-
Jumamosi, Pili Aprili, 2022
Apr 02, 2022 02:22Leo ni Jumamosi tarehe 30 Shaaban 1443 Hijria ambayo inasadifiana na tarehe Pili Aprili 2022 Miladia.
-
Kuendelea uchokozi na uvamizi wa Uturuki dhidi ya ardhi za Syria na Iraq
Mar 29, 2022 01:25Sera za nje za serikali ya Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki katika suala la uhusiano wa nchi hiyo na nchi zingine za eneo na dunia kwa ujumla ni za kutafakariwa mno kwa sababu haifahamiki ni malengo gani hasa wanayofuatilia viongozi wa Ankara.
-
Aliyependekezwa na mrengo wa Sadr atangaza utayari wa kuwa Waziri Mkuu wa Iraq
Mar 24, 2022 13:24Mwanasiasa aliyependekezwa na kuungwa mkono na Harakati ya Sadr kuwa Waziri Mkuu wa Iraq, ametangaza kuwa yuko tayari kushika wadhifa huo.
-
Asaeb Ahlul Haq Iraq: Ikiwa uvamizi wa Marekani utaendelea, silaha za muqawama zitatoa jibu
Mar 24, 2022 03:33Harakati ya Asaeb Ahlul Haq nchini Iraq imetangaza kuwa itaanzisha mapambano ya silaha iwapo Marekani haitaondoka katika ardhi ya Iraq hadi kufikia mwishoni mwa mwaka huu.
-
'Kuweko utawala wa Kizayuni huko Kurdistan ya Iraq kutaitumbukiza vitani nchini hiyo'
Mar 22, 2022 03:31Msemaji wa masuala ya kijeshi wa harakati ya Hizbullah ya Iraq amesema kuwa, kuweko utawala wa Kizayuni wa Israel katika eneo la Kurdistan la Iraq kutaitumbukiza vitani nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Jumamosi, 19 Machi, 2022
Mar 19, 2022 02:50Leo ni Jumamosi tarehe 16 Shaaban 1443 Hijria sawa na tarehe 19 Machi 2022 Miladia.
-
Jinai ya Halabja; muelekeo wa Magharibi na uungaji mkono thabiti wa Iran kwa Wakurdi
Mar 17, 2022 22:20Jinai ya Halabja ni moja ya matukio yaliyodhihirisha wazi kwamba kinyume na Magharibi, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran siku zote ni muungaji mkono thabiti wa raia Wakurdi wa Iraq.
-
Rais wa Iraq: Jinai ya Halabja ni dhihirisho la mateso waliyopata Wakurdi na watu wote wa Iraq
Mar 17, 2022 10:46Rais Barham Salih wa Iraq amezungumza kwa mnasaba wa kumbukumbu ya jinai ya silaha za kemikali ya Halabja na kusisitiza kuwa, jinai hiyo ni dhihirisho la mateso waliyopata Wakurdi na watu wote wa Iraq.
-
Kambi za kijeshi za Marekani na MOSSAD nchini Iraq zashambuliwa kwa makombora + Video
Mar 13, 2022 08:08Vyombo vya habari vya Iraq na duru za kijeshi nchini humo zimeripoti kuwa, kambi ya kijeshi ya Marekani katika mji wa Erbil, makao makuu ya eneo la Kurdistan la Iraq imeshambuliwa kwa makombora ya balestiki.
-
Al Nujaba: Harakati za Uturuki nchini Iraq ni tishio
Mar 07, 2022 12:10Msemaji wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya nchini Iraq ya al Nujaba amesema kuwa harakati za Uturuki huko Iraq ni tishio; na kwamba iwapo nchi hiyo haitaacha chokochoko zake hizo basi Wairaki wataingia katika hali ya kijeshi.