Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Iran yaidhinisha rasmi kujiunga na mkataba wa kupambana na ufadhili wa ugaidi

    Iran yaidhinisha rasmi kujiunga na mkataba wa kupambana na ufadhili wa ugaidi

    Oct 22, 2025 09:23

    Rais Masoud Pezeshkian amewasilisha rasmi sheria ya kujiunga Iran na Mkataba wa Kimataifa wa Kupambanana Ufadhili wa Ugaidi (CFT).

  • Meja Jenerali Pakpour: Jahanamu itashuhdiwa iwapo Iran itashambuliwa

    Meja Jenerali Pakpour: Jahanamu itashuhdiwa iwapo Iran itashambuliwa

    Oct 21, 2025 23:48

    Iran iko tayari kutoa jibu kali kwa uchokozi wowote endapo utafanywa dhidi yake katika siku zijazo. Ameyasema hayo Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) ambaye ametaharisha kuwa Iran "itaachilia moto wa kuzimu dhidi ya adui."

  • Msemaji wa serikali ya Iran: Azimio nambari 2231 limekwisha muda wake

    Msemaji wa serikali ya Iran: Azimio nambari 2231 limekwisha muda wake

    Oct 21, 2025 23:08

    Fatemeh Mohajerani Msemaji wa serikali ya Iran amesema kuwa azimio nambari 2231 la Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa lililoidhinisha makubaliano ya nyuklia ya Iran ya mwaka 2015 limekwisha muda wake na kwamba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelitaarifu Baraza la usalama kuhusu kumalizika muda huo.

  • Kwa nini Afrika ni fursa kubwa ya kiuchumi kwa Iran?

    Kwa nini Afrika ni fursa kubwa ya kiuchumi kwa Iran?

    Oct 21, 2025 23:01

    Mkuu wa Jumuiya ya Biashara ya Pamoja ya Iran na Afrika amesema: "bara la Afrika ni hazina iliyofichika ya uchumi wa dunia na fursa kubwa kwa Iran."

  • Araghchi na Guterres wajadili migogoro ya Gaza, Yemen

    Araghchi na Guterres wajadili migogoro ya Gaza, Yemen

    Oct 21, 2025 08:12

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres wamefanya mazungumzo ya simu na kuzungumzia matukio ya kikanda ikiwemo hali ya Gaza na Yemen.

  • Iraq: Hatutaruhusu ardhi na anga yetu zitumike kutishia usalama wa Iran, majirani wengine

    Iraq: Hatutaruhusu ardhi na anga yetu zitumike kutishia usalama wa Iran, majirani wengine

    Oct 21, 2025 03:31

    Iraq iimesisitiza kuwa haitaruhusu ardhi na anga yake zitumike kutishia usalama wa Iran au wa nchi nyingine yoyote jirani.

  • Kamanda wa Iran: Miundomsingi ya makombora haikupata 'hata mkwaruzo' wakati wa Vita vya Siku 12

    Kamanda wa Iran: Miundomsingi ya makombora haikupata 'hata mkwaruzo' wakati wa Vita vya Siku 12

    Oct 20, 2025 23:53

    Kamanda mwandamizi wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema, miundomsingi ya makombora na ulinzi imebaki imara kama ilivyokuwa kabla ya Vita vya Siku 12 na kubainisha kwa kusema: "mkwaruzo wenye ukubwa hata wa ubawa wa nzi" haukufanywa kwenye makombora ya Iran.

  • Meja Jenerali Pakpour: Iran iko tayari kikamilifu kuimarisha uhusiano wa kistratejia na Yemen

    Meja Jenerali Pakpour: Iran iko tayari kikamilifu kuimarisha uhusiano wa kistratejia na Yemen

    Oct 20, 2025 03:14

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) limesema kuwa limejiandaa kikamilifu kukuza ushirikiano wa kimkakati na vikosi vya ulinzi vya Yemen katika mapambano dhidi ya mabeberu wa dunia na Uzayuni wa kimataifa.

  • Iran yalaani kitendo cha Israel cha kumtesa mwanaharakati Greta Thunberg

    Iran yalaani kitendo cha Israel cha kumtesa mwanaharakati Greta Thunberg

    Oct 20, 2025 03:13

    Esmail Baqaei Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani vikali kitendo cha utawala wa Kizayuni wa Israel cha kumtesa mwanaharakti wa haki za binadamu aliyedhihirisha mshikamano na watu wa Palestina. Baqaei amevitaja vitendo hivyo vya Israel kuwa vya ukatili, visivyo vya kibinadamu na vya udhalilishaji.

  • Iran yailaani Israel kwa kuendelea kuua wanawake na watoto Gaza

    Iran yailaani Israel kwa kuendelea kuua wanawake na watoto Gaza

    Oct 19, 2025 03:10

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Iran, Esmaeil Baghaei amelaani ukiukaji wa mara kwa mara wa makubaliano ya usitishaji vita katika Ukanda wa Gaza unaofanywa na utawala ghasibu wa Israel, likiwemo shambulio la hivi karibuni dhidi ya gari lililokuwa limebeba familia ya Kipalestina wakati ikirejea kwenye makazi yao.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS