Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran yazindua mfumo mpya wa kuvurumisha makombora ya balestiki

    Iran yazindua mfumo mpya wa kuvurumisha makombora ya balestiki

    Nov 04, 2020 08:39

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran IRGC limezindua mfumo erevu na wa kiotomatiki wa kuvurumisha makombora kadhaa ya balestiki ya masafa marefu kwa wakati mmoja.

  • Rouhani: Iran haijali ni nani ataibuka mshindi katika uchaguzi wa Marekani

    Rouhani: Iran haijali ni nani ataibuka mshindi katika uchaguzi wa Marekani

    Nov 04, 2020 08:06

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema taifa hili halijalishwi wala kushughulishwa na ni nani atakayeibuka mshindi katika uchaguzi wa rais wa Marekani uliofanyika jana Jumanne.

  • Wahadhiri wa vyuo vikuu wa Iran walaani kuvunjiwa heshima Mtume (saw)

    Wahadhiri wa vyuo vikuu wa Iran walaani kuvunjiwa heshima Mtume (saw)

    Nov 04, 2020 03:35

    Wahadhiri wa vyuo vikuu nchini Iran wametoa taarifa wakilaani vikali hatua ya Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ya kumvujia heshima Mtume Muhammad (saw).

  • Jeshi la Iran lasema halitaruhusu adui atekeleze hujuma

    Jeshi la Iran lasema halitaruhusu adui atekeleze hujuma

    Nov 03, 2020 20:47

    Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limetoa taarifa na kusema liko tayari kukabiliana na tishio lolote lile dhidi ya taifa la Iran na mfumo wa Kiislamu.

  • Jahangiri: Kipaumbele cha nchi za Kiislamu ni kutetea thamani za Mtume Muhammad SAW

    Jahangiri: Kipaumbele cha nchi za Kiislamu ni kutetea thamani za Mtume Muhammad SAW

    Nov 03, 2020 04:24

    Makamu wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kutetea thamani za Mtume Muhammad SAW kunapaswa kuwa kipaumbele cha kwanza katika nchi za Kiislamu duniani.

  • Waislamu kote duniani wanaadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa Mtume SAW na Imam Swadiq AS

    Waislamu kote duniani wanaadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa Mtume SAW na Imam Swadiq AS

    Nov 02, 2020 23:42

    Waislamu leo wanaadhimisha maulidi na kumbukumbu ya kuzaliwa mbora wa viumbe Mtume Muhammad SAW pamoja na mjukuu wake Imam Ja'afar bin Muhammad al-Swadiq AS.

  • 'Trump ni gaidi nambari moja duniani'

    'Trump ni gaidi nambari moja duniani'

    Oct 31, 2020 23:18

    Mshauri wa sera za kigeni wa Spika wa Bunge la Iran ameashiria mauaji ya Luteni Jenerali Qassem Soleimani kamanda wa Kikosi cha Quds cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) ambaye aliuawa kigaidi kufuatia amri ya Rais Donald Trump wa Marekani na kusema, Trump ni gaidi nambari moja duniani.

  • Watu wengine 365 wafariki dunia kwa virusi vya corona nchini Iran

    Watu wengine 365 wafariki dunia kwa virusi vya corona nchini Iran

    Oct 30, 2020 13:07

    Msemaji wa Wizara ya Afya, Tiba na Mafunzo ya Utabibu ya Iran amesema, watu wengine zaidi elfu nane wameambukizwa virusi vya corona na wengine 365 wamefariki dunia katika muda wa saa 24 zilizopita.

  • Kufichuliwa hatua za upendeleo za Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa wa Marekani kwa maslahi ya kampeni za uchaguzi za Trump

    Kufichuliwa hatua za upendeleo za Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa wa Marekani kwa maslahi ya kampeni za uchaguzi za Trump

    Oct 30, 2020 09:09

    Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa wa Marekani John Ratcliffe amezungumzia tuhuma za Iran kuingilia uchaguzi wa mwaka huu wa Marekani ambazo sasa imebainika kuwa zimetolewa ili kuimarisha kampeni za uchaguzi za Donald Trump.

  • Iran kuvigeuza vikwazo vipya dhidi yake kuwa waraka usio na itibari

    Iran kuvigeuza vikwazo vipya dhidi yake kuwa waraka usio na itibari

    Oct 29, 2020 04:42

    Mkuu wa Ofisi ya Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema taifa hili litavigeuza vikwazo vipya lilivyowekewa na Marekani kuwa waraka usio na itibari.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS