Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Marekani yaondoa misamaha ya nyuklia ya Iran

    Marekani yaondoa misamaha ya nyuklia ya Iran

    May 28, 2020 21:52

    Baada ya Marekani kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezaji (JCPOA) mnamo Mei 8 2018, ilianza kutekeleza vikwazo vipya dhidi ya Iran. Vikwazo hivyo vya upande mmoja ni ukiukwaji wa wazi wa azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Meli ya nne ya mafuta ya Iran yaingia katika maji ya Venezuela

    Meli ya nne ya mafuta ya Iran yaingia katika maji ya Venezuela

    May 28, 2020 05:37

    Meli ya nne ya mafuta ya Iran imewasili katika Eneo Mahsusi la Kiuchumi Baharini (EEZ) kwa lengo la kufikisha mafuta ya petroli na dizeli katika nchi hiyo inayokabiliwa na vikwazo vya Marekani.

  • Iran yapeleka Denmark mashine za kuzalisha barakoa

    Iran yapeleka Denmark mashine za kuzalisha barakoa

    May 28, 2020 03:27

    Makamu wa Rais wa Iran wa Masuala ya Sayansi na Teknolojia amesema Jamhuri ya Kiislamu imepeleka nchini Denmark mashine za kuzalisha barakoa za kujikinga virusi vya corona.

  • Mohammad Bagher Ghalibaf achaguliwa kuwa Spika mpya Bunge la Iran

    Mohammad Bagher Ghalibaf achaguliwa kuwa Spika mpya Bunge la Iran

    May 28, 2020 02:52

    Mohammad Bagher Ghalibaf ndiye spika mpya wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu yaani Bunge la Iran. Zoezi la kumchagua spika wa bunge la 11 la Jamhuri ya Kiislamu limefanyika leo asubuhi.

  • Alkhamisi, tarehe 28 Mei, 2020

    Alkhamisi, tarehe 28 Mei, 2020

    May 27, 2020 23:16

    Leo ni Alkhamisi tarehe 5 Shawwal 1441 Hijiria, sawa na tarehe 28 Mei 2020 Miladia.

  • Rais Rouhani aihutubu Marekani: Biashara yetu na Venezuela haiwahusu

    Rais Rouhani aihutubu Marekani: Biashara yetu na Venezuela haiwahusu

    May 27, 2020 21:53

    Rais Hassan Rouhani wa Iran ameikosoa vikali Marekani kwa kujaribu kuingilia miamala ya kibiashara baina ya Jamhuri ya Kiislamu na nchi nyingine huru duniani.

  • Iran yalaani ukatili wa polisi wa Marekani kwa kumuua raia mweusi + Video

    Iran yalaani ukatili wa polisi wa Marekani kwa kumuua raia mweusi + Video

    May 27, 2020 11:36

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali ukatili wa polisi ya Marekani uliopelekea kupoteza maisha raia mwengine mwenye asili ya Afrika.

  • Rais wa Iran aidhinisha sheria ya kukabili jinai za Israel

    Rais wa Iran aidhinisha sheria ya kukabili jinai za Israel

    May 26, 2020 23:17

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameidhinisha kuwa sheria, muswada wa kukabiliana na uhasama na jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel katika upeo wa kitaifa na kimataifa.

  • Russia: Wapinzani wa JCPOA wanakusudia kudunisha ushirikiano wa Iran na IAEA

    Russia: Wapinzani wa JCPOA wanakusudia kudunisha ushirikiano wa Iran na IAEA

    May 25, 2020 21:56

    Mwakilishi wa kudumu wa Russia katika mashirika ya kimataifa yenye makao yao mjini Vienna nchini Austria amesema wapinzani wa makubaliano ya nyuklia yaliyosainiwa baina ya Iran na madola makubwa duniani mwaka 2015 wanalenga kudunisha na kudhalilisha muamana na ushirikiano baina ya Tehran na Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA).

  • Sisitizo la Venezeula kuhusu kutokuwa na maana vitisho vya Marekani dhidi ya meli za mafuta za Iran

    Sisitizo la Venezeula kuhusu kutokuwa na maana vitisho vya Marekani dhidi ya meli za mafuta za Iran

    May 25, 2020 06:01

    Wakati wa utawla wa rais Donald Trump wa Marekani, sera za mashinikizo ya pande zote dhidiya Venezeula zimeongezeka kwa kuwekewe vikwazo vingi nchi hiyo lengo likiwa ni kuipindua serikali ya Rais Nicolas Maduro na kumleta madarakani kinara wa wapinzani Juan Guaid ambaye ni kibaraka wa Washington.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS