Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Seneti ya Marekani yaakhirisha kura kuhusu vikwazo vipya dhidi ya Iran

    Seneti ya Marekani yaakhirisha kura kuhusu vikwazo vipya dhidi ya Iran

    Jun 09, 2017 03:32

    Seneti ya Marekani imeakhirisha kuupigia kura mpango wa vikwazo vipya vya upande mmoja dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hadi Jumatatu tarehe 12 mwezi huu.

  • VIDEO: Magaidi wakiingia katika ofisi za huduma kwa raia za Bunge la Iran mjini Tehran

    VIDEO: Magaidi wakiingia katika ofisi za huduma kwa raia za Bunge la Iran mjini Tehran

    Jun 08, 2017 14:11

    Video ya awali kabisa inayoonesha magaidi wakiingia katika jengo la kutoa huduma kwa wananchi wa kawaida la Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu, yaani Bunge la Iran.

  • VIDEO: Jeshi la SEPAH la Iran likiokoa wafanyakazi waliovamiwa na magaidi katika ofisi za Bunge, Tehran

    VIDEO: Jeshi la SEPAH la Iran likiokoa wafanyakazi waliovamiwa na magaidi katika ofisi za Bunge, Tehran

    Jun 08, 2017 14:06

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran wakiwaokoa wafanyakazi wa ofisi za Bunge mjini Tehran baada ya magaidi kujiingiza kwenye jengo hilo kwa mavazi ya kike.

  • Iran yatenga bandari tatu kuipelekea chakula Qatar

    Iran yatenga bandari tatu kuipelekea chakula Qatar

    Jun 08, 2017 13:25

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Qatar Muhammed bin Abdul Rahman Aal Thani amesema kuwa, Tehran imetenga bandari zake tatu kwa ajili ya kupeleka chakula nchini Qatar.

  • Mawahabi ndio waliofanya mashambulio ya kigaidi mjini Tehran, Iran

    Mawahabi ndio waliofanya mashambulio ya kigaidi mjini Tehran, Iran

    Jun 08, 2017 11:06

    Wizara ya Usalama wa Taifa ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema kuwa, magaidi waliofanya mashambulizi jana Jumatano hapa Tehran wametambuliwa. Imesema, magaidi hao walikuwa na uhusiano wa moja kwa moja na magenge ya Kiwahabi nje ya Iran.

  • Rouhani: Iran itajibu mapigo ya maadui kupitia umoja na mshikamano

    Rouhani: Iran itajibu mapigo ya maadui kupitia umoja na mshikamano

    Jun 08, 2017 02:23

    Rais Hassan Rouhani wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu itasambaratisha njama za maadui kupitia umoja na mshikamano wa wananchi wa taifa hili.

  • Trump awalaumu na kuwakejeli mashahidi wa mashambulio ya Tehran

    Trump awalaumu na kuwakejeli mashahidi wa mashambulio ya Tehran

    Jun 08, 2017 02:16

    Katika hali ambayo dunia nzima inaendelea kutoa mkono wa pole na kutuma salamu za rambirambi kufuatia mashambulio pacha ya kigaidi yaliyotokea jana hapa mjini Tehran, Rais Donald Trump wa Marekani ametoa ujumbe unaoonekana kuwalaumu na kuwakejeli mashahidi waliouawa katika hujuma hizo.

  • Wizara ya Mambo ya Ndani: Mashambulio ya kigaidi Tehran yamehatimishwa, watu 12 wameuawa

    Wizara ya Mambo ya Ndani: Mashambulio ya kigaidi Tehran yamehatimishwa, watu 12 wameuawa

    Jun 07, 2017 11:13

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Jamhuri ya Kiislamu ya iran imetangaza kuwa, mashambulio mawili ya kigaidi yaliyotokea leo mjini Tehran yamehatimishwa na kwamba, kila kitu kiko chini ya udhibiti wa vikosi vya usalama.

  • UN na EU zalaani mashambulio ya kigaidi ya Tehran, Baraza la Usalama la UN latoa heshima kwa waliouawa

    UN na EU zalaani mashambulio ya kigaidi ya Tehran, Baraza la Usalama la UN latoa heshima kwa waliouawa

    Jun 07, 2017 11:09

    Mratibu wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa hapa nchini na Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya wamelaani mashambulio ya kigaidi yaliyotokea leo hapa mjini Tehran.

  • Magaidi washambulia Bunge la Iran na Haram ya Imam Khomeini

    Magaidi washambulia Bunge la Iran na Haram ya Imam Khomeini

    Jun 07, 2017 03:18

    Watu wawili akiwemo afisa wa usalama wameripotiwa kuuawa huku watu wengine wanane wakijeruhiwa baada ya watu waliojizatiti kwa silaha kushambulia majengo ya Bunge la Iran na Haram ya Imam Khomeini MA, katika mji mkuu Tehran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS