Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Iraq

  • Katibu Mkuu wa Arab League: Iraq imefanikiwa kuzuia uchochezi

    Katibu Mkuu wa Arab League: Iraq imefanikiwa kuzuia uchochezi

    Sep 07, 2022 07:59

    Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu (Arab League) ameashiria baadhi ya mapigano ya hivi karibuni katika kivuli cha mivutano ya kisiasa huko Iraq na mbinu za viongozi wa nchi hiyo kwa lengo la kuhitimisha hali hiyo na kueleza kuwa: Iraq imeweza kudhibiti uchochezi nchini.

  • Nafasi ya nchi za kigeni katika ghasia za hivi karibuni nchini Iraq

    Nafasi ya nchi za kigeni katika ghasia za hivi karibuni nchini Iraq

    Sep 03, 2022 12:16

    Moja ya masuala muhimu ambayo yanaibuliwa kuhusu machafuko ya hivi karibuni nchini Iraq ni nafasi ya nchi za kigeni katika machafuko hayo.

  • Iran yaipongeza Iraq kwa kutumia hekima kuhitimisha ghasia

    Iran yaipongeza Iraq kwa kutumia hekima kuhitimisha ghasia

    Aug 31, 2022 07:33

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imewapongeza wananchi wa Iraq kwa kutumia hekima kukabiliana na jaribio la uasi lililosababisha ghasia na fujo nchini humo.

  • Waziri Mkuu wa Iraq kujiuzulu iwapo mkwamo wa kisiasa utaendelea kushuhudiwa

    Waziri Mkuu wa Iraq kujiuzulu iwapo mkwamo wa kisiasa utaendelea kushuhudiwa

    Aug 31, 2022 07:22

    Waziri Mkuu wa Iraq ametishia kuwa atajiuzulu wadhifa wake huo iwapo mkwamo na mgogoro wa kisiasa utaendelea kushuhudiwa nchini huo.

  • Muqtada Sadr na machafuko ya Iraq

    Muqtada Sadr na machafuko ya Iraq

    Aug 30, 2022 13:00

    Jumatatu ya jana tarehe 29 Agosti Iraq ilishuhudia sokomoko na matukio ambayo kimsingi yalitabiriwa kutokea.

  • Mchango wa Maulamaa wa Kishia Katika Uislamu (50)

    Mchango wa Maulamaa wa Kishia Katika Uislamu (50)

    Aug 30, 2022 06:48

    Ni matumaini yangu kuwa, hamjambo wapenzi wasikilizaji wa Idhaa ya Kiswahili, Sauti ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Iran inataka mgogoro wa Iraq kutatuliwa kupitia njia za kisheria

    Iran inataka mgogoro wa Iraq kutatuliwa kupitia njia za kisheria

    Aug 30, 2022 03:50

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesisitiza haja ya kuhifadhiwa umoja wa kitaifa wa Iraq, akisema matatizo ya nchi hiyo yanapaswa kutatuliwa kwa njia za kisheria.

  • Muqtada Sadr atangaza kujiuzulu siasa

    Muqtada Sadr atangaza kujiuzulu siasa

    Aug 29, 2022 12:46

    Muqtada Sadr, Kiongozi wa Harakati ya Sadr ya Iraq ametangaza kujiuzulu harakati na shughuli zote za kisiasa.

  • Mazungumzo ya vyama; njia ya kuikwamua Iraq katika mgogoro

    Mazungumzo ya vyama; njia ya kuikwamua Iraq katika mgogoro

    Aug 19, 2022 02:40

    Rais, Waziri Mkuu na Spika wa Bunge pamoja na vyama kadhaa vya siasa vya nchi hiyo wametoa taarifa wakisisitizia ulazima wa kukomeshwa aina yoyote ile ya mzozo na mvutano katika mitaa na barabara za nchi hiyo.

  • Iraq katika mkondo wa kushtadi zaidi mkwamo wa kisiasa

    Iraq katika mkondo wa kushtadi zaidi mkwamo wa kisiasa

    Aug 17, 2022 02:34

    Uamuzi wa makundi na mirengo ya kisiasa ya Iraq wa kufanya mikusanyiko ya barabarani umeifanya anga ya kisiasa ya nchi hiyo kuwa tete zaidi na mkwamo wa kisiasa unaoikabili nchi hiyo kushtadi zaidi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS