-
Jumapili, 16 Novemba, 2025
Nov 15, 2025 22:53Leo ni Jumapili 25 Mfunguo Nane Jamadul-Awwal 1447 Hijria mwafaka na 16 Novemba 2025.
-
Iran na Uturuki zatilia mkazo kupunguzwa mivutano na kurejeshwa amani na uthabiti katika eneo
Nov 14, 2025 04:23Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyidd Abbas Araqchi, amefanya mazunguzmo kwa njia ya simu na mwenzake wa Uturuki Hakan Fidan, ambapo wawili hao wamejadili uhusiano wa pande mbili na matukio ya kikanda na kimataifa.
-
Iran yapinga na kuyatoa maanani madai ya kundi la G7 dhidi yake
Nov 13, 2025 23:52Esmail Baghaei, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema, madai yaliyomo kwenye taarifa iliyotolewa mwishoni mwa mkutano wa mawaziri wa mambo ya nje wa nchi zinazounda G7 uliofanyika nchini Canada kuhusu Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hayana msingi wala nadhari na hayakubaliki.
-
Larijani: Hakuna ujumbe mpya uliotumwa Marekani
Nov 12, 2025 04:08Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amepuuzilia mbali ripoti kwamba kumekuwepo mawasiliano mapya kati ya Tehran na Washington na kusisitiza kuwa hakuna ujumbe mpya uliowasilishwa kwa Marekani.
-
Marekani na Uingereza; madai ya uongo kuhusu haki za binadamu
Nov 11, 2025 23:01Ripoti kuhusu ukiukaji wa haki za binadamu nchini Marekani na Uingereza zimechapishwa na Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran.
-
Araqchi: Magharibi haina chaguo ila kuitambua Iran kama 'kitovu cha sayansi ya nyuklia'
Nov 11, 2025 04:28Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi, amesema kuwa nchi za Magharibi hatimaye hazitakuwa na budi ila kuitambua Iran kama kitovu cha kisayansi cha sekta ya amani ya nyuklia.
-
Iran kuzindua satelaiti 3 mwanzoni mwa msimu wa baridi
Nov 11, 2025 04:16Hassan Salarieh, mkuu wa Shirika la Anga za Juu la Iran (ISA) ametangaza mipango ya kurusha kwenye obiti satelaiti tatu zilizoundwa hapa nchini kama sehemu ya jitihada za kuboresha mpango wa anga za juu wa nchi.
-
Larijani: Nchi za Magharibi hazistahili kutoa maoni kuhusu uwezo wa makombora ya Iran
Nov 10, 2025 23:45Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema nchi za Magharibi zinatumia uwezo wa makombora wa nchi hii kama njia ya kutekeleza mashinikizo yao na kusisitiza kuwa nchi hizo hazipasi kuzungumzia suala hilo.
-
New York Times: Katika vita vijavyo, Iran itarusha makombora 2,000 kwa wakati mmoja kuilenga Israel
Nov 10, 2025 02:49Gazeti la The New York Times la nchini Marekani limetahadharisha kwamba ikiwa Israel itaishambulia tena Iran, Tehran itajibu hujuma hiyo kwa nguvu zaidi, kwa kurusha makombora 2,000 kwa wakati mmoja kuulenga utawala huo wa kizayuni.
-
Iran yapanua diplomasia ya utalii katika mkutano wa Riyadh
Nov 09, 2025 22:52Waziri wa Utalii wa Iran Sayyid Reza Salehi-Amiri jana Jumapili alikutana na kuzungumza kwa nyakati tofauti mjini Riyadh, Saudi Arabia na maafisa wa ngazi ya juu wa nchi kadhaa, wakiwemo maafisa kutoka Indonesia, China, India, Iraq, Tajikistan, Armenia, na Uzbekistan kujadili njia za kupanua ushirikiano wa pande mbili katika sekta ya utalii.