Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Iraq katika mchakato wa kuvuka mkwamo wa kisiasa wa mwaka mmoja

    Iraq katika mchakato wa kuvuka mkwamo wa kisiasa wa mwaka mmoja

    Oct 16, 2022 02:30

    Hatimaye bunge la Iraq limemchagua rais mpya wa nchi hiyo Abdul Latif Rashid ambapo rais huyo pia katika hatua yake ya awali amemteua Mohammed Shia al-Sudani kuwa Waziri Mkuu na kumpatia jukumu la kuunda serikali.

  • Rais wa Iran aipongeza Iraq kwa kuchagua rais mpya

    Rais wa Iran aipongeza Iraq kwa kuchagua rais mpya

    Oct 14, 2022 07:56

    Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameipongeza serikali na wananchi wa Iraq, kufuatia kuchaguliwa na Bunge, Abdul Latif Rashid kuwa rais mpya wa nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Iran: Diplomasia haikukomesha uwepo wa magaidi Iraq, tumelazimika kuushughulikia kijeshi

    Iran: Diplomasia haikukomesha uwepo wa magaidi Iraq, tumelazimika kuushughulikia kijeshi

    Oct 13, 2022 03:17

    Ofisi ya uwakilishi wa kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa imemwandikia barua Rais wa Baraza la Usalama la umoja huo kubainisha hoja na sababu ya kuchukua hatua za kijeshi dhidi ya makundi ya kigaidi yaliyoko nchini Iraq na kusisitiza kuwa diplomasia haikuweza kukomesha kuwepo kwa magaidi kaskazini ya nchi hiyo na ndio maana Iran imelazimika kutumia nguvu za kijeshi.

  • Amir-Abdollahian: Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq alikuwa amebeba salamu za Marekani kwa Iran

    Amir-Abdollahian: Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq alikuwa amebeba salamu za Marekani kwa Iran

    Sep 30, 2022 07:59

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema, katika kipindi cha miezi iliyopita baadhi ya mawaziri wa mambo ya nje wa nchi kadhaa wamekuwa wakifikisha jumbe za Marekani kwa Iran na kinyume chake, na akaongeza kuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Iraq, Fuad Hussein naye pia alikuwa amebeba ujumbe wa salamu za Marekani kwa Iran.

  • Al-Halbousi: Uthabiti wa Iraq si kipaumbele cha Marekani kwa sasa

    Al-Halbousi: Uthabiti wa Iraq si kipaumbele cha Marekani kwa sasa

    Sep 30, 2022 07:26

    Spika wa bunge la Iraq amesema, uungaji mkono wa Marekani kwa Iraq zaidi ni wa vyombo vya habari kuliko wa kiuhalisia na kwamba uthabiti wa Iraq si kipaumbele cha Washington kwa sasa.

  • IRGC yashambulia kwa makombora ya balestiki ngome za magaidi kaskazini mwa Iraq

    IRGC yashambulia kwa makombora ya balestiki ngome za magaidi kaskazini mwa Iraq

    Sep 29, 2022 12:06

    Vikosi vya Nchi Kavu vya Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) vimeanzisha duru mpya ya mashambulio dhidi ya ngome na maficho ya magaidi kwa kutumia makombora ya balestiki huko kaskazini mwa Iraq.

  • Meja Jenerali Safavi: Vita vya kulazimishwa vya Iraq dhidi ya Iran viliweza kutabirika lakini havikuweza kuzuiwa

    Meja Jenerali Safavi: Vita vya kulazimishwa vya Iraq dhidi ya Iran viliweza kutabirika lakini havikuweza kuzuiwa

    Sep 22, 2022 02:07

    Msaidizi na Mshauri mwandamizi wa Amiri Jeshi Mkuu wa majeshi yote ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema vita vya kulazimishwa vilivyoanzishwa na Iraq dhidi ya Iran viliweza kutabirika lakini haikuwezekana kuzuiwa.

  • Wafanyaziara milioni 1 na nusu watembelea Samarra Iraq baada ya Arubaini

    Wafanyaziara milioni 1 na nusu watembelea Samarra Iraq baada ya Arubaini

    Sep 19, 2022 07:14

    Mji wa Samarra wenye haram mbili tukufu za Maimam wa Ahlul Bayt wa Bwana Mtume Muhammad SAW umeshuhudia wimbi kubwa la wafanyaziara waliolekea mjini humo baada ya kushiriki kwenye Arubaini ya Imam Husain AS huko Najaf na Karbala nchini Iraq.

  • Mwanachuoni Msuni wa Iraq: Tunaona fakhari kuwa wenyeji wa mazuwari wa Imam Husain

    Mwanachuoni Msuni wa Iraq: Tunaona fakhari kuwa wenyeji wa mazuwari wa Imam Husain

    Sep 17, 2022 01:25

    Mkuu wa Jumuiya ya Ahlu Sunna Waljamaa ya Iraq amesema kuwa, hivi sasa Waislamu wa Iraq wanaonesha kivitendo mfano bora kabisa wa ukarimu kwa kuwahudumia kwa moyo mmoja wafanyaziara wa Imam Husain AS kutoka kila kona ya dunia.

  • Kupenda vita Marekani duniani; urithi wa tukio la Septemba 11

    Kupenda vita Marekani duniani; urithi wa tukio la Septemba 11

    Sep 12, 2022 08:21

    Jumapili ya jana tarehe 11 Septemba ilisadifiana na kutimia miaka 21 tangu kutokea mashambulio ya kigaidi ya Septemba 11 ambapo hadi sasa Marekani ingali imeshughulishwa na matokeo ya tukio hili lenye kuainisha hatima.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS