Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Jumapili, 16 Novemba, 2025

    Jumapili, 16 Novemba, 2025

    Nov 15, 2025 22:53

    Leo ni Jumapili 25 Mfunguo Nane Jamadul-Awwal 1447 Hijria mwafaka na 16 Novemba 2025.

  • Iran na Uturuki zatilia mkazo kupunguzwa mivutano na kurejeshwa amani na uthabiti katika eneo

    Iran na Uturuki zatilia mkazo kupunguzwa mivutano na kurejeshwa amani na uthabiti katika eneo

    Nov 14, 2025 04:23

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyidd Abbas Araqchi, amefanya mazunguzmo kwa njia ya simu na mwenzake wa Uturuki Hakan Fidan, ambapo wawili hao wamejadili uhusiano wa pande mbili na matukio ya kikanda na kimataifa.

  • Iran yapinga na kuyatoa maanani madai ya kundi la G7 dhidi yake

    Iran yapinga na kuyatoa maanani madai ya kundi la G7 dhidi yake

    Nov 13, 2025 23:52

    Esmail Baghaei, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, madai yaliyomo kwenye taarifa iliyotolewa mwishoni mwa mkutano wa mawaziri wa mambo ya nje wa nchi zinazounda G7 uliofanyika nchini Canada kuhusu Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hayana msingi wala nadhari na hayakubaliki.

  • Larijani: Hakuna ujumbe mpya uliotumwa Marekani

    Larijani: Hakuna ujumbe mpya uliotumwa Marekani

    Nov 12, 2025 04:08

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amepuuzilia mbali ripoti kwamba kumekuwepo mawasiliano mapya kati ya Tehran na Washington na kusisitiza kuwa hakuna ujumbe mpya uliowasilishwa kwa Marekani.

  • Marekani na Uingereza; madai ya uongo kuhusu haki za binadamu

    Marekani na Uingereza; madai ya uongo kuhusu haki za binadamu

    Nov 11, 2025 23:01

    Ripoti kuhusu ukiukaji wa haki za binadamu nchini Marekani na Uingereza zimechapishwa na Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran.

  • Araqchi: Magharibi haina chaguo ila kuitambua Iran kama 'kitovu cha sayansi ya nyuklia'

    Araqchi: Magharibi haina chaguo ila kuitambua Iran kama 'kitovu cha sayansi ya nyuklia'

    Nov 11, 2025 04:28

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi, amesema kuwa nchi za Magharibi hatimaye hazitakuwa na budi ila kuitambua Iran kama kitovu cha kisayansi cha sekta ya amani ya nyuklia.

  • Iran kuzindua satelaiti 3 mwanzoni mwa msimu wa baridi

    Iran kuzindua satelaiti 3 mwanzoni mwa msimu wa baridi

    Nov 11, 2025 04:16

    Hassan Salarieh, mkuu wa Shirika la Anga za Juu la Iran (ISA) ametangaza mipango ya kurusha kwenye obiti satelaiti tatu zilizoundwa hapa nchini kama sehemu ya jitihada za kuboresha mpango wa anga za juu wa nchi.

  • Larijani: Nchi za Magharibi hazistahili kutoa maoni kuhusu uwezo wa makombora ya Iran

    Larijani: Nchi za Magharibi hazistahili kutoa maoni kuhusu uwezo wa makombora ya Iran

    Nov 10, 2025 23:45

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema nchi za Magharibi zinatumia uwezo wa makombora wa nchi hii kama njia ya kutekeleza mashinikizo yao na kusisitiza kuwa nchi hizo hazipasi kuzungumzia suala hilo.

  • New York Times: Katika vita vijavyo, Iran itarusha makombora 2,000 kwa wakati mmoja kuilenga Israel

    New York Times: Katika vita vijavyo, Iran itarusha makombora 2,000 kwa wakati mmoja kuilenga Israel

    Nov 10, 2025 02:49

    Gazeti la The New York Times la nchini Marekani limetahadharisha kwamba ikiwa Israel itaishambulia tena Iran, Tehran itajibu hujuma hiyo kwa nguvu zaidi, kwa kurusha makombora 2,000 kwa wakati mmoja kuulenga utawala huo wa kizayuni.

  • Iran yapanua diplomasia ya utalii katika mkutano wa Riyadh

    Iran yapanua diplomasia ya utalii katika mkutano wa Riyadh

    Nov 09, 2025 22:52

    Waziri wa Utalii wa Iran Sayyid Reza Salehi-Amiri jana Jumapili alikutana na kuzungumza kwa nyakati tofauti mjini Riyadh, Saudi Arabia na maafisa wa ngazi ya juu wa nchi kadhaa, wakiwemo maafisa kutoka Indonesia, China, India, Iraq, Tajikistan, Armenia, na Uzbekistan kujadili njia za kupanua ushirikiano wa pande mbili katika sekta ya utalii.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS