Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Kerry: Makubaliano ya JCPOA hayahitaji baraka za Marekani

    Kerry: Makubaliano ya JCPOA hayahitaji baraka za Marekani

    Jun 06, 2017 23:18

    Waziri wa Mambo ya Nje wa zamani wa Marekani amesema makubaliano ya nyuklia ya Iran yanaweza kuendelea kusimama imara na kutekelezwa pasina na ushiriki wa Washington.

  • Iran yaendelea kufanya mashauriano kuhusu matukio yaliyojiri katika eneo

    Iran yaendelea kufanya mashauriano kuhusu matukio yaliyojiri katika eneo

    Jun 05, 2017 23:43

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Muhammad Javad Zarif, amefanya mazungumzo kwa njia ya simu na mawaziri wa mambo ya nje wa Kuwait, Qatar, Lebanon, Algeria na Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya kuhusiana na matukio yanayoendelea kujiri katika eneo.

  • Iran: Kuzorota hali ya mambo katika nchi za Kiarabu ni natija ya safari ya Trump Saudia

    Iran: Kuzorota hali ya mambo katika nchi za Kiarabu ni natija ya safari ya Trump Saudia

    Jun 05, 2017 09:48

    Mkuu wa Kamati ya Siasa za Nje na Usalama wa Taifa katika Bunge la Jamhuri ya Kiislamu amesema kuwa, kuzorota hali ya mambo katika mataifa ya Kiarabu eneo la Ghuba ya Uajemi, kunatokana na uingiliaji wa Marekani na safari ya rais wa nchi hiyo huko Saudia.

  • Kiongozi Muadhamu: Maadui wanafanya njama ya kupotosha Mapinduzi ya Kiislamu

    Kiongozi Muadhamu: Maadui wanafanya njama ya kupotosha Mapinduzi ya Kiislamu

    Jun 04, 2017 11:23

    Kumbukumbu ya mwaka wa 28 tangu alipoaga dunia mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Imam Khomeini (MA) imefanyika leo kwenye haram ya kiongozi huyo kwa kuhutubiwa na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ambapo maelfu ya watu kutoka maeneo tofauti ya Iran na wageni wa mataifa ya kigeni walihudhuria kumbukumbu hizo.

  • Iran: Kujiondoa US kwenye Mkataba wa Mabadiliko ya Tabianchi, hakutauathiri

    Iran: Kujiondoa US kwenye Mkataba wa Mabadiliko ya Tabianchi, hakutauathiri

    Jun 04, 2017 02:45

    Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuiondoa nchi yake katika makubaliano ya mabadiliko ya tabianchi yaliyofikiwa mjini Paris, Ufaransa mwaka 2015 haitakuwa na taathira yoyote kwenye mkataba huo.

  • Maiti za raia waliouawa wakitoroka Daesh zatapakaa kwenye barabara za Mosul, Iraq

    Maiti za raia waliouawa wakitoroka Daesh zatapakaa kwenye barabara za Mosul, Iraq

    Jun 04, 2017 02:41

    Shirika moja la misaada ya kibinadamu limeripoti habari ya genge la kigaidi na kitakfiri la Daesh kuua makumi ya raia katika muda wa saa 48 zilizopita wakijarabu kuukimbia mji wa Mosul nchini Iraq.

  • IAEA yasisitiza kuwa Iran imefungamana na JCPOA

    IAEA yasisitiza kuwa Iran imefungamana na JCPOA

    Jun 03, 2017 03:21

    Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA umetoa ripoti na kwa mara nyingine umethibitisha kuwa Iran imeheshimu kikamilifu makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Kenya na Iran kuimarisha mahusiano ya pande zote

    Kenya na Iran kuimarisha mahusiano ya pande zote

    Jun 01, 2017 23:53

    Balozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Kenya, Hadi Farajvand amesema kuwa, mahusiano ya Kenya na Iran hususan katika uga wa uchumi, yamestawi sana katika miaka ya hivi karibuni.

  • Putin akariri umuhimu wa Iran katika kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Syria

    Putin akariri umuhimu wa Iran katika kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Syria

    May 31, 2017 22:49

    Kwa mara nyingine tena Rais Vladimir Putin wa Russia amesisitiza juu ya umuhimu na nafasi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika kuupatia ufumbuzi mgogoro wa Syria.

  • Iran yalaani hujuma ya Kabul, idadi ya waliouawa yapindukia 80

    Iran yalaani hujuma ya Kabul, idadi ya waliouawa yapindukia 80

    May 31, 2017 10:30

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imelaani vikali shambulizi la kigaidi lililoutikisa mji mkuu wa Afghanistan, Kabul na kuuwa makumi ya watu na kujeruhi wengine wengi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS