-
Onyo la Rouhani kuhusu JCPOA; Ulaya isitumbukie kwenye mtego wa Marekani
Aug 13, 2020 04:54Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa azimio lilopendekezwa na Marekani katika Barazala Usalama la Umoja wa Mataifa linakiuka moja kwa moja azimio nambari 2231 la baraza hilo na hivyo kuzitaka nchi zote na hasa zilizotia saini mapatano ya kimataifa ya nyuklia ya JCPOA, zilipinge.
-
Dakta Zarif: Kusambaratisha Marekani makubaliano ya nyuklia ya Iran kutakuwa ni kurejea katika 'sheria za mwituni'
Aug 13, 2020 03:38Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kusambaratisha kikamilifu Marekani makubaliano ya nyuklia ya Iran kutakuwa sawa na kurejea katika 'sheria za mwituni'.
-
Marekani yalegeza msimamo kuhusu kurefushwa vikwazo vya silaha dhidi ya Iran
Aug 12, 2020 23:00Juhudi za Marekani za kutaka vikwazo vya silaha dhidi ya Iran virefushwe katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa zimekabiliwa na changamoto kubwa.
-
Sisitizo la kuongezwa ushirikiano wa Iran na Venezuela na ghadhabu za Washington kwa hilo
Aug 11, 2020 22:01Katika miaka ya hivi karibuni Iran na Venezuela zimeandamwa na vikwazo vya kiuchumi na kisiasa vya Marekani na viongozi wa White House wamefanya juhudi kubwa kutumia nyenzo mbalimbali ili wazifanye nchi mbili hizi zisalimu amri na kufuata siasa za Washington.
-
Jumatatu tarehe 10 Agosti 2020
Aug 09, 2020 23:54Leo ni Jumatatu tarehe 20 Dhulhija 1441 Hijria sawa na Agosti 10 mwaka 2020.
-
IAEA yatakiwa kuwa na uwazi kuhusu mpango wa nyuklia wa siri wa Saudi Arabia
Aug 08, 2020 22:56Kadhim Gharibabadi Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika taasisi za kimataifa mjini Vienna, Austria ametoa wito kwa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) uwe na uwazi kuhusu mpango wa siri wa nyuklia wa Saudi Arabia.
-
Iran yapiga hatua kubwa katika kutengeneza vifaa na dawa za kukabiliana na corona
Aug 08, 2020 09:06Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Maendelo ya Teknolojia ya Masuala ya Afya ya Wizara ya Afya ya Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu imepiga hatua kubwa na kwenda bega kwa bega na nchi zilizoendelea duniani kutokana na jitihada kubwa zinazofanywa na mkampuni ya sayansi ya kutengeneza zana na kuzalisha vifaa vya kuzuia, kubaini na kutibu virusi vya corona.
-
Kufeli siasa za Marekani mkabala na Iran; kuendelea kugonga mwamba ndoto za Trump
Aug 08, 2020 03:15Hakuna siku inayopita bila viongozi wa Marekani kutoa misimamo mikali dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, suala ambalo mara nyingi hudhihirisha mgongano wa misimamo yao na kupelekea baadhi ya vyombo vya nchi hiyo ya Magharibi kukiri kuwa hiyo ni ishara ya kushindwa siasa za Washington mkabala na Iran.
-
Mousavi: kubadilishwa "Brian Hook" hakutaleta mabadiliko katika siasa za Marekani
Aug 07, 2020 23:54Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa kubadilishwa Briah Hook aliyekuwa mjumbe maalumu wa Marekani katika masuala ya Iran hakutabadilisha chochote siasa za nchi hiyo.
-
Kujiuzulu Brian Hook; nembo ya kufeli wenzo wa mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa dhidi ya Iran
Aug 07, 2020 08:19Serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani ikitumia wenzo wa mashinikizo ya kiwango cha juu kabisa, iliiwekea Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vikwazo ambavyo havijawahi kushuhudiwa.