-
Ijumaa, tarehe 4 Mei, 2018
May 03, 2018 21:44Leo ni Ijumaa tarehe 17 Shaabani 1439 Hijria sawa na Mei 4, 2018.
-
Gazeti la al-Watan la Oman: Jinamizi la Iran limemfanya Netanyahu aweweseke ovyo
May 03, 2018 10:19Gazeti la al-Watan la nchini Oman limeandika kuwa, jinamizi la Iran linamwandama Benjamin Netanyahu, Waziri Mkuu wa Utawala wa Kizayuni wa Israel akiwa macho na usingizini na kumfanya aweweseke na kuropokwa ovyo.
-
Najafi: Matumizi ya nishati ya nyuklia kwa malengo ya kiraia ni haki ya nchi zote
May 03, 2018 02:20Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Nyuklia (IAEA) amesisitiza kuwa nchi ambazo zinamiliki mabomu ya nyuklia hazina haki ya kuzuia nchi nyingine zistafidi na teknolojia ya nyuklia kwa malengo ya amani kwa kisingizio cha kuzuia kuenezwa silaha hizo.
-
China: Pande zote zinapaswa kuheshimu mapatano ya JCPOA
May 02, 2018 21:17China imesisitizia umuhimu wa pande zote husika kuendelea kufungamana na mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kwa kifupi kama JCPOA.
-
Boroujerdi: Kama vikwazo dhidi ya Iran vitarejeshwa hakutakuwa na haja ya kuendelea na JCPOA
May 02, 2018 21:17Mkuu wa Kamati ya Usalama wa Taifa na Siasa za Kigeni ya Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, kama vikwazo vitarejeshwa, hakutakuwa na kitu chochote cha kuweza kuwakinaisha wananchi, Serikali na Bunge la Iran na kuwafanya wakubali kuendelea kuwemo katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA.
-
Iran: Madai ya Morocco kuwa tunaiunga mkono Polisario hayana msingi
May 02, 2018 10:54Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekadhibisha vikali madai yaliyotolewa na serikali ya Morocco kwamba Tehran inawapatia misaada wapiganaji wa harakati ya Polisario inayopigania kujitenga eneo la Sahara Magharibi.
-
POLISARIO yakadhibisha: Madai ya Morocco kwamba tunasaidiwa na Iran ni uongo mtupu
May 02, 2018 03:33Harakati ya Ukombozi wa Sahara Magharibi POLISARIO imekanusha madai yaliyotolewa na serikali ya Morocco kwamba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inawapatia misaada wapiganaji wa harakati hiyo.
-
Waziri Mkuu wa zamani wa Israel: Madai ya Netanyahu kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran hayana thamani yoyote
May 02, 2018 03:21Waziri Mkuu wa zamani wa Israel Ehud Barak amesema: matamshi ya Benjamin Netanyahu dhidi ya mpango wa nyuklia wa Iran hayana thamani yoyote.
-
Iran yaitaka Israel na waungaji mkono wake waache chokochoko zao la sivyo watajuta
May 01, 2018 23:17Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameuonya utawala haramu wa Israel na waungaji mkono wake na kuwataka waache njama na miamala yao hatari kwani jibu la Iran litakuwa la kushtukiza na la kuwafanya wajute.
-
IAEA: Hakuna ithibati yenye itibari kuhusu madai kwamba Iran inaunda silaha za nyuklia
May 01, 2018 09:48Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) umesema tokea mwaka 2009 hakuna kielelezo wala ithibati yenye itibari inayoonyesha kuwa miradi ya nyuklia ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ina malengo ya kijeshi.