Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ataka mapatano ya nyuklia ya Iran yalindwe

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ataka mapatano ya nyuklia ya Iran yalindwe

    Apr 26, 2018 03:24

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji (JCPOA) yanapaswa kulindwa.

  • Mji wa Tabriz Iran, mji mkuu wa Utalii Ulimwengu wa Kiislamu mwaka 2018

    Mji wa Tabriz Iran, mji mkuu wa Utalii Ulimwengu wa Kiislamu mwaka 2018

    Apr 26, 2018 03:15

    Mji wa Tabriz ulio kaskazini mashariki mwa Iran umezinduliwa kama mji mkuu wa utalii katika nchi za Kiislamu duniani katika mwaka wa 2018.

  • Mahojiano na Mshiriki wa Burundi katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran

    Mahojiano na Mshiriki wa Burundi katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran

    Apr 25, 2018 14:23

    Mahojiano na Mshiriki wa Burundi katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran

  • Trump aipigia magoti Iran, aiomba isianzishe tena mradi wake wa nyuklia

    Trump aipigia magoti Iran, aiomba isianzishe tena mradi wake wa nyuklia

    Apr 25, 2018 03:19

    Rais Donald Trump wa Marekani ameiomba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran isianzishe upya mradi wake wa nyuklia, muda mfupi baada ya Rais Hassan Rouhani wa Iran kuionya Washington dhidi ya kukiuka makubaliano ya nyuklia ya Vienna ya mwaka 2015.

  • Zarif: Iran itafuata nyayo iwapo US itajiondoa kwenye makubaliano ya nyuklia

    Zarif: Iran itafuata nyayo iwapo US itajiondoa kwenye makubaliano ya nyuklia

    Apr 25, 2018 03:04

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema kuna uwezekano mkubwa Iran itajiondoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, iwapo Marekani itaamua kujivua kwenye mapatano hayo ya kimataifa ya mwaka 2015.

  • Shamkhani: Marekani na Ulaya zikivuka mstari mwekundu wa Iran zitagonga mwamba

    Shamkhani: Marekani na Ulaya zikivuka mstari mwekundu wa Iran zitagonga mwamba

    Apr 24, 2018 22:02

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa nchini Iran amesema kuwa, iwapo Ulaya itafanya makosa ya kistratijia na kusalimu amri mbele ya Marekani na kuvuka mistari mnyekundu ya Iran kwa shabaha ya kutaka kumridhisha Donald Trump, hapana shaka kuwa itakula mweleka na kushindwa.

  • Jumatano tarehe 25 Aprili 2018

    Jumatano tarehe 25 Aprili 2018

    Apr 24, 2018 21:59

    Leo ni Jumatano tarehe 8 Shaaban 1439 Hijria sawa na tarehe 25 Aprili 2018.

  • Ulimwengu wa Michezo, Apr 23

    Ulimwengu wa Michezo, Apr 23

    Apr 24, 2018 08:25

    Ufuatao ni mkusanyiko wa matukio muhimu ya spoti yaliyojiri duniani ndani ya siku saba zilizopita......

  • Matakwa ya taasisi za kimataifa kwa Marekani kuhusu mapatano ya nyuklia ya Iran

    Matakwa ya taasisi za kimataifa kwa Marekani kuhusu mapatano ya nyuklia ya Iran

    Apr 24, 2018 05:39

    Wakati wa rais wa Marekani Donald Trump wa kuchukua maamuzi kuhusu mapatano ya nyuklia ya Iran unazidi kukaribia katika hali ambayo jamii ya kimatiafa imeongeza jitihada za kumlazimisha aheshimu vipengee vya mapatano hayo ambayo Marekani ilishiriki kikamilifu kuyafanikisha.

  • Jeshi la Iran lasema haliwezi kupigishwa magoti na maadui

    Jeshi la Iran lasema haliwezi kupigishwa magoti na maadui

    Apr 23, 2018 03:31

    Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katu Iran haiwezi kupigishwa magoti na kukubali matakwa ya maadui wa taifa hili wakiongozwa na Marekani na waitifaki wake.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS