Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Kiongozi Muadhamu atilia mkazo wajibu wa kupambana na wavamizi

    Kiongozi Muadhamu atilia mkazo wajibu wa kupambana na wavamizi

    Jan 09, 2025 03:21

    Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amesisitizia wajibu wa kupambana na uvamizi wa Marekani nchini Iraq. Ametoa mwito huo wakati alipoonana na Waziri Mkuu wa Iraq na ujumbe alioongozana nao waliokwenda kumtembelea ofisini kwake hapa Tehran jana Jumatano.

  • Mashinikizo kwa serikali ya Iraq ya kuvunja Hashd al-Shaabi

    Mashinikizo kwa serikali ya Iraq ya kuvunja Hashd al-Shaabi

    Jan 07, 2025 10:50

    Mashinikizo ya kigeni hususan kutoka Marekani yameongezeka kwa serikali ya Iraq ili kuivunja Harakati ya Wananchi ya Hashd al-Shaabi.

  • Malengo ya Marekani ya kuongeza harakati za kijeshi kwenye mpaka wa Iraq na Syria

    Malengo ya Marekani ya kuongeza harakati za kijeshi kwenye mpaka wa Iraq na Syria

    Jan 04, 2025 12:37

    Vyanzo vya Iraq vimeripoti kuhusu kuweko harakati kubwa za kijeshi za Wamarekani kwenye mpaka wa nchi hiyo na Syria na muendelezo wa uhamishaji wa vifaa na zana za kijeshi kwenye vituo vyao huko Iraq.

  • Taarifa ya Hizbullah ya Iraq katika kumbukumbu ya kuuliwa shahidi Kamanda Soleimani na al Muhandis

    Taarifa ya Hizbullah ya Iraq katika kumbukumbu ya kuuliwa shahidi Kamanda Soleimani na al Muhandis

    Jan 04, 2025 07:45

    Harakati ya Hizbullah ya Iraq imetoa taarifa ikisisitiza udharura wa kupambana na ubeberu wa dunia katika kumbukumbu ya kuuawa shahidi makamanda mashahidi wa muqawama Luteni jenerali Qassim Soleimani na Abu Mahdi al Muhandis.

  • Nandi-Ndaitwah atangazwa rasmi mshindi wa uchaguzi na kuwa rais wa kwanza mwanamke Namibia

    Nandi-Ndaitwah atangazwa rasmi mshindi wa uchaguzi na kuwa rais wa kwanza mwanamke Namibia

    Dec 04, 2024 06:39

    Namibia imepata rais wake wa kwanza mwanamke baada ya mgombea wa chama tawala cha SWAPO na Makamu wa Rais wa nchi hiyo Bi Netumbo Nandi-Ndaitwah mwenye umri wa miaka 72, kutangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika wiki iliyopita.

  • Seneta wa Marekani aunga mkono hati ya ICC inayoamuru kukamatwa Netanyahu na Gallant

    Seneta wa Marekani aunga mkono hati ya ICC inayoamuru kukamatwa Netanyahu na Gallant

    Nov 22, 2024 07:40

    Seneta wa Marekani Bernie Sanders ameunga mkono uamuzi uliotoloewa na Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC jana Alkhamisi wa kuamuru kukamatwa waziri mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu na waziri wa zamani wa vita wa utawala huo haramu Yoav Gallant.

  • Sheikh Naim Qassem: Wapiganaji wa Hizbullah ni fakhari inayotetemesha mihimili ya Uzayuni

    Sheikh Naim Qassem: Wapiganaji wa Hizbullah ni fakhari inayotetemesha mihimili ya Uzayuni

    Nov 14, 2024 07:05

    Katibu Mkuu wa Hizbullah Sheikh Naim Qassem amewaandikia barua wapiganaji wa harakati hiyo ya Muqawama wa Kiislamu ya Lebanon, akiwapongeza kwa mapambano ya kujivunia wanayoyaendeleza katika kukabiliana na utawala wa Kizayuni wa Israel na waungaji mkono wake.

  • Ayatullah Sistani asikitishwa na kushindwa jamii ya kimataifa kukabiliana na uchokozi wa utawala wa Kizayuni

    Ayatullah Sistani asikitishwa na kushindwa jamii ya kimataifa kukabiliana na uchokozi wa utawala wa Kizayuni

    Nov 05, 2024 07:56

    Marja' wa ngazi ya juu ya Mashia wa Iraq imeeleza masikitiko yake kuhusu kushindwa jamii ya kimataifa na taasisi husika katika kuzuia hujuma za kikatili za utawala wa Kizayuni dhidi ya watu wa Palestina na Lebanon.

  • Al-Nujaba: Tutapiga kambi za US, ikiisaidia Israel kuishambulia Iraq

    Al-Nujaba: Tutapiga kambi za US, ikiisaidia Israel kuishambulia Iraq

    Nov 03, 2024 06:17

    Mjumbe wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Al-Nujaba ya Iraq amesema, kundi hilo la Muqawama litalenga kambi na vituo vya kijeshi vya Marekani endapo Washington itatoa msaada wowote katika mashambulizi yanayoweza kufanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Iraq.

  • Muqawama wa Kiislamu wa Iraq waendeleza mashambulizi dhidi ya vituo vya wanajeshi wa Kizayuni

    Muqawama wa Kiislamu wa Iraq waendeleza mashambulizi dhidi ya vituo vya wanajeshi wa Kizayuni

    Nov 02, 2024 07:20

    Muqawama wa Kiislamu wa Iraq umetangaza kuwa umekilenga kituo muhimu katika maeneo yanayokaliwa kwa mabavu ya Palestina (Israel).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS