-
Iran kushiriki zaidi katika kuhuisha barabara ya hariri
May 16, 2017 23:18Waziri wa Uchumi wa Iran Ali Tayyebnia amesema Iran itajihusisha zaidi katika kuhuisha Barabara ya Hariri.
-
Waziri wa Ulinzi Iran: Kushiriki kwa wingi Iran katika uchaguzi
May 16, 2017 09:08Waziri wa Ulinzi wa Iran amesema kujitokeza kwa wingi katika uchaguzi wa Ijumaa ndio kinga kubwa zaidi ya kuyazuia madola ya kibeberu yanayotoa vitisho dhidi ya Iran.
-
Madai yasiyo na msingi kwamba Iran inapeleka silaha nchini Yemen
May 16, 2017 03:14Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Bahram Qassemi ameashiria mashambulio ya Saudi Arabia dhidi ya Yemen yaliyoanza Machi mwaka 2015 na kuendelea hadi sasa na kueleza kwamba Wayemeni wana silaha nyingi sana ambapo bila ya kuzingaia ukweli huo, Saudia ilidhani itaweza kuhatimisha vita hivyo kwa manufaa yake ndani ya kipindi kifupi mno.
-
Qassemi: Kikao cha Marekani na Waarabu mjini Riyadh ni njama za Kizayuni
May 15, 2017 23:42Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria safari ijayo ya Rais Donald Trump wa Marekani nchini Saudia kwa ajili ya kushiriki katika mkutano wa nchi za Kiarabu na Marekani mjini Riyadh na kusema kuwa, kufanyika kikao hicho ni katika njama za Wazayuni.
-
US: Lengo la safari ya Trump Mashariki ya Kati ni dhidi ya Iran
May 15, 2017 03:05Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amesema lengo kuu la safari ya wiki ijayo ya Rais Donald Trump wa nchi hiyo katika eneo la Mashariki ya Kati ni kwa ajili ya kuunda 'umoja' dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Qalibaf ajiondoa katika uchaguzi wa rais Iran, amuunga mkono Raisi
May 15, 2017 09:15Meya wa Tehran Mohammad Baqer Qalibaf amejiondoa katika mchuano wa kuwania urais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Ulimwengu wa Spoti, Mei 15
May 15, 2017 03:24Huu ni mkusayiko wa baadhi ya matukio muhimu ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita.....
-
Waziri wa Lebanon: Iran ni mfano wa kuigwa wa demokrasia duniani
May 14, 2017 22:01Waziri wa Fedha wa Lebanon Ali Hassan Khalili amesema uchaguzi nchini Iran ni miongoni mwa mifano bora ya kuigwa ya chaguzi za kidemokrasia zinazofanyika kwa uwazi zaidi duniani.
-
Jumatatu, Mei 15, 2017
May 14, 2017 21:54Leo ni Jumatatu, tarehe 15 Mei Mwaka 2017 Miladia, sawa na tarehe 18, Shaaban, Mwaka 1438 Hijria.
-
Larijani: Kushiriki kwa wingi wananchi katika uchaguzi ni ngao ya ulinzi kwa Iran
May 14, 2017 11:56Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, kujitokeza kwa wingi wananchi katika uchaguzi wa Ijumaa ijayo ya tarehe 19 Mei 2017 kutaipa kinga madhubuti Iran mbele ya vitisho vya maadui.