-
Ufaransa yataka kusimamishwa mpango wa makombora wa Iran
Mar 08, 2018 12:29Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa amesema anachukua hatua kadhaa kwa lengo la kuhakikisha mpango wa makombora ya balisitiki wa Iran unasimamishwa.
-
Matarajio ya nchi wanachama wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA na majukumu ya wakala huo
Mar 07, 2018 07:21Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA ni taasisi yenye kuratibu jitihada za kimataifa katika masuala ya atomiki na kutoa huduma za kitaalamu na ushauri kwa lengo la kuhimiza na kuimarisha usalama wa nyuklia katika uga wa kimataifa. Lakini swali linalojitokeza hapa ni hili, je, IAEA imeweza kutekeleza vizuri jukumu lake hili la kimsingi?
-
Mjumbe wa PLO: Iran ndio watetezi pekee wa Palestina la Lebanon mbele ya Israel
Mar 06, 2018 13:44Abbas Zaki, Mjumbe wa Kamati Kuu ya Harakati ya Ukombozi wa Palestina (PLO) amesema kuwa, Iran ndio nchi pekee inaowatetea raia wa Palestina na Lebanon mbele ya sera za kupenda kujitanua na mabavu ya utawala haramu wa Israel.
-
Iran: Hakuna yeyote anayeruhusiwa kujadiliana na maajinabi kuhusu uwezo wetu wa makombora
Mar 06, 2018 04:24Naibu Mkuu wa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema hakuna mtu yeyote aliye na haki au mamlaka ya kujadili au kufanya mazungumzo na madola ajinabi kuhusu uwezo wa makombora wa taifa hili.
-
Rouhani: Pande zote zitajuta iwapo makubaliano ya nyuklia ya Iran yatavunjika
Mar 05, 2018 23:26Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema pande zote husika zitajuta iwapo makubaliano ya nyuklia ya JCPOA yatasambaratika, katika hali ambayo Marekani inafanya jitihada za kuyafelisha mapatano hayo na kutoa vitisho vya kujiondoa kwenye makubaliano hayo kila mara.
-
Mkurugenzi Mkuu wa IAEA asisitiza tena kuwa Iran imetekeleza kikamilifu makubaliano ya JCPOA
Mar 05, 2018 12:59Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) amesisitiza kwa mara nyingine tena kuwa Iran imetekeleza kikamilifu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA na kuongeza kuwa wakala huo umeweza kufanya ukaguzi kwenye maeneo na vituo vyote ilivyohitajia ndani ya Iran.
-
Marais Donald Trump na Abdel Fattah el-Sisi waijadili Iran
Mar 05, 2018 04:26Ikulu ya Marekani imetangaza kwamba Rais Donald Trump wa nchi hiyo asubuhi ya leo amefanya mazungumzo ya simu na Rais Abdel Fattah el-Sisi wa Misri kuihusu Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Safari ya Jean-Yves Le Drian mjini Tehran: Mazungumzo ya wazi na kinagaubaga
Mar 05, 2018 03:54Leo Iran ni mwenyeji wa Jean-Yves Le Drian Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa ambaye amewasili mapema leo alfajiri katika mji mkuu, Tehran kwa lengo la kufanya mazungumzo na wakuu wa Iran.
-
Ulimwengu wa Spoti, Machi 5
Mar 05, 2018 03:52Hujambo mpenzi mwanaspoti wa na karibu tuangazie mawili matatu yaliyojiri kwenye uga wa michezo ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa na kimataifa.....
-
Rouhani: Marekani imekuwa ikivuruga utekelezwaji mapatano ya nyuklia
Mar 05, 2018 02:25Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: "Iran inafungamana na ahadi zake katika mapatano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji, JCPOA,' lakini la kusikitisha ni kuwa Marekani daima imekuwa ikiweka vizingiti katika utekelezwaji wa mapatano haya ya kimataifa."