• Zarif: Natumai ulimwengu wa Kiislamu utapata ushindi dhidi ya maadui

    Zarif: Natumai ulimwengu wa Kiislamu utapata ushindi dhidi ya maadui

    May 24, 2020 06:23

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameeleza matumaini yake kuwa ulimwengu wa Kiislamu utaibuka na ushindi dhidi ya maadui.

  • Brig. Jen. Hajizadeh: Utayarifu wa kujihami Iran upo katika kiwango cha juu zaidi

    Brig. Jen. Hajizadeh: Utayarifu wa kujihami Iran upo katika kiwango cha juu zaidi

    May 24, 2020 06:16

    Kamanda wa Kikosi cha Anga za Mbali cha Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema kuwa, utayarifu wa kulihami na kulilinda wa taifa la Iran hivi sasa upo katika kiwango cha juu zaidi katika historia ya Mapinduzi ya Kiislamu.

  • Uingereza yachukizwa na hotuba ya Kiongozi Muadhamu ya kuitetea Palestina

    Uingereza yachukizwa na hotuba ya Kiongozi Muadhamu ya kuitetea Palestina

    May 23, 2020 22:21

    Hotuba ya kistratijia na ya kutia matumaini ya Kiongozi Muadhamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei katika kuitetea Palestina na kufichua njama chafu za utawala haramu wa Kizayuni wa Israel na waungaji mkono wake, imewatia hasira viongozi wa Uingereza.

  • Wizara ya Ulinzi ya Iran: Tutaendelea kuunga mkono muqawama wa Palestina

    Wizara ya Ulinzi ya Iran: Tutaendelea kuunga mkono muqawama wa Palestina

    May 23, 2020 05:45

    Wizara ya Ulinzi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema itaendelea kuziunga mkono na kuzipa misaada isiyo na kikomo harakati za muqawama za Palestina zinazopambana na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran; jitihada zisizo na tija za utawala wa Trump

    Vikwazo vipya vya Marekani dhidi ya Iran; jitihada zisizo na tija za utawala wa Trump

    May 23, 2020 02:45

    Baada ya kujiondoa katika mapatano ya nyuklia ya Iran mnamo Mei 2018, serikali ya Rais Donald Trump wa Marekani imekuwa ikitekeleza mashinikizo ya juu kabisa kwa kuiwekea Iran vikwazo shadidi zaidi kuwahi kushuhudiwa katika historia. Pamoja na kuwa vikwazo hivyo havijaweza kufanikiwa, Marekani inasisitiza kuendelea na sera yake hiyo ya vikwazo.

  • Jihadul Islami: Iran inahimili vikwazo vya kila namna kwa ajili ya kuihami Palestina

    Jihadul Islami: Iran inahimili vikwazo vya kila namna kwa ajili ya kuihami Palestina

    May 22, 2020 22:06

    Mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya harakati ya Jihadul Islami ya Palestina amegusia maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Quds yaliyofanyika jana Ijumaa kote duniani na kukumbusha kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imejikubalisha kuhimili na kuvumilia mashinikizo na vikwazo vya kila namna vya mabeberu kwa ajili ya kuhami malengo matukufu ya Palestina.

  • Russia na Venezuela zakosoa hatua zisizo za kisheria za Marekani

    Russia na Venezuela zakosoa hatua zisizo za kisheria za Marekani

    May 22, 2020 02:00

    Tangu Rais Donald Trump mwenye kashfa nyingi wa Marekani aingie ikulu ya White House ameshadidisha siasa za uhasama dhidi ya Venezuela ambapo pia amefanya njama nyingi za kuiondoa madarakani serikali halali ya Rais Nicolás Maduro wa nchi hiyo sambamba na kuiwekea vikwazo vikali.

  • Ijumaa, tarehe 22 Mei, 2020

    Ijumaa, tarehe 22 Mei, 2020

    May 21, 2020 22:09

    Leo ni Ijumaa tarehe 28 Ramadhan mwaka 1441 Hijiria, inayosadifiana na Pili Khordad 1399 Hijria Shamsia sawa tarehe 22 Mei mwaka 2020 Miladia.

  • Alkhamisi, tarehe 21 Mei, 2020

    Alkhamisi, tarehe 21 Mei, 2020

    May 21, 2020 01:34

    Leo ni Alhamisi tarehe 27 Ramadhan mwaka 1441 Hijiria, inayosadifiana na tarehe Mosi Khordad mwaka 1399 Hijria Shamsia sawa na 21 Mei mwaka 2020 Miladia.

  • Sisitizo la Russia juu ya kutoweza Marekani kurejesha vikwazo vya kimataifa dhidi ya Iran

    Sisitizo la Russia juu ya kutoweza Marekani kurejesha vikwazo vya kimataifa dhidi ya Iran

    May 19, 2020 02:52

    Tarehe 8 Mei 2018, Marekani ilijitoa kijeuri katika mapatano ya kimataifa ya nyuklia yanayojulikana kwa jina maarufu la JCPOA, lakini hivi sasa inafanya njama kubwa za kujaribu kuzuia utekelezaji wa makubaliano hayo hasa kipengee cha kuondolewa Iran vikwazo vya silaha kwa mujibu wa azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa hapo tarehe 18 Oktoba mwaka huu wa 2020. Hata hivyo wajumbe wa Mashariki wa kundi la 4+1 yaani Russia na China wamepinga vikali njama hizo za Marekani.