-
Kuendelea madai ya kichekesho ya Netanyahu kuhusu Iran
May 01, 2018 02:48Waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel Jumatatu usiku, katika maonyesho yake mapya ya kipropaganda dhidi ya Iran, ameonyesha picha, CD na karatasi na kudai ni nyaraka zisizopingika kuhusu kile alichodai kuwa eti ni mpango wa siri wa Iran wa kuunda bomu la atomiki.
-
Afisa wa UN: Iran ni moja ya nchi muhimu kwa Umoja wa Mataifa
Apr 30, 2018 09:58Mkuu wa Kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa mjini Tehran amesema kuwa Iran ni moja ya nchi muhimu kwa Umoja wa Mataifa kwa kuzingatia kuwa hadi sasa Makatibu Wakuu saba wa umoja huo wamekwishaitembelea Iran.
-
Ulimwengu wa Spoti, Apr 30
Apr 30, 2018 01:03Ufuatao ni mkusanyiko wa matukio muhimu ya spoti yaliyojiri duniani ndani ya siku saba zilizopita......
-
Haaretz: Iran; ajenda kuu ya mazungumzo ya Waziri mpya wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani na Netanyahu
Apr 29, 2018 03:19Gazeti la Kizayuni la Haaretz limeripoti kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni ajenda kuu itakayojadiliwa katika mazungumzo kati ya Mike Pompeo Waziri mpya wa Mashauri ya Kigeni wa Marekani na Benjamin Netanyahu Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni.
-
Zarif: Mchakato wa Astana ndio njia pekee ya kupatikana amani endelevu Syria
Apr 28, 2018 23:24Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Mohammad Javad Zarif amesema Mchakato wa Amani wa Astana hivi sasa ni harakati pekee ambayo kwa ushirikiano na Umoja wa Mataifa na wengine inaweza kupelekea kupatikana amani adilifu na endelevu nchini Syria.
-
Iran, Russia, Uturuki zatoa tamko la pamoja kuhusu Syria
Apr 28, 2018 11:46Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Russia na Uturuki wametoa tamko la pamoja mwishoni mwa kikao chao cha mjini Moscow, Russia na kutilia mkazo wajibu wa kulindwa ardhi nzima ya Syria na haki ya kujitawala na kujiamulia lenyewe mambo yake taifa hilo la Kiarabu.
-
Iran yazipongeza Korea 2, yaonya juu ya uchochezi wa US
Apr 28, 2018 03:16Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imepongeza jitihada za viongozi wa Korea Kusini na Korea Kaskazini za kutaka kupunguza taharuki katika Peninsula ya Korea sanjari na kuufanya wa kawaida uhusiano wao uliokuwa umevunjika kwa miongo kadhaa.
-
Iran yaulaani vikali utawala wa kijangili wa Israel baada ya vitisho vipya
Apr 27, 2018 08:59Balozi wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema utawala wa Kizayuni wa Israel umethibitisha utambulisho wake wa kijangili kutokana na sera zake za "kujitanua, uvamizi na ubaguzi" ambazo ni chanzo cha migogoro yote Mashariki ya Kati.
-
Iran: UN ikome kuupendelea utawala haramu wa Israel
Apr 26, 2018 23:15Mwakilishi wa kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa utawala ghasibu wa Israel ndio unaovuruga amani na usalama wa Mashariki ya Kati na amelitaka Baraza la Usalama la umoja huo kukoma kuupendelea utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Iran: Kama Marekani itajitoa katika JCPOA, Tehran itajitoa katika NPT
Apr 26, 2018 09:41Katibu wa Halmashauri ya Kuanisha Maslahi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, iwapo Marekani itajitoa katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA, basi Tehran itajitoa katika Mkataba wa Kuzuia Uzalishaji na Uenezaji wa Silaha za Atomiki, NPT.