-
Madai yasiyo na msingi ya Trump ya eti ushindi wa Marekani katika vita vyote; ni kujisahaulisha matukio ya Afghanistan na Iraq?
Oct 31, 2025 03:13Rais wa Marekani, Donald Trump, amedai kwamba nchi hiyo itashinda kama itaingia vitani na nchi yoyote.
-
Kwa nini Marekani inashinikiza kupokonywa silaha makundi ya muqawama ya Iraq?
Oct 23, 2025 07:53Tommy Piggott, Naibu Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani alisema siku ya Jumanne kwamba Marco Rubio Waziri wa Mambo ya Nje, katika mazungumzo yake na Mohammad Shia Al-Sudani, Waziri Mkuu wa Iraq, ametoa wito wa kupokonywa silaha makundi ya muqawama ya nchi hiyo akidai kuwa ni tishio kwa maslahi ya Washington na Baghdad.
-
Iraq: Hatutaruhusu ardhi na anga yetu zitumike kutishia usalama wa Iran, majirani wengine
Oct 21, 2025 07:01Iraq iimesisitiza kuwa haitaruhusu ardhi na anga yake zitumike kutishia usalama wa Iran au wa nchi nyingine yoyote jirani.
-
Jinai za Marekani wakati wa uvamizi wa Iraq
Oct 02, 2025 08:26Jinai za Marekani wakati wa kuikalia kwa mabavu Iraq zilikuwa kubwa na mfano mchungu sana wa mauaji na uharibifu chini humo ambazo wavamizi wa Kimarekani walijaribu na hadi sasa wanaendelea kujaribu kuzihalalisha kwa majina tofauti ya udanganyifu.
-
Jumatano, 17 Septemba 2025
Sep 17, 2025 02:18Leo ni Jumatano tarehe 24 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1447 Hijria sawa na Septemba 17, 2025.
-
Askari vamizi wa US waanza kuondoka kambi ya Ain al-Asad, Iraq
Aug 23, 2025 06:15Wanajeshi vamizi wa Marekani wameanza kuondoka katika kambi ya anga ya Ain al-Asad katika Mkoa wa Al-Anbar nchini Iraq, hayo ni kwa mujibu wa vyanzo vya habari vya nchi hiyo ya Kiarabu.
-
AU yataka ulimwengu utumie ramani ya dunia inayoakisi ukubwa halisi wa bara la Afrika
Aug 16, 2025 05:08Umoja wa Afrika (AU) umeunga mkono kampeni inayolenga kukomesha matumizi ya ramani ya dunia ya karne ya 16 ya Mercator, inayotumiwa na serikali na mashirika ya kimataifa, na badala yake kutumia ramani inayowakilisha kwa usahihi zaidi ukubwa wa bara la Afrika.
-
Alkhamisi, tarehe 24 Julai, 2025
Jul 24, 2025 02:46Leo ni Alkhamisi tarehe 28 Muharram 1447 Hijria inayosadifiana na tarehe 24 Julai 2025.
-
Waliofariki katika ajali ya moto Iraq wafikia 71, wataombolezwa kwa siku 3
Jul 17, 2025 12:28Duru za habari za Iraq zimetangaza kuwa, idadi ya watu waliofariki kutokana na moto uliotokea katika mji wa Kut, jimboni Wasit mashariki mwa Iraq, imefikia 77.
-
Hakim: Vikosi vya Hashdu Shaabi ni nguzo ya usalama wa Iraq
May 02, 2025 02:50Kiongozi wa Harakati ya Hikma ya Kitaifa ya Iraq, Ammar al-Hakim amevipongeza vikosi vya Hashdu Shaabi na kusisitiza kuwa vimekuwa na mchango mkubwa kwa usalama wa Iraq.