-
Jumatano tarehe 3 Mei, 2017
May 02, 2017 23:18Leo ni Jumatano tarehe 6 Rajab 1438 Hijria sawa na tarehe 3 Mei, 2017.
-
Baadhi ya picha za Kiongozi Muadhamu alipoonana na Wafanyakazi Mei Mosi
May 02, 2017 03:10Katika maadhimisho ya Mei Mosi, Siku ya Wafanyakazi Duniani, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ameonana na wafanyakazi wa sekta mbalimbali wa Iran hapa mjini Tehran. Hizi hapa baadhi ya picha za mkutano huo.
-
Iran yataka ushirikiano baina ya nchi za Ghuba ya Uajemi
Apr 30, 2017 23:16Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif ametoa wito wa kuwepo urafiki miongoni mwa nchi za eneo la Ghuba ya Uajemi.
-
Marekani inajaribu kuvuruga ushirikiano wa Iran na benki za kimataifa
Apr 30, 2017 03:11Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Mohammad Javad Zarif ameilaani vikali serikali ya Marekani kwa kujaribu kuvuruga miamala baina ya Iran na mfumo wa kimataifa wa benki.
-
Jumapili 30
Apr 29, 2017 21:57Leo ni Jumapili tarehe tatu Shaban 1438 Hijria, sawa na tarehe 30 Aprili, 2017
-
Iran ina haki ya kujibu jinai ya magaidi walioua askari wa mpakani
Apr 29, 2017 03:08Waziri wa Ulinzi wa Iran Brigedia Jenerali Hussein Dehqan amesema Jamhuri ya Kiislamu ina haki ya kutoa jibu kali kwa jinai ya magaidi ambao waliwaua askari wa kulinda mpaka katika eneo la kusini mashariki katika mpaka wa Iran na Pakistan.
-
Iran, Syria, Russia zalaani shambulizi la Israel dhidi ya uwanja wa ndege Damascus
Apr 28, 2017 03:01Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Syria na Russia zimelaani vikali shambulizi la anga lililofanywa na jeshi la utawala haramu wa Israel dhidi ya uwanja wa ndege wa Damascus jana alfajiri.
-
Spika wa Bunge la Iran: Uchaguzi ni hatua kubwa katika njia ya kukabiliana na adui
Apr 27, 2017 22:37Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewataka wananchi kushiriki kwa wingi katika uchaguzi wa mwezi ujao na kusema kuwa, uchaguzi ni hatua moja kubwa katika njia ya kukabiliana na adui.
-
Ijumaa, tarehe 28 Aprili, 2017
Apr 27, 2017 21:59Leo ni Ijumaa tarehe Mosi Shaaban 1438 Hijria sawa na Aprili 28, 2017.
-
Mtazamo wa Kiongozi Muadhamu kuhusu malengo ya uadui wa Marekani dhidi ya Iran na Waislamu
Apr 26, 2017 01:50Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, jana Jumanne alionana na viongozi wa Jamhuri ya Kiislamu na mabalozi wa nchi za Kiislamu waliopo hapa nchini Iran kwa mnasaba wa maadhimisho ya siku ya kubaathiwa na kupewa Utume Bwana wetu Muhammad SAW. Alisisitiza kwamba, Marekani na Wazayuni wanaifanyia uadui mkubwa Jamhuri ya Kiislamu kwa sababu Uislamu nchini Iran unaonekana kwa uwazi zaidi na ni kikwazo cha tamaa zao za kibeberu.