Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Jeshi la Anga la Iran lapokea ndege za kivita za 'Kauthar'

    Jeshi la Anga la Iran lapokea ndege za kivita za 'Kauthar'

    Jun 25, 2020 03:24

    Kikosi cha Anga cha Jeshi la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kimepokea ndege tatu za kivita aina ya 'Kauthar' zilizotengenezwa na wataalamu wa humu nchini.

  • "Marekani kuikingia kifua Israel kumelishushia hadhi Baraza la Usalama"

    Jun 25, 2020 03:19

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema hatua ya Marekani ya kuendelea kuukingia kifua na kuunga mkono utawala wa Kizayuni wa Israel imelifanya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lipoteze hadhi yake na likose maana.

  • China yasema mashinikizo ya Marekani dhidi ya Iran hayatafika popote

    China yasema mashinikizo ya Marekani dhidi ya Iran hayatafika popote

    Jun 24, 2020 03:51

    Balozi wa China katika Umoja wa Mataifa amesema mashinikizo ya Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hayatafika popote.

  • Waziri wa Ulinzi wa Iran: 70% ya vipuri vya ndege na helikopta inazalishwa nchini

    Waziri wa Ulinzi wa Iran: 70% ya vipuri vya ndege na helikopta inazalishwa nchini

    Jun 23, 2020 23:33

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema mafanikio iliyoyapata nchi hii katika kipindi cha miaka 40 iliyopita yamelifanya taifa hili hii leo liwe na uwezo wa kuzalisha zaidi ya asilimia 70 ya vipuri vya ndege na helikopta.

  • Iran kuwa na jumla ya satalaiti 18 kufikia mwishoni mwa mwaka

    Iran kuwa na jumla ya satalaiti 18 kufikia mwishoni mwa mwaka

    Jun 21, 2020 23:21

    Kutokana na kuendelea kuboreka sekta ya anga za mbali ya Iran, Jamhuri ya Kiislamu inapania kuzalisha satalaiti zaidi na kufikisha jumla ya satalaiti 18 kufikia mwishoni mwaka huu wa Kiirani wa Hijria Shamsia, sawa na Machi 20, mwaka 2021.

  • Kuunga mkono kurefushwa vikwazo dhidi ya Iran, hatua ya Ulaya ya kutembea kwenye nyayo za Marekani

    Kuunga mkono kurefushwa vikwazo dhidi ya Iran, hatua ya Ulaya ya kutembea kwenye nyayo za Marekani

    Jun 21, 2020 01:45

    Troika ya Ulaya yaani nchi tatu za Ulaya za Uingereza Ujerumani na Ufaransa licha ya kudai zinaunga mkono mkono mapatano ya nyuklia ya JCPOA lakini vitendo vyao vinaiunga mkono Markeani ambayo imejitoa kabisa kwenye makubaliano hayo ya kimataifa. Misimamo ya hivi karibuni ya troika hiyo ya Ulaya imezidi kuonesha jinsi nchi hizo tatu zisivyo na mwamana, sawa kabisa na Marekani.

  • Iran ni katika nchi 10 zinazopokea idadi kubwa ya wakimbizi na wahajiri duniani

    Iran ni katika nchi 10 zinazopokea idadi kubwa ya wakimbizi na wahajiri duniani

    Jun 20, 2020 03:07

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni katika nchi kumi zinazopokea idadi kubwa zaidi ya wakimbizi na wahajiri duniani.

  • Bodi ya Magavana ya IAEA yapitisha azimio dhidi ya Iran kwa malengo ya kisiasa

    Bodi ya Magavana ya IAEA yapitisha azimio dhidi ya Iran kwa malengo ya kisiasa

    Jun 20, 2020 02:26

    Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) imepitisha azimio ambalo limependekezwa na Troika ya Ulaya dhidi ya Iran pamoja na kuwa azimio hilo limepingwa na China na Russia.

  • Russia na China zakosoa azimio la Bodi ya Magavana ya IAEA dhidi ya Iran

    Russia na China zakosoa azimio la Bodi ya Magavana ya IAEA dhidi ya Iran

    Jun 19, 2020 23:37

    Russia na China zimekosoa hatua ya kupasishwa azimio dhidi Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Bodi ya Magavana ya Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA).

  • Indhari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran kwa nchi za Ulaya kuhusiana na JCPOA

    Indhari ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran kwa nchi za Ulaya kuhusiana na JCPOA

    Jun 19, 2020 07:21

    Ripoti iliyotolewa hivi karibuni na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran imefanywa kisingizio na nchi tatu za Ulaya zilizomo kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA cha kukitumia katika Baraza la Magavana la wakala huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS