-
Waziri wa zamani wa ulinzi wa Marekani: Siasa za Trump dhidi ya Iran zimeshindwa
Jul 20, 2020 21:50Waziri wa zamani wa ulinzi wa Marekani amesema kuwa, siasa za Rais Donald Trump wa nchi hiyo dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ndiyo sababu ya kushindwa Washington katika medani zote.
-
Araqchi akanusha madai ya kuwepo ofisi ya Taliban nchini Iran
Jul 19, 2020 10:06Naibu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran anayehusika na masuala ya kisiasa amekabidhisha vikali madai ya kipropaganda kuwa kundi la wapiganaji wa Taliban la Afghanistan lina ofisi hapa nchini. Sayyid Abbas Araqchi aidha amekanusha vikali uvumi wa uwepo wa kundi la Taliban hapa nchini Iran, kwa jina la "Baraza la Mashhad."
-
Zarif: Iran na Iraq zinapaswa kuwa macho na tayari kukabiliana na ugaidi
Jul 19, 2020 06:39Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu na Iraq daima zinapaswa kuwa macho na tayari kwa ajili ya kukabiliana na njama za magenge ya kigaidi kama vile Daesh (ISIS) katika eneo hili la Asia Magharibi.
-
Ni bora Marekani ikiri imeshindwa na Iran badala ya kutoa vitisho vya kipuuzi
Jul 19, 2020 06:34Ali Shamkhani, Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran ametuma ujumbe kupitia Twitter akimhutubu Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani kwa kusema: "Itakuwa bora iwapo Washington itakiri kushindwa na Iran yenye nguvu badala ya kutoa vitisho vya kipuuzi na visivyoweza kutekelezeka."
-
Wanasayansi wa Iran wapiga hatua kubwa katika utengenezaji wa chanjo ya Corona
Jul 17, 2020 09:40Waziri wa Afya, Tiba na Mafunzo ya Utabibu wa Iran amesema timu kadhaa za wanasayansi nchini zimepiga hatua kubwa katika utengenezaji wa chanjo ya ugonjwa wa Covid-19 unaosababishwa na kirusi cha corona.
-
Ushirikiano wa Russia na Iran ni kwa manufaa ya amani na usalama wa dunia
Jul 17, 2020 06:08Marais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Russia sambamba na kutangaza kuunga mkono suala la kulindwa na kudumishwa makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na udharura wa kukabiliana na siasa za Marekani za uchukuaji maamuzi ya upande mmoja wamesisitiza juu ya kustawishwa zaidi uhusiano wa Tehran na Moscow.
-
Zarif: Iran haitalipa taifa lolote hata shibri moja ya ardhi yake
Jul 17, 2020 03:35Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameashiria juu ya makubaliano ya miaka 25 ya ushirikiano kati ya Iran na China na kusisitiza kuwa, katu Jamhuri ya Kiislamu haitapeana hata shibri moja ya ardhi yake au kuipa nchi yoyote ile ikiwemo China, haki maalumu ya kutumia maeneo yake.
-
Brig. Jen. Shekarchi: Israel itashuhudia nguvu za Iran ikiendelea kufanya shari na uovu
Jul 16, 2020 22:48Msemaji wa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameonya kuwa, iwapo utawala wa Kizayuni wa Israel utaendelea kufanya shari na maovu yake, basi utakabiliwa na pigo kubwa kutoka kwa mrengo wa muqawama na Iran.
-
El Confidential: Mpango wa ushirikiano kati ya Iran na China; kizabo cha usoni kwa Marekani
Jul 16, 2020 22:12Gazeti moja linalochapishwa kwa lugha ya Kihispania limeandika kuwa mpango wa kamili wa ushirikiano kati ya Iran na China na kizabo cha uso kwa Marekani.
-
Uingiliaji wa kifidhuli wa Donald Trump katika masuala ya ndani ya Iran
Jul 16, 2020 22:10Tangu Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran yalipopata ushindi mwaka 1979 kwa uongozi wa Imam Ruhullah Khomeini Marekani daima imekuwa na utendaji hasi na wa kihasama dhidi ya taifa hili la Kiislamu.