-
Larijani: Kushiriki kwa wingi wananchi katika uchaguzi ni ngao ya ulinzi kwa Iran
May 14, 2017 08:21Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema kuwa, kujitokeza kwa wingi wananchi katika uchaguzi wa Ijumaa ijayo ya tarehe 19 Mei 2017 kutaipa kinga madhubuti Iran mbele ya vitisho vya maadui.
-
Iran kufungua kampuni ya kutengeneza trekta nchini Zimbabwe
May 14, 2017 02:48Balozi wa Iran mjini Harare amesema Jamhuri ya Kiislamu iko tayari kuanzisha kampuni ya kutengeneza tingatinga nchini Zimbabwe.
-
Iran yakamata magaidi na kunasa mada za milipuko
May 13, 2017 09:27Vikosi vya usalama Iran vimefanikiwa kusambaratisha kijikundi cha kigaidi ambacho kilikuwa kinapanga kutekeleza hujuma ndani ya nchi.
-
Wagombea urais Iran wafanya mdahalo wa tatu na wa mwisho
May 12, 2017 22:54Wagombea sita wa uchaguzi wa 12 wa Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, jana jioni walifanya mdahalo wa tatu na wa mwisho ambao ulihusiana na suala la uchumi.
-
Ayatullah Kadhim Siddiqi: Uchaguzi ni alama ya uwezo na izza ya taifa la Iran
May 12, 2017 11:45Imamu wa muda wa Sala ya Ijumaa iliyoswaliwa leo mjini Tehran, amesema kuwa ushiriki wa wananchi wa Iran katika nyanja mbalimbali za kisiasa na katika uchaguzi ni dhihirisho la uwezo, izza na imani ya wananchi hao kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu.
-
Mdahalo wa tatu wa wagombea urais Iran kufanyika Ijumaa Alasiri
May 12, 2017 01:14Mdahalo wa tatu na wa mwisho wa wagombea sita wa kiti cha urais wa awamu ya 12 katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran utafanyika leo saa kumi na nusu kwa majira ya Tehran .
-
Hotuba ya Kiongozi Muadhamu katika mahafali ya Chuo Kikuu cha Kijeshi cha Imam Hussein AS
May 11, 2017 07:35Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu sambamba na kusisitiza juu ya umuhimu wa uchaguzi ujao hapa nchini amebainisha nukta na mambo yanayoipatia nguvu Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Iran yajadidisha uungaji mkono wake kwa Palestina katika ujumbe kwa Haniya
May 10, 2017 03:14Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemtumia salamu za pongezi Ismail Haniya kwa kuteuliwa kuwa Mkuu mpya wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina Hamas.
-
EU yayataja makubaliano ya nyuklia ya Iran kama 'hatua kubwa'
May 10, 2017 03:08Mkuu wa Sera za Nje wa Umoja wa Ulaya ametoa wito wa kuungwa mkono na kutekelezwa ipasavyo makubaliano ya nyuklia ya Vienna sambamba na kukabiliana na hatua yoyote ya kukwamisha utekelezaji wake.
-
Iran na Cameroon kuimarisha uhusiano wa pande mbili
May 10, 2017 03:05Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Cameroon zimesisitizia umuhimu wa kuimarishwa uhusiano wa nchi mbili hizi katika nyuga tofauti hususan ya kiuchumi.