-
Ulimwengu wa Spoti, Dec
Dec 11, 2017 04:33Huu ni mkusanyiko wa matukio kadhaa ya spoti yaliyogonga vichwa vya habari ndani ya siku saba zilizopita, kutoka Iran, Afrika Mashariki na kwengineko......
-
Si muhali Iran kuwa na uhusiano mzuri na Saudia ikiacha mauaji Yemen, kukata uhusiano na Israel
Dec 10, 2017 04:29Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema taifa hili litaacha kuwa na msuguano na Saudi Arabia iwapo Riyadh itaacha kuwashambuliwa kwa mabomu wananchi wasio na hatia wa Yemen sambamba na kukata uhusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Iran na Mauritania kuimarisha uhusiano wa pande mbili
Dec 10, 2017 03:31Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Mauritania zimeeleza juu ya hamu na utayarifu wao wa kuimarisha uhusiano wa pande mbili katika nyuga mbalimbali.
-
Ziara ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza mjini Tehran, fursa ya utatuzi au chanzo cha mjadala mpya?
Dec 10, 2017 03:08Boris Johnson, Waziri wa Mambo ya Nje wa Uingereza, aliwasili hapa mjini Tehran jana Jumamosi na kwa mujibu wa taarifa za vyombo rasmi, lengo la safari yake ni kunyanyua kiwango cha uhusiano baina ya nchi yake na Iran.
-
Jumapili, Disemba 10, 2017
Dec 09, 2017 23:21Leo ni Jumapili tarehe 21 Mfunguo Sita Rabiul Awwal mwaka 1439 Hijria, mwafaka na tarehe 10 Disemba 2017 Miladia.
-
Wairani waandamana kulaani uamuzi wa Rais Trump kuhusu Baitul Muqaddas
Dec 08, 2017 11:29Maelfu ya wananchi wa Iran wameandamana leo baada ya Swala ya Ijumaa katika miji mbalimbali hapa nchini wakilalamikia na kulaani uamuzi wa Rais Donald Trump wa Marekani wa kuutambua mji wa Baitul Muqaddas wa Palestina kama mji mkuu wa utawala vamizi wa Israel.
-
Taarifa ya mwisho ya Kongamano la Kimataifa la Umoja wa Kiislamu yatilia mkazo Intifadha Mpya
Dec 08, 2017 00:00Kongamano la Kimataifa la 31 la Umoja wa Kiislamu limetoa taarifa na kulaani matamshi ya juzi ya Rais wa Marekani kuhusu Quds na kusisitiza kuwa kuna haja kwa Ulimwengu wa Kiislamu kuanzisha Intifadha Mpya ya Palestina ili kukabiliana na mashambulizi dhidi ya Quds.
-
Iran yatoa jibu kwa uamuzi wa Marekani wa kuhamishia ubalozi wake Baitul Muqaddas
Dec 07, 2017 00:36Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imetoa taarifa maalumu, ambayo mbali na kulaani kutangazwa Baitul Muqaddas kuwa mji mkuu wa utawala ghasibu wa Israel imesisitiza pia kwamba tangazo hilo lilotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani ni ukiukaji wa wazi wa maazimio ya kimataifa.
-
Spika wa Bunge la Algeria: Umoja baina ya Waislamu ni neema ya Mwenyezi Mungu
Dec 06, 2017 01:23Spika wa Bunge la Algeria amesema kuwa ushirikiano unaondoa hitilafu na mifarakano na matunda yake makubwa ni utajiri mkubwa ambao tunalazimika kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa ajili yake.
-
Saudi Arabia; Kitovu cha njama za Marekani dhidi ya Iran
Dec 04, 2017 23:13Matamshi ya kichokozi ya wakuu wa Saudi Arabia dhidi ya Iran yanaendelea kukosolewa na kuchunguzwa katika duru za kisiasa na kuna tetesi kadhaa kuhusu sera hizo za watawala wa Riyadh.