-
Jumatano, 17 Septemba 2025
Sep 17, 2025 02:18Leo ni Jumatano tarehe 24 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1447 Hijria sawa na Septemba 17, 2025.
-
Askari vamizi wa US waanza kuondoka kambi ya Ain al-Asad, Iraq
Aug 23, 2025 06:15Wanajeshi vamizi wa Marekani wameanza kuondoka katika kambi ya anga ya Ain al-Asad katika Mkoa wa Al-Anbar nchini Iraq, hayo ni kwa mujibu wa vyanzo vya habari vya nchi hiyo ya Kiarabu.
-
AU yataka ulimwengu utumie ramani ya dunia inayoakisi ukubwa halisi wa bara la Afrika
Aug 16, 2025 05:08Umoja wa Afrika (AU) umeunga mkono kampeni inayolenga kukomesha matumizi ya ramani ya dunia ya karne ya 16 ya Mercator, inayotumiwa na serikali na mashirika ya kimataifa, na badala yake kutumia ramani inayowakilisha kwa usahihi zaidi ukubwa wa bara la Afrika.
-
Alkhamisi, tarehe 24 Julai, 2025
Jul 24, 2025 02:46Leo ni Alkhamisi tarehe 28 Muharram 1447 Hijria inayosadifiana na tarehe 24 Julai 2025.
-
Waliofariki katika ajali ya moto Iraq wafikia 71, wataombolezwa kwa siku 3
Jul 17, 2025 12:28Duru za habari za Iraq zimetangaza kuwa, idadi ya watu waliofariki kutokana na moto uliotokea katika mji wa Kut, jimboni Wasit mashariki mwa Iraq, imefikia 77.
-
Hakim: Vikosi vya Hashdu Shaabi ni nguzo ya usalama wa Iraq
May 02, 2025 02:50Kiongozi wa Harakati ya Hikma ya Kitaifa ya Iraq, Ammar al-Hakim amevipongeza vikosi vya Hashdu Shaabi na kusisitiza kuwa vimekuwa na mchango mkubwa kwa usalama wa Iraq.
-
Alkhamisi, tarehe Mosi Mei, mwaka 2025
May 01, 2025 02:18Leo ni Alkhamisi tarehe 3 Dhulqa'dah 1446 Hijria, inayosadifiana na tarehe Mosi Mei, mwaka 2025.
-
Ayatullah Sistani: Papa Francis alikuwa na hadhi ya juu kiroho mbele ya mataifa mengi
Apr 22, 2025 08:47Kiongozi Mkuu wa kidini wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq Ayatullah Sayyid Ali Sistani amesema, Papa Francis alikuwa na hadhi ya juu kiroho mbele ya mataifa mengi kutokana na mchango wake wa kipekee katika kuhimiza amani na kuvumiliana pamoja na kuonyesha mshikamano na watu wanaodhulumiwa duniani.
-
Muqawama Iraq: Huenda kongozi wa Hayat Tahrir al-Sham ya Syria akamatwa akija Baghdad
Apr 21, 2025 02:25Kiongozi wa kundi la Muqawama na kupambana na ugaidi la Asa’ib Ahl al-Haq nchini Iraq ameonya kwamba, anayejiita rais wa Syria Abu Mohammed al-Jolani anaweza kukamatwa atakapowasili Baghdad, kutokana na kuwepo hati ya kukamatwa kwake.
-
Iraq: Tuna hamu ya kushirikiana na Iran kuimarisha utulivu wa kieneo
Apr 12, 2025 02:20Rais wa Iraq, Abdul Latif Rashid ametangaza utayarifu wa nchi yake wa kufanya kazi na kushirikiana na Iran ili kuhakikisha kuwa eneo hili la Asia Magharibi linakuwa na utulivu na usalama.