mfumo wa rada wa Qadir

    Oct 07, 2020 01:17

    Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limezindua kizazi kipya cha mfumo wa rada wa ulinzi wa anga uliopewa jina la Qadir ambao ni wa masafa marefu na unaotumia mfumo wa 3D.

  • Taarifa ya mataifa 26 ya dunia ya kulaani vikwazo vya upande mmoja vya Marekani

    Taarifa ya mataifa 26 ya dunia ya kulaani vikwazo vya upande mmoja vya Marekani

    Oct 06, 2020 23:41

    Marekani ikiwa na lengo la kusukuma mbele gurudumu la siasa zake za kigeni inashikilia rekodi ya kuwa dola lililoyawekea mataifa mengine ya dunia vikwazo vya upande mmoja.

  • Ulimwengu wa Michezo, Oktoba 5

    Ulimwengu wa Michezo, Oktoba 5

    Oct 05, 2020 05:47

    Ufuatao ni mkusanyiko wa baadhi ya matukio muhimu ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita kitaifa na kimataifa....

  • Balozi: Russia iko tayari kuiuzia Iran ngao ya makobora ya S-400

    Balozi: Russia iko tayari kuiuzia Iran ngao ya makobora ya S-400

    Oct 04, 2020 04:03

    Balozi wa Russia mjini Tehran amesema nchi yake iko tayari kuiuzia Jamhuri ya Kiislamu ya Iran mfumo wa ulinzi wa makobora wa S-400 mara tu vikwazo vya silaha vya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa dhidi ya nchi hii vitakapofikia tamati Oktoba 18 mwaka huu.

  • Jumapili, tarehe 4 Oktoba, 2020

    Jumapili, tarehe 4 Oktoba, 2020

    Oct 03, 2020 23:13

    Leo ni Jumapili tarehe 16 Safar 1442 Hijria sawa na Oktoba 4 mwaka 2020.

  • Iran yaionya Marekani dhidi ya mahesabu ghalati

    Iran yaionya Marekani dhidi ya mahesabu ghalati

    Oct 02, 2020 08:26

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya nchi za Nje ya Iran amesema kuwa mahesabu yasiyo sahihi ya Marekani ndiyo sababu ya kushindwa kwake mbele ya taifa la Iran tangu baada ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu hapa nchini.

  • Russia yachukua uwenyekiti wa mzunguko wa Baraza la Usalama la UN, yasema Iran haitawekewa vikwazo

    Russia yachukua uwenyekiti wa mzunguko wa Baraza la Usalama la UN, yasema Iran haitawekewa vikwazo

    Oct 02, 2020 08:01

    Baada ya Marekani kushindwa kurefusha zaidi vikwazo vya silaha dhidi ya Iran katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, utawala wa Trump umedai ni mwanachama wa mapatano ya nyuklia ya JCPOA na kwamba eti Iran imekiuka madai hayo na hivyo vikwazo vya kimataifa dhidi ya Iran vinarejea kiotomatiki. Msimamo huo wa Marekani umepingwa kikamilifu na madola yote makubwa duniani hasa Russia.

  • Muelekeo chanya wa Grossi kuhusu maelewano ya Iran na Wakala wa Kimataifa ya Nishati ya Atomiki

    Muelekeo chanya wa Grossi kuhusu maelewano ya Iran na Wakala wa Kimataifa ya Nishati ya Atomiki

    Oct 01, 2020 07:21

    Baada ya kutangazwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA iliyofikia na kundi la 5+1 Juni 2015, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa muda wote ikitoa mashirikiano makubwa kwa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA ili kuthibitisha kuwa shughuli zake za nyuklia zinaendeshwa kwa malengo ya amani sambamba na kutekeleza ahadi na majukumu yake katika JCPOA.

  • Iran: Kuanzisha uhusiano na Israel kunaupa hisia ya kinga utawala huo

    Iran: Kuanzisha uhusiano na Israel kunaupa hisia ya kinga utawala huo

    Oct 01, 2020 04:16

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa mjini Geneva amelaani hatua ya kuanzisha uhusiano wa kawaida na utawala haramu wa Israel na kusisitiza kuwa, mienendo hiyo haitakuwa na matokeo mengine ghairi ya kuufanya utawala huo wa Kizayuni ujihisi umepata kinga zaidi ya kutowajibishwa.

  • Imarati na Israel; upotoshaji mambo katika kivuli cha kuanzisha migogoro Asia Magharibi

    Imarati na Israel; upotoshaji mambo katika kivuli cha kuanzisha migogoro Asia Magharibi

    Oct 01, 2020 03:56

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Umoja wa Falme za Kiarabu (Imarati) na Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel wamelitumia jukwaa la kila mwaka la Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kwa ajili ya kutoa tuhuma za kukakariwa na zisizo na jipya dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS