Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Jumatano, 17 Septemba 2025

    Jumatano, 17 Septemba 2025

    Sep 17, 2025 02:18

    Leo ni Jumatano tarehe 24 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1447 Hijria sawa na Septemba 17, 2025.

  • Askari vamizi wa US waanza kuondoka kambi ya Ain al-Asad, Iraq

    Askari vamizi wa US waanza kuondoka kambi ya Ain al-Asad, Iraq

    Aug 23, 2025 06:15

    Wanajeshi vamizi wa Marekani wameanza kuondoka katika kambi ya anga ya Ain al-Asad katika Mkoa wa Al-Anbar nchini Iraq, hayo ni kwa mujibu wa vyanzo vya habari vya nchi hiyo ya Kiarabu.

  • AU yataka ulimwengu utumie ramani ya dunia inayoakisi ukubwa halisi wa bara la Afrika

    AU yataka ulimwengu utumie ramani ya dunia inayoakisi ukubwa halisi wa bara la Afrika

    Aug 16, 2025 05:08

    Umoja wa Afrika (AU) umeunga mkono kampeni inayolenga kukomesha matumizi ya ramani ya dunia ya karne ya 16 ya Mercator, inayotumiwa na serikali na mashirika ya kimataifa, na badala yake kutumia ramani inayowakilisha kwa usahihi zaidi ukubwa wa bara la Afrika.

  • Alkhamisi, tarehe 24 Julai, 2025

    Alkhamisi, tarehe 24 Julai, 2025

    Jul 24, 2025 02:46

    Leo ni Alkhamisi tarehe 28 Muharram 1447 Hijria inayosadifiana na tarehe 24 Julai 2025.

  • Waliofariki katika ajali ya moto Iraq wafikia 71, wataombolezwa kwa siku 3

    Waliofariki katika ajali ya moto Iraq wafikia 71, wataombolezwa kwa siku 3

    Jul 17, 2025 12:28

    Duru za habari za Iraq zimetangaza kuwa, idadi ya watu waliofariki kutokana na moto uliotokea katika mji wa Kut, jimboni Wasit mashariki mwa Iraq, imefikia 77.

  • Hakim: Vikosi vya Hashdu Shaabi ni nguzo ya usalama wa Iraq

    Hakim: Vikosi vya Hashdu Shaabi ni nguzo ya usalama wa Iraq

    May 02, 2025 02:50

    Kiongozi wa Harakati ya Hikma ya Kitaifa ya Iraq, Ammar al-Hakim amevipongeza vikosi vya Hashdu Shaabi na kusisitiza kuwa vimekuwa na mchango mkubwa kwa usalama wa Iraq.

  • Alkhamisi, tarehe Mosi Mei, mwaka 2025

    Alkhamisi, tarehe Mosi Mei, mwaka 2025

    May 01, 2025 02:18

    Leo ni Alkhamisi tarehe 3 Dhulqa'dah 1446 Hijria, inayosadifiana na tarehe Mosi Mei, mwaka 2025.

  • Ayatullah Sistani: Papa Francis alikuwa na hadhi ya juu kiroho mbele ya mataifa mengi

    Ayatullah Sistani: Papa Francis alikuwa na hadhi ya juu kiroho mbele ya mataifa mengi

    Apr 22, 2025 08:47

    Kiongozi Mkuu wa kidini wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq Ayatullah Sayyid Ali Sistani amesema, Papa Francis alikuwa na hadhi ya juu kiroho mbele ya mataifa mengi kutokana na mchango wake wa kipekee katika kuhimiza amani na kuvumiliana pamoja na kuonyesha mshikamano na watu wanaodhulumiwa duniani.

  • Muqawama Iraq: Huenda kongozi wa Hayat Tahrir al-Sham ya Syria akamatwa akija Baghdad

    Muqawama Iraq: Huenda kongozi wa Hayat Tahrir al-Sham ya Syria akamatwa akija Baghdad

    Apr 21, 2025 02:25

    Kiongozi wa kundi la Muqawama na kupambana na ugaidi la Asa’ib Ahl al-Haq nchini Iraq ameonya kwamba, anayejiita rais wa Syria Abu Mohammed al-Jolani anaweza kukamatwa atakapowasili Baghdad, kutokana na kuwepo hati ya kukamatwa kwake.

  • Iraq: Tuna hamu ya kushirikiana na Iran kuimarisha utulivu wa kieneo

    Iraq: Tuna hamu ya kushirikiana na Iran kuimarisha utulivu wa kieneo

    Apr 12, 2025 02:20

    Rais wa Iraq, Abdul Latif Rashid ametangaza utayarifu wa nchi yake wa kufanya kazi na kushirikiana na Iran ili kuhakikisha kuwa eneo hili la Asia Magharibi linakuwa na utulivu na usalama.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS