-
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ataka mapatano ya nyuklia ya Iran yalindwe
Apr 26, 2018 03:24Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesema mapatano ya nyuklia ya Iran yanayojulikana kama Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji (JCPOA) yanapaswa kulindwa.
-
Mji wa Tabriz Iran, mji mkuu wa Utalii Ulimwengu wa Kiislamu mwaka 2018
Apr 26, 2018 03:15Mji wa Tabriz ulio kaskazini mashariki mwa Iran umezinduliwa kama mji mkuu wa utalii katika nchi za Kiislamu duniani katika mwaka wa 2018.
-
Mahojiano na Mshiriki wa Burundi katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran
Apr 25, 2018 14:23Mahojiano na Mshiriki wa Burundi katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Iran
-
Trump aipigia magoti Iran, aiomba isianzishe tena mradi wake wa nyuklia
Apr 25, 2018 03:19Rais Donald Trump wa Marekani ameiomba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran isianzishe upya mradi wake wa nyuklia, muda mfupi baada ya Rais Hassan Rouhani wa Iran kuionya Washington dhidi ya kukiuka makubaliano ya nyuklia ya Vienna ya mwaka 2015.
-
Zarif: Iran itafuata nyayo iwapo US itajiondoa kwenye makubaliano ya nyuklia
Apr 25, 2018 03:04Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amesema kuna uwezekano mkubwa Iran itajiondoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA, iwapo Marekani itaamua kujivua kwenye mapatano hayo ya kimataifa ya mwaka 2015.
-
Shamkhani: Marekani na Ulaya zikivuka mstari mwekundu wa Iran zitagonga mwamba
Apr 24, 2018 22:02Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa nchini Iran amesema kuwa, iwapo Ulaya itafanya makosa ya kistratijia na kusalimu amri mbele ya Marekani na kuvuka mistari mnyekundu ya Iran kwa shabaha ya kutaka kumridhisha Donald Trump, hapana shaka kuwa itakula mweleka na kushindwa.
-
Jumatano tarehe 25 Aprili 2018
Apr 24, 2018 21:59Leo ni Jumatano tarehe 8 Shaaban 1439 Hijria sawa na tarehe 25 Aprili 2018.
-
Ulimwengu wa Michezo, Apr 23
Apr 24, 2018 08:25Ufuatao ni mkusanyiko wa matukio muhimu ya spoti yaliyojiri duniani ndani ya siku saba zilizopita......
-
Matakwa ya taasisi za kimataifa kwa Marekani kuhusu mapatano ya nyuklia ya Iran
Apr 24, 2018 05:39Wakati wa rais wa Marekani Donald Trump wa kuchukua maamuzi kuhusu mapatano ya nyuklia ya Iran unazidi kukaribia katika hali ambayo jamii ya kimatiafa imeongeza jitihada za kumlazimisha aheshimu vipengee vya mapatano hayo ambayo Marekani ilishiriki kikamilifu kuyafanikisha.
-
Jeshi la Iran lasema haliwezi kupigishwa magoti na maadui
Apr 23, 2018 03:31Mkuu wa Vikosi vya Ulinzi vya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katu Iran haiwezi kupigishwa magoti na kukubali matakwa ya maadui wa taifa hili wakiongozwa na Marekani na waitifaki wake.