Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iran

  • Maonyesho ya Kimataifa ya Mafuta na Gesi yaanza Tehran

    Maonyesho ya Kimataifa ya Mafuta na Gesi yaanza Tehran

    May 06, 2017 03:05

    Maonyesho ya 22 ya Kimataifa ya Mafuta, Gesi, Petrokemikali na Vituo vya Kusafisha Mafuta ya Iran yameanza leo Tehran huku kukiwa na washiriki 4,000 wa kitaifa na kimataifa.

  • Barua ya Iran kwa Umoja wa Mataifa; Saudi Arabia nembo ya ugaidi katika eneo

    Barua ya Iran kwa Umoja wa Mataifa; Saudi Arabia nembo ya ugaidi katika eneo

    May 05, 2017 09:52

    Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa matamshi ya hivi karibuni ya Muhammad bin Salman, Naibu Mrithi wa Kiti cha Ufalme na Waziri wa Ulinzi wa Saudi Arabia dhidi ya Iran ni kinyume cha kipengee cha nne cha mada ya pili ya hati ya umoja huo na kwamba ni kukiri wazi nchi hiyo ya kifalme kuhusiana na uungaji mkono wake kwa vitendo vya mabavu na ugaidi.

  • Ayatullah Kashani atoa wito wa mshikamano na umoja wa kitaifa wakati wa uchaguzi wa Iran

    Ayatullah Kashani atoa wito wa mshikamano na umoja wa kitaifa wakati wa uchaguzi wa Iran

    May 05, 2017 09:39

    Kaimu Khatibu wa Swala ya Ijumaa katika mji wa Tehran ametoa wito wa kudumishwa mshikamano na umoja wa kitaifa wakati huu Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inapojiandaa kuelekea katika uchaguzi mkuu.

  • Masanduku ya kupigia kura ya uchaguzi wa rais wa Iran yatawekwa London na kwenye miji  mingine sita ya UK

    Masanduku ya kupigia kura ya uchaguzi wa rais wa Iran yatawekwa London na kwenye miji mingine sita ya UK

    May 05, 2017 03:25

    Ubalozi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini Uingereza umetangaza kuwa ili kuwafanyia wepesi Wairani wanaoishi nchini humo wa kupiga kura za uchaguzi wa 12 wa kumchagua rais wa Iran, mbali na London, masanduku mengine ya kupigia kura yatawekwa kwenye miji mingine sita ya nchi hiyo.

  • FIBA yaruhusu mabinti wa Kiirani kushiriki katika mashindano ya kimataifa wakiwa na vazi la Hijabu

    FIBA yaruhusu mabinti wa Kiirani kushiriki katika mashindano ya kimataifa wakiwa na vazi la Hijabu

    May 04, 2017 09:40

    Shirikisho la Mpira wa Kikapu Duniani (FIBA) limetangaza kuafiki pendekezo la Iran la kutaka wanawake wa Kiislamu na mabinti wenye Hijabu wa Kiirani kushiriki katika michezo ya kimataifa ya mpira wa kikapu (basketiboli).

  • Rais Rouhani atoa mkono wa pole kwa familia za waliofia mgodini Iran

    Rais Rouhani atoa mkono wa pole kwa familia za waliofia mgodini Iran

    May 04, 2017 03:11

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametuma salamu za rambirambi kwa familia za wahanga wa ajali iliyotokea mgodini kaskazini mashariki mwa nchi hapo jana.

  • Iran: Kauli ya Salman ni ithibati kuwa Saudia inaunga mkono ugaidi

    Iran: Kauli ya Salman ni ithibati kuwa Saudia inaunga mkono ugaidi

    May 03, 2017 23:33

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema matamshi yaliyotolewa hivi karibuni na Naibu Mrithi wa Kiti cha Ufalme ambaye pia ni Waziri wa Ulinzi wa Saudi Arabia ni dhihirisho tosha kuwa Riyadh inaunga mkono ugaidi na utawala huo wa kifalme umejengeka katika misingi ya sera haribifu.

  • Alkhamisi 4 Mei, 2017

    Alkhamisi 4 Mei, 2017

    May 03, 2017 21:50

    Leo ni Alkhamisi 7 Shaaban 1438 Hijria, sawa na Mei 4, 2017.

  • Brig. Jenerali Dehqan: Nara za Marekani kuhusu usalama na haki za binadamu zinasikitisha

    Brig. Jenerali Dehqan: Nara za Marekani kuhusu usalama na haki za binadamu zinasikitisha

    May 03, 2017 10:16

    Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameashiria uiangiliaji wa Marekani huko Iraq, Syria na Yemen ambao umesababisha maafa makubwa na kusema kuwa, nara za Wamarekani katika suala la usalama na haki za binadamu zinasikitisha.

  • Saudia yaendeleza uhasama dhidi ya Iran, Muhammad Bin Salman adhihirisha chuki yake

    Saudia yaendeleza uhasama dhidi ya Iran, Muhammad Bin Salman adhihirisha chuki yake

    May 03, 2017 00:07

    Naibu Mrithi wa Kiti cha Ufalme na Waziri wa Ulinzi wa utawala wa kifalme nchini Saudia, amebainisha chuki yake dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kusema wazi kwamba, Saudia haitakuwa na mahusiano mazuri na Tehran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS