-
Zaidi ya Wairani milioni 56 wametimiza masharti ya kupiga kura
May 09, 2017 23:17Kamati ya Uchaguzi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema Wairani zaidi ya milioni 56 wametimiza masharti yote ya kupiga kura na hivyo wanatazamiwa kushiriki katika uchaguzi ujao wa urais.
-
Ivory Coast yaiomba Iran iisaidie kuimarisha sekta ya uchukuzi
May 09, 2017 09:52Waziri wa Uchukuzi wa Ivory Coast, Amadou Kone ameiomba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iisaidie nchi hiyo ya Kiafrika kuboresha mfumo wake wa uchukuzi wa umma.
-
Waafghani: Iran ndio inafanya juhudi kubwa kurejesha amani nchini kwetu
May 08, 2017 23:49Licha ya Marekani na washirika wake katika eneo kueneza propaganda chafu dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wachambuzi wa masuala ya kisiasa nchini Afghanistan, wamekaribisha na kupongeza juhudi za taifa hili kwa ajili ya kudumisha usalama na amani nchini mwao na nafasi ya Tehran katika uwanja huo.
-
Ulimwengu wa Spoti, Mei 8
May 08, 2017 05:48Huu ni mkusayiko wa baadhi ya matukio muhimu ya michezo yaliyojiri ndani ya siku saba zilizopita.....
-
Iran yaionya Saudia dhidi ya kuchukua hatua yoyote ya kishenzi dhidi ya Tehran
May 08, 2017 02:26Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameuonya vikali utawala wa kifalme wa Aal-Saud dhidi ya kufanya maamuzi yoyote ya kipuuzi dhidi ya taifa hili na kusisitiza kwamba Jeshi la Iran halitachelewa kutoa jibu kali kwa kuusambaratisha utawala wote wa Riyadh.
-
Kiongozi Muadhamu: Ushiriki wa wananchi katika uchaguzi utadhihirisha adhama ya Iran mbele ya maadui
May 07, 2017 07:59Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, mahudhurio ya wananchi katika medani mbalimbali hususan katika uchaguzi kutakuwa ni kinga na mlinzi wa maslahi ya taifa la Iran na kuwa kutadhihirisha adhama ya Mfumo wa Kiislamu mbele ya macho ya maadui.
-
Waziri wa Ulinzi wa Iran: Kuna udharura wa kufuatilia kwa karibu nyendo na harakati za adui
May 06, 2017 22:05Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kuna udharura wa kuchunguza na kufuatilia kwa karibu nyendo na harakati zote za adui.
-
Saudi yaipongeza Marekani kwa kuendeleza sera za uhasama dhidi ya Iran
May 06, 2017 09:19Adel al Jubeir, Waziri wa Mambo ya Nje wa Saudi Arabia, katika safari yake ya hivi karibuni nchini Marekani, alizungumza na waandishi habari na kusema, safari ijayo ya rais Trump wa Marekani nchini Saudia itakuwa ya kihistoria huku akimpongeza rais huyo na serikali yake kwa misimamo yao mikali na ya uhasama dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Abdolreza Rahmani Fazli: Pakistan imeahidi kudumisha usalama katika mipaka yake na Iran
May 06, 2017 09:02Waziri wa Mambo ya Ndani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Pakistan imeahidi kudumisha amani na usalama katika mipaka yake na Iran kwa shabaha ya kuzuia harakati za makundi ya kigaidi katika maeneo hayo.
-
EU: Kufuta mapatano ya nyuklia ya Iran si kwa maslahi ya yeyote
May 06, 2017 03:08Mkuu wa sera za kigeni katika Umoja wa Ulaya, Federica Mogherini, amesema kufuta mapatano ya nyuklia ya Iran ya mwaka 2015 si kwa maslahi ya yeyote, nukta ambayo amesema Marekani sasa imeidiriki.