Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Waziri wa zamani wa ulinzi wa Marekani: Siasa za Trump dhidi ya Iran zimeshindwa

    Waziri wa zamani wa ulinzi wa Marekani: Siasa za Trump dhidi ya Iran zimeshindwa

    Jul 20, 2020 21:50

    Waziri wa zamani wa ulinzi wa Marekani amesema kuwa, siasa za Rais Donald Trump wa nchi hiyo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ndiyo sababu ya kushindwa Washington katika medani zote.

  • Araqchi akanusha madai ya kuwepo ofisi ya Taliban nchini Iran

    Araqchi akanusha madai ya kuwepo ofisi ya Taliban nchini Iran

    Jul 19, 2020 10:06

    Naibu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anayehusika na masuala ya kisiasa amekabidhisha vikali madai ya kipropaganda kuwa kundi la wapiganaji wa Taliban la Afghanistan lina ofisi hapa nchini. Sayyid Abbas Araqchi aidha amekanusha vikali uvumi wa uwepo wa kundi la Taliban hapa nchini Iran, kwa jina la "Baraza la Mashhad."

  • Zarif: Iran na Iraq zinapaswa kuwa macho na tayari kukabiliana na ugaidi

    Zarif: Iran na Iraq zinapaswa kuwa macho na tayari kukabiliana na ugaidi

    Jul 19, 2020 06:39

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu na Iraq daima zinapaswa kuwa macho na tayari kwa ajili ya kukabiliana na njama za magenge ya kigaidi kama vile Daesh (ISIS) katika eneo hili la Asia Magharibi.

  • Ni bora Marekani ikiri imeshindwa na Iran badala ya kutoa vitisho vya kipuuzi

    Ni bora Marekani ikiri imeshindwa na Iran badala ya kutoa vitisho vya kipuuzi

    Jul 19, 2020 06:34

    Ali Shamkhani, Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran ametuma ujumbe kupitia Twitter akimhutubu Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani kwa kusema: "Itakuwa bora iwapo Washington itakiri kushindwa na Iran yenye nguvu badala ya kutoa vitisho vya kipuuzi na visivyoweza kutekelezeka."

  • Wanasayansi wa Iran wapiga hatua kubwa katika utengenezaji wa chanjo ya Corona

    Wanasayansi wa Iran wapiga hatua kubwa katika utengenezaji wa chanjo ya Corona

    Jul 17, 2020 09:40

    Waziri wa Afya, Tiba na Mafunzo ya Utabibu wa Iran amesema timu kadhaa za wanasayansi nchini zimepiga hatua kubwa katika utengenezaji wa chanjo ya ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na kirusi cha corona.

  • Ushirikiano wa Russia na Iran ni kwa manufaa ya amani na usalama wa dunia

    Ushirikiano wa Russia na Iran ni kwa manufaa ya amani na usalama wa dunia

    Jul 17, 2020 06:08

    Marais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia sambamba na kutangaza kuunga mkono suala la kulindwa na kudumishwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na udharura wa kukabiliana na siasa za Marekani za uchukuaji maamuzi ya upande mmoja wamesisitiza juu ya kustawishwa zaidi uhusiano wa Tehran na Moscow.

  • Zarif: Iran haitalipa taifa lolote hata shibri moja ya ardhi yake

    Zarif: Iran haitalipa taifa lolote hata shibri moja ya ardhi yake

    Jul 17, 2020 03:35

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameashiria juu ya makubaliano ya miaka 25 ya ushirikiano kati ya Iran na China na kusisitiza kuwa, katu Jamhuri ya Kiislamu haitapeana hata shibri moja ya ardhi yake au kuipa nchi yoyote ile ikiwemo China, haki maalumu ya kutumia maeneo yake.

  • Brig. Jen. Shekarchi: Israel itashuhudia nguvu za Iran ikiendelea kufanya shari na uovu

    Brig. Jen. Shekarchi: Israel itashuhudia nguvu za Iran ikiendelea kufanya shari na uovu

    Jul 16, 2020 22:48

    Msemaji wa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameonya kuwa, iwapo utawala wa Kizayuni wa Israel utaendelea kufanya shari na maovu yake, basi utakabiliwa na pigo kubwa kutoka kwa mrengo wa muqawama na Iran.

  • El Confidential: Mpango wa ushirikiano kati ya Iran na China; kizabo cha usoni kwa Marekani

    El Confidential: Mpango wa ushirikiano kati ya Iran na China; kizabo cha usoni kwa Marekani

    Jul 16, 2020 22:12

    Gazeti moja linalochapishwa kwa lugha ya Kihispania limeandika kuwa mpango wa kamili wa ushirikiano kati ya Iran na China na kizabo cha uso kwa Marekani.

  • Uingiliaji wa kifidhuli wa Donald Trump katika masuala ya ndani ya Iran

    Uingiliaji wa kifidhuli wa Donald Trump katika masuala ya ndani ya Iran

    Jul 16, 2020 22:10

    Tangu Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yalipopata ushindi mwaka 1979 kwa uongozi wa Imam Ruhullah Khomeini Marekani daima imekuwa na utendaji hasi na wa kihasama dhidi ya taifa hili la Kiislamu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS