Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Ulimwengu wa Michezo, Juni 17

    Ulimwengu wa Michezo, Juni 17

    Jun 17, 2019 04:56

    Mkusanyiko wa matukio ya spoti kitaifa na kimataifa ndani ya siku saba zilizopita...

  • Iran yalaani kitendo cha magaidi wa MKO kufunga lango la ubalozi wake London

    Iran yalaani kitendo cha magaidi wa MKO kufunga lango la ubalozi wake London

    Jun 17, 2019 03:18

    Wafuasi wa kundi la kigaidi la Munafiqina (MKO) wameendelea kufunga lango pekee la kuingia katika ubalozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mji mkuu wa Uingereza, London.

  • Njia za utatuzi za Rais Vladmir Putin kwa ajili ya mapatano ya JCPOA

    Njia za utatuzi za Rais Vladmir Putin kwa ajili ya mapatano ya JCPOA

    Jun 17, 2019 00:04

    Hatua ya Marekani ya kujiondoa kwenye mapatano ya nyuklia ya JCPOA mwezi Mei mwaka jana na pia ukiukaji wa ahadi wa mara kwa mara wa Umoja wa Ulaya ambao umeshindwa kulinda mapatano hayo kupitia kuanzisha mfumo utakaosaidia kupunguza athari hasi za vikwazo vya Marekani dhidi ya Iran, ni mambo yaliyoyaweka katika hali mbaya mapatano hayo.

  • 'Muamala wa Karne' umetayarishwa na Marekani kwa maslahi ya Wazayuni

    'Muamala wa Karne' umetayarishwa na Marekani kwa maslahi ya Wazayuni

    Jun 16, 2019 22:56

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) zimesema utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani unalenga kuangamiza taifa la Palestina kupitia 'Muamala wa Karne' ulio kwa maslahi ya utawala wa Kizayuni katika eneo la Asia Magharibi.

  • Marais wa Iran na Uturuki wakosoa sera za vikwazo na mashinikizo

    Marais wa Iran na Uturuki wakosoa sera za vikwazo na mashinikizo

    Jun 16, 2019 03:14

    Rais Hassan Rouhani amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Uturuki zinapinga vikali sera za vikwazo, mashinikizo na uchukuaji maamuzi ya upande mmoja kwenye uhusiano wa kimataifa.

  • Moscow yailaumu Marekani kwa kuibua mivutano Asia magharibi

    Moscow yailaumu Marekani kwa kuibua mivutano Asia magharibi

    Jun 15, 2019 21:46

    Marekani katika kipindi hiki cha utawala wa Rais Donald Trump imeanzisha jitihada za kuasisi muungano na kuimarisha uwepo wake katika eneo la Asia magharibi hususan katika Ghuba ya Uajemi kwa kisingizio cha eti kuwepo vitisho kutoka kwa Iran.

  • Guterres ataka uchunguzi huru wa kushambuliwa meli za mafuta Bahari ya Oman

    Guterres ataka uchunguzi huru wa kushambuliwa meli za mafuta Bahari ya Oman

    Jun 15, 2019 03:45

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa mwito wa kufanyika uchunguzi huru wa tukio la kushabuliwa meli za mafuta katika Bahari ya Oman.

  • Gazeti la Al-Quds Al-Arabi: Saudia na Israel zinachochea migogoro katika eneo

    Gazeti la Al-Quds Al-Arabi: Saudia na Israel zinachochea migogoro katika eneo

    Jun 15, 2019 00:11

    Gazeti la Al-Quds Al-Arabi linalochapishwa London, Uingereza limeandika kuwa, baadhi ya pande katika eneo la Asia Magharibi hususan Saudi Arabia na utawala haramu wa Israel, zinahusika kushadidisha migogoro katika eneo.

  • Taasisi ya kigaidi ya CENTCOM yakiri kuwa Marekani haina uwezo wa kukabiliana kijeshi na Iran

    Taasisi ya kigaidi ya CENTCOM yakiri kuwa Marekani haina uwezo wa kukabiliana kijeshi na Iran

    Jun 14, 2019 07:44

    Msemaji wa komandi ya kigaidi ya askari wa Marekani katika eneo la Asia Magharibi (CENTCOM) sambamba na kuashiria kwamba Washington haina nia yoyote ya kuanzisha vita katika eneo, amekiri kwamba kukabiliana kijeshi na Iran sio kwa maslahi ya Marekani.

  • Uropokaji mpya wa Trump dhidi ya Iran

    Uropokaji mpya wa Trump dhidi ya Iran

    Jun 13, 2019 06:50

    Rais Donald Trump wa Marekani daima amekuwa akichukua misimamo ya chuki na uhasama dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na karibuni amekuwa akitumia stratijia ya 'mashinikizo ya juu zaidi' kuilazimisha Iran ikubali matakwa yake ya kidhalimu.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS